Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWAKA UMEISHA UMEVUNA NINI

NAAM! kama kawaida tumekutana tena kwenye kona yetu ili tujuzane machache,  tumeona  wenyewe jinsi sikukuu ya Xmas ilivyokwisha, je mwenzangu ulipata au ulipatikana. Nasikia wapo waliopombeka mpaka wakazimika, mmmh makubwa watu wengine hawanywi mpaka sikukuu. Hivyo unakunywa mpaka unazimika unategemea nini, wenzako wakubebe eeh uwape shida kwa raha zako za kijinga, haipendezi jamani kunyweni kadri ya uwezo wenu siyo lazima...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWAKA UMEISHA, TUMEFIKIA MALENGO?

MUNGU ni mwema sana. Ni bahati kubwa sana kwamba leo tumekuwa miongoni mwa watu ambao muumba wetu amewabariki kuwa hai na wenye afya njema, kwa sababu muda mchache tu uliopita, waliokuwa kama sisi hali zao zilibadilika ghafla, kwa wengine kufariki, kuugua na hata kujeruhiwa vibaya. Huu ni ushahidi juu ya namna ambavyo Mungu ni wa ajabu sana na yatupasa kumshukuru na kumsujudia, kwani kwake yeye, kila jambo linawezekana. Baada ya...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

kuna nini Tanzania mwaka huu

Amani na Utilivu imekuwa miongoni mwa sera ya vyama vya siasa hapa Tanzania. Kila mara viongozi wanapopanda majukwaani wanajaribu kwa ghibu kuinadi sera hii. Hadi kwenye ilani za uchaguzi huingizwa suala la Amani na Utulivu bila […]

The post kuna nini Tanzania mwaka huu appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tumezifanyia nini familia zetu mwaka 2013?

KWA wale tuliobahatika kuikatiza mikikimikiki ya mwaka 2013 na kufanikiwa kuuona mwaka 2014 tunapaswa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa maana si wote waliofanikiwa kuuona mwaka huu, pia si wote tuliofanikiwa kuingia...

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini CCM itaanguka rasmi mwaka 2020 — (1)

Tangu kurejea kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania mwaka 1992, mambo mengi yametokea.

 

10 years ago

GPL

MWAKA 2014 UNAISHIA NA HUJAFANYA CHA MAANA, WHY? KWA NINI?

Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa upendo aliouonesha kwangu na kuniwezesha kuiona siku ya leo nikiwa mzima. Nadiriki kushukuru kwa sababu, wapo waliotamani kuiona wiki hii wakiwa wazima lakini baadhi wameshaondoka kwenye ardhi hii huku wengine wakiwa hoi mahospitalini na majumbani. Ndugu zangu, mwaka ndiyo huo unakaribia kuisha. Najua wapo wanaoumaliza wakiwa wamefanya mambo makubwa lakini pia wapo ambao mioyo yao imesinyaa kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

MWAKA 2014 UNAISHIA NA HUJAFANYA CHA MAANA, WHY? KWA NINI?

Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa upendo aliouonesha kwangu na kuniwezesha kuiona siku ya leo nikiwa mzima. Nadiriki kushukuru kwa sababu, wapo waliotamani kuiona wiki hii wakiwa wazima lakini baadhi wameshaondoka kwenye ardhi hii huku wengine wakiwa hoi mahospitalini na majumbani.

Ndugu zangu, mwaka ndiyo huo unakaribia kuisha. Najua wapo wanaoumaliza wakiwa wamefanya mambo makubwa lakini pia wapo ambao mioyo yao imesinyaa kwa kuwa, waliyopanga kuyafanikisha hayakutimia.

Mimi nataka kuwatia...

 

10 years ago

GPL

HATIMAYE MGOMO UMEISHA.

Madereva wametangaza kumaliza mgomo baadala ya kufikia muafaka na mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda na kuundwa kwa kamati itakayosimamia matatizo ya madereva kwa na kutoa taarifa baada ya siku saba. Mabasi ya mikoani kutoka Ubungo sasa yameanza safari baada ya mgomo wa takriban siku 2. Makubaliano yaliyofikiwa ni kuundwa kwa kamati ya madereva zaidi ya 8 watakaokutana na mkuu wa wilaya kuanzia kesho. Kamati iliyoundwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford:Ungetamani Kuniambia Nini Kabla Mwaka Huu Kuisha

Ikiwa zimebaki siku chache kuumaliza mwaka 2014.Muigizaji  wa filamu Shamsa  Ford anaetamba mwaka huu kwenye filamu ya CHAUSIKU, amewataka mashabiki wake na wapenzi wa filamu hapa nchini wamshauri chochote kuhusiana na kazi  zake na maisha yake ya sanaa kwa ujumla.

 Shamsa  ambae ni mama wa mtoto mmoja, aliweka picha yake nakuandika;

“Ni kitu gani ungetamani kuniambia kabla ya huu mwaka KUISHA”

Jina la Shamsa Ford, lilijitokeza sana mwaka huu kwenye magazeti ya udaku na mitandaoni baada ya...

 

10 years ago

Habarileo

TMA: Msimu wa mvua umeisha

Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dk Agnes Kijazi MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imesema msimu wa mvua za mwisho wa mwaka unaisha leo, ingawaje bado inatarajiwa kuwa na mvua kuanzia mapema mwaka 2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani