Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWAKA UMEISHA, TUMEFIKIA MALENGO?

MUNGU ni mwema sana. Ni bahati kubwa sana kwamba leo tumekuwa miongoni mwa watu ambao muumba wetu amewabariki kuwa hai na wenye afya njema, kwa sababu muda mchache tu uliopita, waliokuwa kama sisi hali zao zilibadilika ghafla, kwa wengine kufariki, kuugua na hata kujeruhiwa vibaya. Huu ni ushahidi juu ya namna ambavyo Mungu ni wa ajabu sana na yatupasa kumshukuru na kumsujudia, kwani kwake yeye, kila jambo linawezekana. Baada ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWAKA UMEISHA UMEVUNA NINI

NAAM! kama kawaida tumekutana tena kwenye kona yetu ili tujuzane machache,  tumeona  wenyewe jinsi sikukuu ya Xmas ilivyokwisha, je mwenzangu ulipata au ulipatikana. Nasikia wapo waliopombeka mpaka wakazimika, mmmh makubwa watu wengine hawanywi mpaka sikukuu. Hivyo unakunywa mpaka unazimika unategemea nini, wenzako wakubebe eeh uwape shida kwa raha zako za kijinga, haipendezi jamani kunyweni kadri ya uwezo wenu siyo lazima...

 

11 years ago

GPL

NJIA BORA YA KUTIMIZA MALENGO YALIYOKWAMA MWAKA 2013 - 2

MUNGU ni mwema maishani mwangu, hakika namshukuru kwa kila kitu akitendacho kwangu. Ahsante baba. Tunaendelea na mada yetu tuliyoanza nayo wiki iliyopita. Ni mada ambayo hakika imegusa wengi. Nimekuwa nikipokea simu mfululizo kutoka kwa wasomaji wakipongeza na kutaka kujifunza mengi. Kuna tuliobadilishana nao mawazo, nashukuru kuona kuwa mada iliwagusa. Ni kweli. Lazima kuwepo na nguvu au sababu inayokusukuma au kukushawishi...

 

10 years ago

Dewji Blog

TRA yadhamiria kufikia malengo katika ukusanyaji kodi kwa mwaka mpya wa fedha

1

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Rished Bade akiwaeleza wajumbe wa Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi kuhusu kuanza kutumika kwa sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la thamani ya mwaka 2014 iliyoanza kutumika kuanzia Julai 1, 2015 na jinsi itakavyobadilisha baadhi ya mifumo ya kibiashara,wakati wa Semina ya pamoja Kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania na Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi (NBAA) Jijini Dar es Salaam.

2

Mjumbe wa Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi...

 

10 years ago

GPL

HATIMAYE MGOMO UMEISHA.

Madereva wametangaza kumaliza mgomo baadala ya kufikia muafaka na mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda na kuundwa kwa kamati itakayosimamia matatizo ya madereva kwa na kutoa taarifa baada ya siku saba. Mabasi ya mikoani kutoka Ubungo sasa yameanza safari baada ya mgomo wa takriban siku 2. Makubaliano yaliyofikiwa ni kuundwa kwa kamati ya madereva zaidi ya 8 watakaokutana na mkuu wa wilaya kuanzia kesho. Kamati iliyoundwa...

 

10 years ago

Habarileo

TMA: Msimu wa mvua umeisha

Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dk Agnes Kijazi MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imesema msimu wa mvua za mwisho wa mwaka unaisha leo, ingawaje bado inatarajiwa kuwa na mvua kuanzia mapema mwaka 2015.

 

9 years ago

GPL

SHAMSA:TUMALIZENI BIFU, UCHAGUZI UMEISHA

Gladness Mallya STAA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford amewataka wasanii wenzake waliotofautiana wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu kumaliza bifu kwani zoezi hilo limemalizika na maisha lazima yaendelee. Staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford. kipiga stori na gazeti hili, Shamsa alisema anamshukuru Mungu yeye hakuwa na bifu na mtu kwa sababu alijua kabisa kuna maisha baada ya uchaguzi ila...

 

10 years ago

Vijimambo

Muda wa Jakaya Ndio Umeisha, Babu Seya Ndio Basi Tena?


Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya.Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia wimbo wakati wakitumbuiza katika maadhimisho ya Siku ya Magereza yaliyofanyika Chuo cha Magereza Ukonga jijini Dar es Salaam.
Ombi hilo waliliwasilisha kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe aliyekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo ambapo Nguza maarufu Babu Seya na mwanawe, Johnson...

 

11 years ago

Mwananchi

Viwango vya ufaulu vinapokinzana na malengo ya elimu, dira ya TaifaViwango vya ufaulu vinapokinzana na malengo ya elimu, dira ya Taifa

Watanzania tujiulize nchi gani iliwahi kuboresha elimu yake kwa kupunguza viwango vya ufaulu?

 

10 years ago

BBCSwahili

Malengo ya Milenia:TZ

Tanzania imefanikiwa kutimiza lengo namba 4 la malengo ya maendeleo ya milenia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani