MAFUFU: MASHABIKI WANANITAKA KIMAPENZI
![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3O6Upk*Q-pRFfG8mhbJvH3sdw3X94z2aEK6rz3Tn5Yqc5-g9*4DVTM6Z9KZkCb5Y65F8cZucNqGQkqyR9jrmfAW/3R1.jpg?width=650)
Gladness Mallya MSANII wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu ametoa kali ya mwaka kuwa mashabiki wake wengi wa kike, wanamtaka kimapenzi licha ya ukweli kwamba katika kazi zake nyingi, anacheza sehemu za kutisha. Msanii wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu akiwa katika pozi na warembo. Msanii huyo alitoa kauli hiyo hivi karibuni baada ya kunaswa na paparazi wetu akiwa amezungukwa na warembo huku akiwa amempakata mmoja wao katika...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies21 Sep
Mafufu ‘Kufia’ UKAWA
Muandaaji na muigizaji wa filamu , Jimmy Mafufu amesema hawezi kuhama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa sababu kila upande wa siasa una changamaoto zake.
Mafufu amesema alihama Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenda UKAWA kwasababu matatizo mengi yanayohusiana na sanaa ya filamu yalikuwa hayajapatiwa ufumbuzi na serikali yake.
Ameseme yupo UKAWA iliyomsimamisha Edward Lowassa kuwa mgombea Urais wake katika uchaguzi wa mkuu mwezi ujao kwasababu anaamini atafikia malengo aliyojiwekea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYByjRN4389TX3KsJgcOFbyI4bxGH1NefARP6C*nBy6djH91f1M5wwFH06VHLc7bZ1Z01wcGvuXv2K3HsW41wFpne/rado.jpg?width=650)
MAFUFU AMSHUSHA RADO GARINI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq19my66at3UMHYho*l-COSthcvpyVEIwNkwNN-g8Yf8jEyMdeQ2vc13yQB-TodEhCULPE4ylNaVAZ1L-c7hB9FVI/mafufu.jpg?width=650)
MAFUFU AWABWA-TUKIA MASTAA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLafOPQWc3J5IDK5If2jR24-GlhLiLMFD8Q3I8zqwUwmcSReHz79FrVuVILw*Fyenp5DZDw-cj*nnv9Oqt3oMRtZx/BACKIJUMAA.jpg?width=650)
MKE WA MAFUFU ABEBA VIRAGO!
9 years ago
GPLMAFUFU AKUBALI KUITWA ZOBA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h04tScqf3LaHDD*cMzrj9MkDutGiuu7yea9K-7F9av5-O4KHQDIl-hj0dIpDJ5ULl7KHnv9L1Awp2OemwCX1Rnck3eyCq-ff/Mafufu.jpg)
MAFUFU ASHUSHIWA KIPIGO NA MKEWE!
9 years ago
GPLMAFUFU: SIWEZI KUHAMA UKAWA
9 years ago
Bongo Movies14 Nov
Uchaguzi Wawachia Bifu Mafufu, Kitale
JAPOKUWA uchaguzi umekwisha bado lile bifu la wasanii wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu na Musa Yusuf ‘Kitale’ linaendelea kufukuta ambapo Mafufu ameapa kwamba hawezi kuzungumza na msanii huyo kwani ni mnafiki.
Akistorisha na paparazi wetu, Mafufu alisema japo mambo ya siasa za uchaguzi yameisha lakini hawezi kuzungumza na Kitale kwani ni mtoto mdogo sana kwake na ni mnafiki hivyo hawezi kushindana na mtu ambaye siyo levo yake.
“Siwezi kuongea na yule mtoto maana ni mnafiki halafu yeye ndiye...
9 years ago
GPLUCHAGUZI WAWAACHIA BIFU MAFUFU, KITALE