SHAMSA:TUMALIZENI BIFU, UCHAGUZI UMEISHA
![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqrrJkj7s5V8mqt*gtgKLiNCJPyGEQEiD3VEJmBG8bMppwSH7z7AEZ69Tbyz7Kjb-GO4yCKoARCcDGKS0sbVxwtl/Shamsa.jpg)
Gladness Mallya STAA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford amewataka wasanii wenzake waliotofautiana wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu kumaliza bifu kwani zoezi hilo limemalizika na maisha lazima yaendelee. Staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford. kipiga stori na gazeti hili, Shamsa alisema anamshukuru Mungu yeye hakuwa na bifu na mtu kwa sababu alijua kabisa kuna maisha baada ya uchaguzi ila...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies14 Nov
Uchaguzi Wawachia Bifu Mafufu, Kitale
JAPOKUWA uchaguzi umekwisha bado lile bifu la wasanii wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu na Musa Yusuf ‘Kitale’ linaendelea kufukuta ambapo Mafufu ameapa kwamba hawezi kuzungumza na msanii huyo kwani ni mnafiki.
Akistorisha na paparazi wetu, Mafufu alisema japo mambo ya siasa za uchaguzi yameisha lakini hawezi kuzungumza na Kitale kwani ni mtoto mdogo sana kwake na ni mnafiki hivyo hawezi kushindana na mtu ambaye siyo levo yake.
“Siwezi kuongea na yule mtoto maana ni mnafiki halafu yeye ndiye...
9 years ago
GPLUCHAGUZI WAWAACHIA BIFU MAFUFU, KITALE
10 years ago
Bongo Movies10 Apr
Penzi la Nay na Shamsa la Sababisha Vilio kwa Siwema na Mume wa Shamsa
Penzi la staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford na Staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe.
Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, Mara baada ya wawili hao kutangazwa rasmi kuwa sasa ni mahaba niue huku picha za ushahidi zikimwagwa, aliyekuwa mwandani wa Nay, Siwema a.k.a Wemalicious na aliyekuwa mume wa Shamsa, Dickson ‘Dick’ wanadaiwa kujikuta kwenye hali mbaya kiasi cha kumwaga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VhvVq8FWRvQvkm8yteaMqCsQcVPGBaznIAly7u77pSRlQUnCxyQg7lOCQRkiwgo9xFRUEPDvCBoJ8X5xqp3zTgP/FRONTIJUMAA.gif?width=650)
PENZI LA NAY, SHAMSA SIWEMA, MUME WA SHAMSA VILIO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/M2P*yMJoo7NvmJZn2rU7QfEWaPw9xgh7vrZqYPZb*SMNeVEkuCIqmTHFcyk255veQwNOd6FzQjDqd0X9fH7XrfOuiNG56ndK/13.gif)
HATIMAYE MGOMO UMEISHA.
10 years ago
Habarileo31 Dec
TMA: Msimu wa mvua umeisha
MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imesema msimu wa mvua za mwisho wa mwaka unaisha leo, ingawaje bado inatarajiwa kuwa na mvua kuanzia mapema mwaka 2015.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjaa4cJ4CUYcUWkxNXyXPe90u30Fg7hi9nbFMU*KC6egW6fuhI5g8BxhSOsW3xHyfyE2GUKPSLFx5IHoV9Ybwlsz/angelajonsson6.jpg?width=650)
MWAKA UMEISHA UMEVUNA NINI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox7rvUd-MKkDWoE-KJldEAsj0JpNVEMp-PoyPT6OT4wR-QYMkJ4AOr5hcifhVD4ngmCOSmBWZaOll3zvulMb5WT9/jk.jpg?width=650)
MWAKA UMEISHA, TUMEFIKIA MALENGO?
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qbp6vk3ilR4/VZOIcFbr-ZI/AAAAAAAAwzY/Jhbi2n0Q7Fo/s72-c/NguzaMwanawe.jpg)
Muda wa Jakaya Ndio Umeisha, Babu Seya Ndio Basi Tena?
![](http://1.bp.blogspot.com/-qbp6vk3ilR4/VZOIcFbr-ZI/AAAAAAAAwzY/Jhbi2n0Q7Fo/s640/NguzaMwanawe.jpg)
Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya.Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia wimbo wakati wakitumbuiza katika maadhimisho ya Siku ya Magereza yaliyofanyika Chuo cha Magereza Ukonga jijini Dar es Salaam.
Ombi hilo waliliwasilisha kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe aliyekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo ambapo Nguza maarufu Babu Seya na mwanawe, Johnson...