Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malawi, Tanzania zazungumza lugha mbili tofauti

Kile kilichoonekana kuanza kama mzaha kati ya Tanzania na Malawi kuhusu umiliki wa Ziwa Nyasa, sasa kimeanza kuchukua sura mpya kwa kila nchi kuendelea kutekeleza kitu inachokiamini kuwa ni sahihi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SERIKALI ZA TANZANIA NA MALAWI ZASEMA HAZINA TOFAUTI JUU YA MPAKA WA ZIWA NYASA

Balozi wa Tanzania Nchini Malawi Mh. Patrick Tsere Akizungumza na waandishi wa Habari kutoka Mbeya walipotembelea Ofisi za ubalozi Nchini Malawi. Baadhi ya Waandishi wakimsikiliza Balozi.…

 

11 years ago

Mwananchi

Matatizo ya wanafunzi si lugha mbili, ni kutotaka kusoma

Makala haya yanaangazia mjadala kuhusu lugha inayofaa kutumika Tanzania katika kuendeleza sekta zote ikiwamo elimu, biashara, utaalamu na utamaduni.

 

11 years ago

Mwananchi

M’bilia Bell; abeba historia mbili tofauti

>Miongoni mwa wanamuziki wa Bara la Afrika waliowahi kuandika historia mbili tofauti za uhusiano ni mwanamuziki M’bilia Bell.

 

9 years ago

Mwananchi

Ronaldo, Kleberson — mapacha Man United na safari mbili tofauti kimaisha

Ni miaka 12 tangu  Cristiano Ronaldo na Kleberson wasajiliwe pamoja na kutambulishwa kwenye klabu ya Manchester United. Kwa sasa, wawili hao ambao waliitwa mapacha wamepitia safari tofauti kimaisha

 

11 years ago

BBCSwahili

Timu mbili Ligi ya Malawi zafungiwa

Vilabu viwili vya soka nchini Malawi vya Mighty Wanderers na Silver Strikers vimepigwa faini kufuatia ghasia za mashabiki wao

 

11 years ago

Malawi Today

Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks


Coastweek
Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks
Malawi Today
Mediation talks between Malawi and neighbouring Tanzania on the border dispute over Lake Malawi ended in a deadlock last week. Head of the mediating team, former Mozambican President Joaquim Chissano is quoted by allafrica.com as having publicly ...
Tanzania: After Two Days, No Agreement Over Lake NiassaAllAfrica.com
Dar firm on border claimDaily News
Tanzania, Malawi fail to reach agreement on border...

 

11 years ago

Michuzi

WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA WENGINE TISA MAJERUHI KATIKA AJALI MBILI TOFAUTI MOJA IKIHUSISHA GARI LILILOBEBA WANAHABARI WA MBONI SHOW MKOANI DODOMA.

Na Sylvester Onesmo  wa Jeshi la Polisi, Dodoma.
Watu wawili wamepoteza maisha kutokana na ajali mbili zilizotokea katika maeneo mawili tofauti na nyakati tofauti Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP (pichani) ameeleza kuwa, ajali ya kwanza ilitokea tarehe 30/05/2014 majira ya saa 18:30hrs katika kijiji cha Ipala Wilaya ya Dodoma ambapo gari lenye namba za usajili DFP 614 Toyota Land Cruiser mali ya chuo cha Serikali...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili

makala zangu kwa muda mrefu uliopita, nilieleza juu makosa mbalimbali yanayotokea katika magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Nilieleza kuwa kipimo cha kujitathmini kwetu kama kweli tunathamini utamaduni wetu ni jinsi tunavyoenzi mila na desturi zetu na hasa lugha yetu ya Kiswahili ambayo ni urithi tuliopata kutoka kwa wazee wetu waliotutangulia. Wazee wetu walijitoa muhanga kuilinda lugha yetu kwa kutunga tenzi, mashairi, hadithi, tambo za aina mbalimbali  na hasa nyimbo, misemo, nahau na...

 

10 years ago

Mwananchi

Elimukombozi, lugha na upashanaji habari Tanzania

Mwalimu Julius Nyerere alifafanua Elimukombozi kuwa ni aina ya elimu inayomkomboa Mwafrika kutoka katika mawazo ya utumwa na ukoloni ili kumfanya ajihisi kuwa binadamu sawa na wengine mwenye haki na wajibu wa kibinadamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani