MWAKA UMEISHA UMEVUNA NINI
![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjaa4cJ4CUYcUWkxNXyXPe90u30Fg7hi9nbFMU*KC6egW6fuhI5g8BxhSOsW3xHyfyE2GUKPSLFx5IHoV9Ybwlsz/angelajonsson6.jpg?width=650)
NAAM! kama kawaida tumekutana tena kwenye kona yetu ili tujuzane machache, tumeona wenyewe jinsi sikukuu ya Xmas ilivyokwisha, je mwenzangu ulipata au ulipatikana. Nasikia wapo waliopombeka mpaka wakazimika, mmmh makubwa watu wengine hawanywi mpaka sikukuu. Hivyo unakunywa mpaka unazimika unategemea nini, wenzako wakubebe eeh uwape shida kwa raha zako za kijinga, haipendezi jamani kunyweni kadri ya uwezo wenu siyo lazima...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox7rvUd-MKkDWoE-KJldEAsj0JpNVEMp-PoyPT6OT4wR-QYMkJ4AOr5hcifhVD4ngmCOSmBWZaOll3zvulMb5WT9/jk.jpg?width=650)
MWAKA UMEISHA, TUMEFIKIA MALENGO?
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Aug
kuna nini Tanzania mwaka huu
Amani na Utilivu imekuwa miongoni mwa sera ya vyama vya siasa hapa Tanzania. Kila mara viongozi wanapopanda majukwaani wanajaribu kwa ghibu kuinadi sera hii. Hadi kwenye ilani za uchaguzi huingizwa suala la Amani na Utulivu bila […]
The post kuna nini Tanzania mwaka huu appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Tumezifanyia nini familia zetu mwaka 2013?
KWA wale tuliobahatika kuikatiza mikikimikiki ya mwaka 2013 na kufanikiwa kuuona mwaka 2014 tunapaswa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa maana si wote waliofanikiwa kuuona mwaka huu, pia si wote tuliofanikiwa kuingia...
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Kwa nini CCM itaanguka rasmi mwaka 2020 — (1)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIttQFVgam8gkM-KaQkp5rX*JiZjqeiMRvIhR8aztMNO4TDzKx6j3R-iVOhhaGOOTof9KfArs4LXwnPWQNx2IDVJ/yolandaspivey_blackwomanpretendstobewhitetogetjob1.jpg?width=650)
MWAKA 2014 UNAISHIA NA HUJAFANYA CHA MAANA, WHY? KWA NINI?
10 years ago
Vijimambo19 Dec
MWAKA 2014 UNAISHIA NA HUJAFANYA CHA MAANA, WHY? KWA NINI?
![](http://api.ning.com/files/iJVROLF4NIttQFVgam8gkM-KaQkp5rX*JiZjqeiMRvIhR8aztMNO4TDzKx6j3R-iVOhhaGOOTof9KfArs4LXwnPWQNx2IDVJ/yolandaspivey_blackwomanpretendstobewhitetogetjob1.jpg?width=650)
Ndugu zangu, mwaka ndiyo huo unakaribia kuisha. Najua wapo wanaoumaliza wakiwa wamefanya mambo makubwa lakini pia wapo ambao mioyo yao imesinyaa kwa kuwa, waliyopanga kuyafanikisha hayakutimia.
Mimi nataka kuwatia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/M2P*yMJoo7NvmJZn2rU7QfEWaPw9xgh7vrZqYPZb*SMNeVEkuCIqmTHFcyk255veQwNOd6FzQjDqd0X9fH7XrfOuiNG56ndK/13.gif)
HATIMAYE MGOMO UMEISHA.
10 years ago
Bongo Movies15 Dec
Shamsa Ford:Ungetamani Kuniambia Nini Kabla Mwaka Huu Kuisha
Ikiwa zimebaki siku chache kuumaliza mwaka 2014.Muigizaji wa filamu Shamsa Ford anaetamba mwaka huu kwenye filamu ya CHAUSIKU, amewataka mashabiki wake na wapenzi wa filamu hapa nchini wamshauri chochote kuhusiana na kazi zake na maisha yake ya sanaa kwa ujumla.
Shamsa ambae ni mama wa mtoto mmoja, aliweka picha yake nakuandika;
“Ni kitu gani ungetamani kuniambia kabla ya huu mwaka KUISHA”
Jina la Shamsa Ford, lilijitokeza sana mwaka huu kwenye magazeti ya udaku na mitandaoni baada ya...
10 years ago
Habarileo31 Dec
TMA: Msimu wa mvua umeisha
MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imesema msimu wa mvua za mwisho wa mwaka unaisha leo, ingawaje bado inatarajiwa kuwa na mvua kuanzia mapema mwaka 2015.