Ni aibu Serikali kuitwa ‘mdaiwa sugu’
Habari kwamba Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) imeamua kuwatimua baadhi ya wapangaji wa nyumba zake zilizopo mjini Dodoma ambao ni wadaiwa sugu, wakiwamo mawaziri saba na wabunge 15 zitakuwa zimesababisha fadhaa kubwa kwa mihimili hiyo ya dola.Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Ni aibu Dar kuwa sugu kwa kipindupindu
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Polisi Arusha wakodishwa kuvunja mikono ya mdaiwa
Mkazi wa Loksale, Samweli Shani (47), akiwa amefungwa POP baada ya kuvunjwa mikono yake na polisi, kushoto ni ndugu yake Gabriel Shani akionyesha picha za X-ray alizopigwa zikionyesha jinsi mikono ilivyovunika.
Kamanda wa polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas, amekiri kupokea malalamiko ya mkazi mmoja wa Loksale wilaya ya Monduli, Samwel Petro Shani (47) ya kuvunjwa mikono yake miwili kutokana na kipigo cha askari Polisi wa kituo cha Leskale.
Hata hivyo amesema kwamba kwa sasa yupo likizo...
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Sugu aibana serikali waliounguliwa Mwanjelwa
MBUNGE wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (CHADEMA) ameibana serikali na kuitaka ieleze kama ipo tayari kuwapa kipaumbele wafanyabiashara ambao waliunguliwa mali zao wakati wa kuteketea kwa soko la Mwanjelwa lililopo...
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Dawasco: Tumeikabidhi Serikali wadaiwa Sugu
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Serikali Kenya yaifutia aibu Cecafa
10 years ago
Habarileo22 Jun
Serikali, Apollo kuanzisha hospitali ya magonjwa sugu
SERIKALI kwa kushirikiana na Hospitali bingwa ya magonjwa sugu duniani ya Apollo iliyopo nchini India, inatarajia kuanzisha hospitali nchini kwa ajili ya kutoa huduma ya magonjwa hayo badala ya wagonjwa kusafirishwa India.
11 years ago
CloudsFM19 Jun
SUGU AITAKA SERIKALI KUWASAIDIA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO
Kinachoendelea bungeni mjini Dodoma, baada ya bajeti kusomwa wiki iliy opita, sasa hivi ni wakati wa wabunge kuchangia mawazo na mitazamo yao kwenye bajeti hii ya mwaka wa fedha 2014/2015,, mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, hivi karibuni aliishauri serikali kuwasaidia wafanyabiashara wadogo wadogo ili kuweza kunyanyua uchumi wao na taifa kwa ujumla.
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Sugu kuibana Serikali inunue kipimo cha CT-Scan
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Sugu: Serikali iondoe kodi vifaa tiba mbadala
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema kuna haja kwa Serikali kungalia namna ya kuondoa ushuru katika vifaa vinavyoingia nchini kwa ajili ya masuala ya tiba mbadala, kwani wanaonufaika...