MWAKA UMEISHA, TUMEFIKIA MALENGO?
MUNGU ni mwema sana. Ni bahati kubwa sana kwamba leo tumekuwa miongoni mwa watu ambao muumba wetu amewabariki kuwa hai na wenye afya njema, kwa sababu muda mchache tu uliopita, waliokuwa kama sisi hali zao zilibadilika ghafla, kwa wengine kufariki, kuugua na hata kujeruhiwa vibaya. Huu ni ushahidi juu ya namna ambavyo Mungu ni wa ajabu sana na yatupasa kumshukuru na kumsujudia, kwani kwake yeye, kila jambo linawezekana. Baada ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMWAKA UMEISHA UMEVUNA NINI
11 years ago
GPLNJIA BORA YA KUTIMIZA MALENGO YALIYOKWAMA MWAKA 2013 - 2
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
TRA yadhamiria kufikia malengo katika ukusanyaji kodi kwa mwaka mpya wa fedha
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Rished Bade akiwaeleza wajumbe wa Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi kuhusu kuanza kutumika kwa sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la thamani ya mwaka 2014 iliyoanza kutumika kuanzia Julai 1, 2015 na jinsi itakavyobadilisha baadhi ya mifumo ya kibiashara,wakati wa Semina ya pamoja Kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania na Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi (NBAA) Jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi...
10 years ago
GPLHATIMAYE MGOMO UMEISHA.
10 years ago
Habarileo31 Dec
TMA: Msimu wa mvua umeisha
MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imesema msimu wa mvua za mwisho wa mwaka unaisha leo, ingawaje bado inatarajiwa kuwa na mvua kuanzia mapema mwaka 2015.
9 years ago
GPLSHAMSA:TUMALIZENI BIFU, UCHAGUZI UMEISHA
10 years ago
VijimamboMuda wa Jakaya Ndio Umeisha, Babu Seya Ndio Basi Tena?
Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya.Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia wimbo wakati wakitumbuiza katika maadhimisho ya Siku ya Magereza yaliyofanyika Chuo cha Magereza Ukonga jijini Dar es Salaam.
Ombi hilo waliliwasilisha kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe aliyekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo ambapo Nguza maarufu Babu Seya na mwanawe, Johnson...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Viwango vya ufaulu vinapokinzana na malengo ya elimu, dira ya TaifaViwango vya ufaulu vinapokinzana na malengo ya elimu, dira ya Taifa
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Malengo ya Milenia:TZ