HATIMAYE MGOMO UMEISHA.
![](http://api.ning.com:80/files/M2P*yMJoo7NvmJZn2rU7QfEWaPw9xgh7vrZqYPZb*SMNeVEkuCIqmTHFcyk255veQwNOd6FzQjDqd0X9fH7XrfOuiNG56ndK/13.gif)
Madereva wametangaza kumaliza mgomo baadala ya kufikia muafaka na mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda na kuundwa kwa kamati itakayosimamia matatizo ya madereva kwa na kutoa taarifa baada ya siku saba. Mabasi ya mikoani kutoka Ubungo sasa yameanza safari baada ya mgomo wa takriban siku 2. Makubaliano yaliyofikiwa ni kuundwa kwa kamati ya madereva zaidi ya 8 watakaokutana na mkuu wa wilaya kuanzia kesho. Kamati iliyoundwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Dec
TMA: Msimu wa mvua umeisha
MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imesema msimu wa mvua za mwisho wa mwaka unaisha leo, ingawaje bado inatarajiwa kuwa na mvua kuanzia mapema mwaka 2015.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox7rvUd-MKkDWoE-KJldEAsj0JpNVEMp-PoyPT6OT4wR-QYMkJ4AOr5hcifhVD4ngmCOSmBWZaOll3zvulMb5WT9/jk.jpg?width=650)
MWAKA UMEISHA, TUMEFIKIA MALENGO?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjaa4cJ4CUYcUWkxNXyXPe90u30Fg7hi9nbFMU*KC6egW6fuhI5g8BxhSOsW3xHyfyE2GUKPSLFx5IHoV9Ybwlsz/angelajonsson6.jpg?width=650)
MWAKA UMEISHA UMEVUNA NINI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqrrJkj7s5V8mqt*gtgKLiNCJPyGEQEiD3VEJmBG8bMppwSH7z7AEZ69Tbyz7Kjb-GO4yCKoARCcDGKS0sbVxwtl/Shamsa.jpg)
SHAMSA:TUMALIZENI BIFU, UCHAGUZI UMEISHA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qbp6vk3ilR4/VZOIcFbr-ZI/AAAAAAAAwzY/Jhbi2n0Q7Fo/s72-c/NguzaMwanawe.jpg)
Muda wa Jakaya Ndio Umeisha, Babu Seya Ndio Basi Tena?
![](http://1.bp.blogspot.com/-qbp6vk3ilR4/VZOIcFbr-ZI/AAAAAAAAwzY/Jhbi2n0Q7Fo/s640/NguzaMwanawe.jpg)
Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya.Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia wimbo wakati wakitumbuiza katika maadhimisho ya Siku ya Magereza yaliyofanyika Chuo cha Magereza Ukonga jijini Dar es Salaam.
Ombi hilo waliliwasilisha kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe aliyekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo ambapo Nguza maarufu Babu Seya na mwanawe, Johnson...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqrbD7gDOpBl8qJDbmDCUQp5*nSaPWizEUL9DFN-WbKcC5zIl9HiR5yNij6txG3D9ZAAlwj7Wzm5t*uQDBeFFQkh/johali2.jpg?width=612)
HATIMAYE JOHARI KUOLEWA!
10 years ago
Bongo Movies04 Jun
Hatimaye Shilole Asamehewa
Staa wa Shilole baada ya sakata lake la kusambaa kwa picha zinazoonesha sehemu ya maungo yake ya siri hadharani akiwa katika onesho huko Ubeligiji, hatimaye amejisalimisha BASATA kujieleza na kusamehewa rasmi kwa kosa alilofanya.
Shilole, maarufu zaidi kama Shishi Baby ameweka wazi taarifa hizo kwa mashabiki wake kuwaweka sawa, hasa pia baada ya taarifa kutoka kwa BASATA na tamko la Serikali Bungeni kuwa atachukuliwa hatua.
Eatv.tv
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HATIMAYE OKWI ATUA