Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi Arusha wakodishwa kuvunja mikono ya mdaiwa

IMAG2765

Mkazi wa Loksale, Samweli Shani (47), akiwa amefungwa POP baada ya kuvunjwa mikono yake na polisi, kushoto ni ndugu yake Gabriel Shani akionyesha picha za X-ray alizopigwa zikionyesha jinsi mikono ilivyovunika.

Kamanda wa polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas, amekiri kupokea malalamiko ya mkazi mmoja wa Loksale wilaya ya Monduli, Samwel Petro Shani (47) ya kuvunjwa mikono yake miwili kutokana na kipigo cha askari Polisi wa kituo cha Leskale.

Hata hivyo amesema kwamba kwa sasa yupo likizo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wassira ajitosa kuvunja makundi CCM Arusha

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu ), Stephen Wasira amesema yupo tayari kuvunja makundi ya kudumu, yanayoonekana kuwapo baina ya Mbunge wa zamani wa Jimbo Arusha Mjini kupitia CCM, Felix Mrema na Batilda Burian, aliyewahi kuwania ubunge katika jimbo hilo, lakini hakufanikiwa.

 

5 years ago

Michuzi

WANAOKAIDI KUVUNJA MAKUNDI CCM ARUSHA KUKIONA

Na Woinde Shizza, Arusha

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Zelote Stephen amewatumia salaam za onyo kali baadhi ya viongozi na wanachama wa Chama hicho mkoani Arusha ambao bado wameendelea kukaidi agizo lake alilolitoa mara tu baada ya kuchaguliwa kwenye nafasi hiyo la kuvunja makundi ndani ya saa 48.

Zelothe ametuma salam hiz0 wakati akifungua mkutano wa halmashauri kuu ya Chama cha mapinduzi wilaya ya Ngorongoro na kusema kuwa licha ya kuwa maelekezo yake yametekelezwa kwa asilimia kubwa...

 

10 years ago

StarTV

Watatu washikiliwa kwa tuhuma za kuvunja kituo cha Polisi.

Na Jackson Monela,

Morogoro.

 

Polisi mkoani Morogoro inawashikilia wakazi watatu wa Mgeta wilayani Kilombero mkoani Morogoro kwa tuhuma za kujihusisha na uvunjaji wa kituo kidogo cha Polisi Mgeta na kuiba baadhi vya vielelezo vya jeshi hilo pamoja Bunduki aina ya SMG yenye risasi 30.

 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Kamishna Msaidizi wa Polisi Leonard Paul amewataja watuhumiwa wanaoshikiliwa na jeshi hilo kuwa ni pamoja na Ramadhan Shewele mwenye miaka 20, Khamis Ahmed miaka 45 na Ignas...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakodishwa kushabikia michezo

Wanaume husukumana kuwan ia kupanda basi. Wengine hujipenyeza madirishani wakitumia matairi makubwa kama ngazi za kupandia na hivyo kuacha alama za viatu vyao kwenye mabasi yenye rangi yeupe.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Baraza la mji wa Minneapolisi laahidi kuvunja idara ya polisi

Hatua hiyo inafuatia maandamnao makubwa yanayoshuhudiwa Marekani kupinga Ubaguzi wa Rangi na dhulma za polisi kufuatia kifo cha George Floyd.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni aibu Serikali kuitwa ‘mdaiwa sugu’

Habari kwamba Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) imeamua kuwatimua baadhi ya wapangaji wa nyumba zake zilizopo mjini Dodoma ambao ni wadaiwa sugu, wakiwamo mawaziri saba na wabunge 15 zitakuwa zimesababisha fadhaa kubwa kwa mihimili hiyo ya dola. 

 

10 years ago

Vijimambo

JESHI LA POLISI LIMELAZIMIKA KUVUNJA CHUMBA KUTOA MWILI WA MTU ALIYEKUFA SIKU NNE ZILIZOPITA.

Mtu mmoja Timotheo kweka (30) mkazi wa kiwanja cha ndege manispaa ya Morogoro amekutwa chumbani kwake amefariki dunia siku nne ziizopita na jeshi la polisi limelazimika kuvunja mlango na kutoa mwili huo .Akizungumza na ITV mmiliki wa nyumba alikokuwa amepanga Leonard Benedicti amesema kwa mara ya mwisho marehemu alionekana nje siku ya jumamosi hadi leo walipohisi harufu nzito chumbani kwake ndipo walitoa tarifa kwa jeshi la polisi na kumkuta ndani amefariki na kichwa kikiwa kimebanwa kwenye...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI ARUSHA LAANZA UJENZI KITUO KIDOGO CHA POLISI KATA YA KISONGO,ARUMERU KUONDOA KERO KWA WANANCHI

JESHI la Polisi mkoani Arusha, litaanza ujenzi wa kituo kidogo cha polisi katika kata ya Kisongo wilayani Arumeru mkoani hapa baada ya jitihada za Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro kuwapa eneo la ujenzi huo ili kuondoa kero kwa wananchi.

Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.

Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi waua mtuhumiwa Arusha

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus SabasMTUHUMIWA namba mbili wa ujambazi wa kuua na kupora wanawake jijini hapa kwa kutumia pikipiki, Wenceslaus Matei (32) amekufa kufuatia majeraha aliyoyapata wakati akijibizana risasi na Polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani