Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATIMAYE OKWI ATUA

Emmanuel Okwi. Kiungo mshambuliaji wa kimataifa  wa Yanga kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi ametua hivi punde katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyererere akitokea nchini Uganda kwa ndege ya shirika la Rwanda Air.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

OKWI ATUA YANGA SC

Emmanuel Okwi. Klabu ya Yanga ya Dar es Salaam imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Simba Emmanuel Okwi kutoka klabu ya SC Villa. Habari za uhakika ambazo mtandao huu imezipata ni kwamba Yanga wamelipa kiasi cha dola za Kimarekani 20,000 kama ada ya uhamisho na kumsainisha Okwi mkataba wa miaka miwili. Okwi anatarajia kuwasili nchini hivi karibu akitokea Uganda, ameiomba Yanga abaki nchini Uganda kumalizia...

 

10 years ago

GPL

Okwi atua Dar kimyakimya

Kiungo mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi akiwasili nchini.
Na Saleh Ally
HUKU kukiwa na taarifa kuwa uongozi wa Yanga umeamua kuachana naye, kiungo mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi, ametua jijini Dar es Salaam kimyakimya. Okwi ametua kimyakimya kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), hali inayosababisha mkanganyiko wa mambo. Wakati watu wengi wanaamini Yanga imeamua kuachana naye, kumekuwa na taarifa...

 

11 years ago

Bongo5

Hatimaye Luis Suarez atua Barcelona kwa pauni milioni 75

Klabu ya soka ya Liverpool imekubali kumuuza mshambulizi wake Luis Suarez kwa Barcelona kwa pauni milioni 75. Mchezaji huyo wa Uruguay ,ambaye amepigwa marufuku ya kutocheza mpira miezi miinne baada ya kukutwa na hatia ya kumng’ata begani mchezaji mwenzake wa Italy, Giorgio Chiellini wakati wa mechi yao katika kombe la dunia anatarajia kusafiri kwenda Barcelona […]

 

11 years ago

GPL

Mkenya mchana nyavu atua Simba atua

Kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, Na Hans Mloli
MSIMBAZI noma! Hatimaye kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, ametua nchini jana Jumapili tayari kwa kumalizana na Simba, lakini kikubwa amedai kwamba anaisubiri Yanga. Kiongera, ambaye msimu uliopita alikuwa akiichezea Kenya Commercial Bank (KCB) ya Kenya, anatarajiwa kusaidiana na Amissi Tambwe kuhakikisha Simba inakuwa na safu imara...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hatimaye Shilole Asamehewa

Staa wa Shilole baada ya sakata lake la kusambaa kwa picha zinazoonesha sehemu ya maungo yake ya siri hadharani akiwa katika onesho huko Ubeligiji, hatimaye amejisalimisha BASATA kujieleza na kusamehewa rasmi kwa kosa alilofanya.

Shilole, maarufu zaidi kama Shishi Baby ameweka wazi taarifa hizo kwa mashabiki wake kuwaweka sawa, hasa pia baada ya taarifa kutoka kwa BASATA na tamko la Serikali Bungeni kuwa atachukuliwa hatua.

Eatv.tv

 

11 years ago

GPL

HATIMAYE JOHARI KUOLEWA!

Stori: Mayasa Mariwata na Gabriel Ng’osha KILA jambo na wakati wake! Hatimaye staa wa filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ yuko kwenye mwanga wa maisha ya ndoa kufuatia Kiongozi wa Kundi la Mtanashati, Ostaz Juma Namusoma kuweka wazi uhusiano wao wa kimapenzi huku akisema ana mpango wa kumuoa kabisa, Risasi Jumamosi linakupa zaidi. Staa wa filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’. ...

 

10 years ago

GPL

HATIMAYE MGOMO UMEISHA.

Madereva wametangaza kumaliza mgomo baadala ya kufikia muafaka na mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda na kuundwa kwa kamati itakayosimamia matatizo ya madereva kwa na kutoa taarifa baada ya siku saba. Mabasi ya mikoani kutoka Ubungo sasa yameanza safari baada ya mgomo wa takriban siku 2. Makubaliano yaliyofikiwa ni kuundwa kwa kamati ya madereva zaidi ya 8 watakaokutana na mkuu wa wilaya kuanzia kesho. Kamati iliyoundwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazrui hatimaye azikwa

Msomi maarufu marehemu Profesa Ali Mazrui hatimaye amezikwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani