Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAFUFU: SIWEZI KUHAMA UKAWA

Nyota wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu. SHANI RAMADHANI NYOTA wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu amefunguka kuwa hawezi kuhama Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa sababu kila upande wa siasa una changamoto zake. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Mafufu alisema kutokana na namna siasa zinavyokwenda, mtu hatakiwi kuwa wa kuhamahama kila siku kwa ajili ya kitu fulani wakati kila sehemu kuna changamoto zake. “Nilihama CCM na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAFUFU: SIWEZI KUONGEA NA H.BABA MILELE

Stori: Gladness Mallya
LILE bifu lililopo kati ya msanii wa muziki na filamu, Hamis Ramadhani ‘H.Baba’ na Jimmy Mafufu limezidi kushika kasi ambapo Mafufu ameapa kutozungumza na H. Baba milele. H. Baba. Akistorisha na gazeti hili Jimmy alisema anamshangaa H.Baba kusema kuwa anatafuta umaarufu kupitia jina lake jambo ambalo siyo kwani yeye ni maarufu tangu zamani na hawezi kupata umaarufu kupitia kwa mkata...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mafufu ‘Kufia’ UKAWA

Muandaaji na muigizaji wa filamu , Jimmy Mafufu amesema hawezi kuhama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa sababu  kila upande wa siasa una changamaoto zake.

Mafufu amesema alihama Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenda UKAWA kwasababu matatizo mengi yanayohusiana na sanaa ya filamu  yalikuwa hayajapatiwa ufumbuzi na serikali yake.

Ameseme yupo  UKAWA iliyomsimamisha Edward Lowassa kuwa mgombea Urais  wake katika uchaguzi wa mkuu mwezi ujao kwasababu anaamini atafikia malengo aliyojiwekea...

 

9 years ago

Bongo Movies

Ray Kutoa Tamko Juu ya Tetesi za Kuhama UKAWA

Kufuatia tetesi kuenea mtandaoni kuwa staa wa Bongo Moveis , Vicent Kigosi ‘Ray ‘ amehama UKAWA “team mabadiliko” na kwenda upande wa CCM., Ray amepanga kuvunja ukimya na kutoa tamko lake rasmi juu ya swala hilo.

Kupitia ukursa wake kwenye mtandao  wa  kijamii wa instagram Ray ambaye amekuwa akishambuliwa na baadhi mashakibi wake kwenye mtandao huo wakidai kuwa amenunuliwa , aliandika haya;

“Nimeyasikia mengi sana kwenye mitandao ya kijamii ila nasema hivi nitatoa tamko langu...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mastaa Kuhama Ukawa Kwenda CCM, Siri Nzito Yafichuka

NYUMA ya wimbi kubwa la mastaa waliokuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuna siri nzito zilizojificha na Amani limechimbua kutoka kwa wahusika.

Hivi karibuni, mastaa mbalimbali akiwemo mwigizaji Aunt Ezekiel na Vincent Kigosi ‘Ray’ waliokuwa wakishabikia Chadema kinachoungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), walitangaza kuhamia CCM na kuzua taharuki kwa wafuasi wao.

Baada ya wawili hao kuhamia CCM, yaliibuka...

 

9 years ago

StarTV

Hali bado tete UKAWA Vijana zaidi wazidi kuhama-Tabora.

 

Siku chache mara baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Dokta Wilbroad Slaa Kujiuzulu na kuamua kuachana na siasa kutokana na kutokuridhishwa na utendaji ndani ya chama hicho baadhi ya vijana wamezidi kukihama chama hicho jambo ambalo linadaiwa kukidhoofisha chama hicho.

Baadhi ya vijana mjini Tabora waliokuwa wanachama wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA wameandamana hadi ofisi ya CCM Wilaya na kudai wanajiunga na chama hicho baada...

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA WAZIRI MKUU MSTAAFU ALIPOTANGAZA KUHAMA KUJIUNGA UKAWA MAPEMA LEO

 Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo mchana. Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye (kulia), akipeana mkono na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe Dar es Salaam leo mchana, baada ya kujiunga na chama hicho. Anayeshuhudia katikati ni Mgombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa. Sumaye akisisitiza jambo

 

9 years ago

GPL

MAFUFU AKUBALI KUITWA ZOBA

Imelda mtema Muigizaji wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu amefunguka kuwa kwa mke wake yuko tayari watu wamuite majina yoyote yale wanayoyapenda hata wakimuita zoba kwa kumpenda mkewe haoni tatizo. Akizungumza na gazeti hili, Mafufu alisema mke wake ambaye wamejaaliwa mtoto mmoja aitwaye Ronaldo, ndiye ‘kiboko yake’ hata kama kuna upungufu unaotokea kati yao, wanamalizana ndani na maisha yanaendelea.  ....Soma...

 

10 years ago

GPL

MKE WA MAFUFU ABEBA VIRAGO!

Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani
KIMENUKA! MKEwa staa wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu, Salma Sadiki amenaswa akifungasha virago nyumbani kwake Mwananyamala-Hospitali na kuelekea kwa wazazi wake maeneo ya Mbagala jijini Dar akidai kuchoshwa na tabia za mumewe huyo, Ijumaa lina ‘full’ stori. Mkewa staa wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu, Salma Sadiki akiwa na mizigo yake. Akizungumza na mapaparazi wetu, Salma...

 

10 years ago

GPL

MAFUFU: MASHABIKI WANANITAKA KIMAPENZI

Gladness Mallya MSANII wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu ametoa kali ya mwaka kuwa mashabiki wake wengi wa kike, wanamtaka kimapenzi licha ya ukweli kwamba katika kazi zake nyingi, anacheza sehemu za kutisha. Msanii wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu akiwa katika pozi na warembo. Msanii huyo alitoa kauli hiyo hivi karibuni baada ya kunaswa na paparazi wetu akiwa amezungukwa na warembo huku akiwa amempakata mmoja wao katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani