HATIMAYE JOHARI KUOLEWA!
![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqrbD7gDOpBl8qJDbmDCUQp5*nSaPWizEUL9DFN-WbKcC5zIl9HiR5yNij6txG3D9ZAAlwj7Wzm5t*uQDBeFFQkh/johali2.jpg?width=612)
Stori: Mayasa Mariwata na Gabriel Ng’osha KILA jambo na wakati wake! Hatimaye staa wa filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ yuko kwenye mwanga wa maisha ya ndoa kufuatia Kiongozi wa Kundi la Mtanashati, Ostaz Juma Namusoma kuweka wazi uhusiano wao wa kimapenzi huku akisema ana mpango wa kumuoa kabisa, Risasi Jumamosi linakupa zaidi. Staa wa filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’. ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Ndoa ya Ustazi Juma na Johari yanukia. Asema Johari atakuwa mke wake wa pili
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo movies.
Kwa mujibu wa mtandao wa GPL zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.
“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJPPX0oQx7I0jzHY27HIJh2fWoKlZo*idQpNqjja4xXXMVI7bS1ElsswWofs-G2MGCahYOthvy1OK2sX8k3tV1NZ/batuli.jpg?width=650)
BATULI KUOLEWA SOON
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz60rxGXoADjuk-nV-bS55FMK4mGE5lBjzgyUGkxO4dqiam5GBBp0Ez-NyDRKt0AahHSlhO1LXj94uIZ29bBQo6eu/nora.jpg)
NORA AJUTA KUWAHI KUOLEWA
9 years ago
Bongo517 Aug
Zari hajawahi kuolewa — Diamond
10 years ago
Vijimambo16 Jul
Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/13/150613175620_sp_swedish_royal_wedding_640x360_afp_nocredit.jpg)
Harusi uhispania
Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.Hadi sasa wasichana nchini humo wangeruhusiwa kuolewa wakiwa na miaka kumi na nne bora tu wapate ruhusa ya jaji.
Sheria hiyo mpya sasa inanuiwa kupunguza visa vya udhalilishaji wa watoto nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Anna: Wazazi walinilazimisha kuolewa
KUNA usemi usemao ‘Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni’ na hivyo ndivyo yalivyomtokea Anna Juma, mkazi wa Kata ya Ikowa, Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma. Anna anaelezea kusikitishwa kwake kukatishwa...
10 years ago
Habarileo23 Oct
Wasichana sekondari walazimishwa kuolewa
SHULE ya Sekondari Ikola mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Mpanda, Katavi inakabiliwa na changamoto kubwa ya idadi kubwa ya wanafunzi kukatiza masomo kwa ajili ya kuolewa.