UCHAGUZI WAWAACHIA BIFU MAFUFU, KITALE
Msanii wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu. Na Gladness Mallya JAPOKUWA uchaguzi umekwisha bado lile bifu la wasanii wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu na Musa Yusuf ‘Kitale’ linaendelea kufukuta ambapo Mafufu ameapa kwamba hawezi kuzungumza na msanii huyo kwani ni mnafiki. Msanii wa filamu Bongo, Musa Yusuf ‘Kitale’. Akistorisha na paparazi wetu, Mafufu alisema japo mambo ya siasa za uchaguzi yameisha lakini hawezi kuzungumza na...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies14 Nov
Uchaguzi Wawachia Bifu Mafufu, Kitale
JAPOKUWA uchaguzi umekwisha bado lile bifu la wasanii wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu na Musa Yusuf ‘Kitale’ linaendelea kufukuta ambapo Mafufu ameapa kwamba hawezi kuzungumza na msanii huyo kwani ni mnafiki.
Akistorisha na paparazi wetu, Mafufu alisema japo mambo ya siasa za uchaguzi yameisha lakini hawezi kuzungumza na Kitale kwani ni mtoto mdogo sana kwake na ni mnafiki hivyo hawezi kushindana na mtu ambaye siyo levo yake.
“Siwezi kuongea na yule mtoto maana ni mnafiki halafu yeye ndiye...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqrrJkj7s5V8mqt*gtgKLiNCJPyGEQEiD3VEJmBG8bMppwSH7z7AEZ69Tbyz7Kjb-GO4yCKoARCcDGKS0sbVxwtl/Shamsa.jpg)
SHAMSA:TUMALIZENI BIFU, UCHAGUZI UMEISHA
10 years ago
Habarileo02 Jul
Kisutu wawaachia huru watuhumiwa wa EPA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru Kada wa CCM Rajabu Maranda na wenzake waliokuwa wanakabiliwa na kesi wizi wa Sh milioni 207 katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Waasi Sudan Kusini wawaachia huru watoto
9 years ago
Bongo Movies21 Sep
Mafufu ‘Kufia’ UKAWA
Muandaaji na muigizaji wa filamu , Jimmy Mafufu amesema hawezi kuhama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa sababu kila upande wa siasa una changamaoto zake.
Mafufu amesema alihama Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenda UKAWA kwasababu matatizo mengi yanayohusiana na sanaa ya filamu yalikuwa hayajapatiwa ufumbuzi na serikali yake.
Ameseme yupo UKAWA iliyomsimamisha Edward Lowassa kuwa mgombea Urais wake katika uchaguzi wa mkuu mwezi ujao kwasababu anaamini atafikia malengo aliyojiwekea...
9 years ago
GPLMAFUFU AKUBALI KUITWA ZOBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYByjRN4389TX3KsJgcOFbyI4bxGH1NefARP6C*nBy6djH91f1M5wwFH06VHLc7bZ1Z01wcGvuXv2K3HsW41wFpne/rado.jpg?width=650)
MAFUFU AMSHUSHA RADO GARINI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq19my66at3UMHYho*l-COSthcvpyVEIwNkwNN-g8Yf8jEyMdeQ2vc13yQB-TodEhCULPE4ylNaVAZ1L-c7hB9FVI/mafufu.jpg?width=650)
MAFUFU AWABWA-TUKIA MASTAA
9 years ago
GPLMAFUFU: SIWEZI KUHAMA UKAWA