Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakodishwa kushabikia michezo

Wanaume husukumana kuwan ia kupanda basi. Wengine hujipenyeza madirishani wakitumia matairi makubwa kama ngazi za kupandia na hivyo kuacha alama za viatu vyao kwenye mabasi yenye rangi yeupe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Polisi Arusha wakodishwa kuvunja mikono ya mdaiwa

IMAG2765

Mkazi wa Loksale, Samweli Shani (47), akiwa amefungwa POP baada ya kuvunjwa mikono yake na polisi, kushoto ni ndugu yake Gabriel Shani akionyesha picha za X-ray alizopigwa zikionyesha jinsi mikono ilivyovunika.

Kamanda wa polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas, amekiri kupokea malalamiko ya mkazi mmoja wa Loksale wilaya ya Monduli, Samwel Petro Shani (47) ya kuvunjwa mikono yake miwili kutokana na kipigo cha askari Polisi wa kituo cha Leskale.

Hata hivyo amesema kwamba kwa sasa yupo likizo...

 

10 years ago

GPL

DK MAGUFULI: AJENDA NI MAENDELEO, SI KUSHABIKIA VYAMA

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli. Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka Watanzania kuweka vyama vyao pembeni, badala yake kuweka mbele ajenda ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni katika jimbo la Buyungu, wilaya ya Kakonko, mkoani Kigoma, Dk Magufuli alisema vyama vya siasa siyo maendeleo ya wananchi, bali wananchi wanahitaji maendeleo zaidi ya vyama vyao....

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake wakatazwa kushabikia mechi Iran

Wanaharakati nchini Iran wamekasirishwa na hatua ya kuwazuia wanawake nchini humo kushabikia mechi ya mpira wa wavu ya wanawake dhidi ya Marekani

 

10 years ago

Mwananchi

‘Marufuku wanachama wa ACT - Wazalendo kushabikia Ukawa’

Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kila mwanachama anapaswa kuwaunga mkono wagombea watakaopitishwa na chama hicho katika nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu ujao, kwani kinyume chake ni kukisaliti na adhabu yake ni kufukuzwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania acheni kushabikia mambo yasiyo na faida

Nianze kwa kuwapa salamu Watanzania wenzangu mliojaa uzalendo, mlio tayari kuhoji mambo ya msingi kwa mustakabali wa nchi yetu.

 

10 years ago

Mtanzania

NURU THE LIGHT: Hakuna tatizo msanii kushabikia chama cha siasa

Nuru the LighttNA JULIET MORI, (Tudarco)
MSANII wa Bongo Fleva anayefanyia shughuli zake za kimuziki nchini Sweeden, Nuru Magram ‘Nuru the Light’, amesema haoni ubaya kwa wasanii kuweka wazi ushabiki wao kwenye vyama vya siasa kwa kuwa kila mtu ana chama anachokipenda.
Nuru aliweka wazi hilo jana baada ya kutumbuiza na wafanyakazi wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd ikiwa ni ishara ya kukubali mchango wa kazi zinazofanywa na wafanyakazi wa kampuni hiyo kupitia magazeti yake matano ya Mtanzania, Bingwa,...

 

10 years ago

Bongo5

Hemedy PHD: Ningependa wasanii tusaidie kutoa elimu ya upigaji kura kuliko kushabikia vyama

Hemedy PHD amedai hajajifunga na chama chochote cha siasa kama ilivyo kwa wasanii wengi na kwamba jambo la muhimu zaidi ambalo anaamini wangefanya ni kusaidia kueneza elimu ya upigaji kura. Hemedy ameiambia Bongo5 kuwa wananchi wengi hawana elimu hiyo na hapendi kuona limefumbiwa macho. “Wenye haki ya kupiga kura tayari ni wengi, wengi wamekua na […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo michezo ya Jumamosi Novemba 21 na ratiba ya michezo ya leo Jumapili!

WW

Wachezaji wa Liver Pool wakishangilia baada ya ushindi wao wa mchezo wa jana waliochinda bao 4-1, dhidi ya Manchester City.

WINGEREZA – PRIMEAR LEAGUE

Watford 1 – 2 Manchester United

Chelsea 1 – 0 Norwich City

Everton 4 – 0 Aston Villa

Southampton 0 – 1 Stoke City

West Bromwich Albion 2 – 1 Arsenal

Newcastle 0 – 3 Leicester City

Swansea 2 – 2 Afc Bournemouth

Manchester City 1 – 4 Liverpool

HISPANIA – LIGA BBVA

Real Sociedad 2 – 0 Sevilla

Real Madrid 0 – 4 Barcelona

Espanyol 2 – 0...

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI YASHAURI WADAU WA MICHEZO KUJITOKEZA KUSAIDIA MICHEZO NCHINI

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kupokea msaada wa hundi ya milioni kumi kutoka Zantel kwa ajili ya Chama cha Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) leo jijini Dar es Salaaam, kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu Zantel Bw. Pratap Ghose. Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (kulia), Afisa Mtendaji Mkuu Zantel Bw. Pratap Ghose (kushoto) pamoja na ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani