Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATIMAYE JOHARI KUOLEWA!

Stori: Mayasa Mariwata na Gabriel Ng’osha KILA jambo na wakati wake! Hatimaye staa wa filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ yuko kwenye mwanga wa maisha ya ndoa kufuatia Kiongozi wa Kundi la Mtanashati, Ostaz Juma Namusoma kuweka wazi uhusiano wao wa kimapenzi huku akisema ana mpango wa kumuoa kabisa, Risasi Jumamosi linakupa zaidi. Staa wa filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo Movies

Ndoa ya Ustazi Juma na Johari yanukia. Asema Johari atakuwa mke wake wa pili

PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo movies.

 

Kwa mujibu wa mtandao wa GPL zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.

“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini...

 

10 years ago

GPL

BATULI KUOLEWA SOON

Stori: Gladness Mallya
GOOD news kwa mtoto mzuri Bongo Movies, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ ni kwamba anatarajia kuolewa hivi karibuni baada ya kuishi maisha ya upweke kwa muda mrefu, Risasi Jumamosi linakujuza. Msanii wa Bongo Movies, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’. Batuli ambaye ni mama wa watoto wawili, ameliambia Risasi Jumamosi kuwa kwa umri alionao, amejifunza vitu vingi katika maisha hivyo kwa kuwa...

 

10 years ago

GPL

NORA AJUTA KUWAHI KUOLEWA

Stori: Imelda Mtema
MAJUTO! Mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ amefunguka kuwa siku zote katika maisha yake anajuta kuolewa mapema kwani asingefanya hivyo angeweza kufanya mambo mengi na angekuwa mbali sana kisanii na kielimu. Mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ akipozi. Nora alisema kuwa kipindi alipoolewa na aliyekuwa mganga wa tiba za asili, marehemu Ngwizikulu Jilala,...

 

9 years ago

Bongo5

Zari hajawahi kuolewa — Diamond

Diamond Platnumz amesema Zari hajawahi kuolewa na kwamba hadi sasa hajapokea barua yoyote kutoka mahakamani ikimtaka kuchukua vipimo vya DNA vya mtoto wake, Tiffah. Diamond akiwa na mtoto wake Tiffah Kwa mujibu wa Diamond, barua iliyowekwa kwenye akaunti ya King Lawrenc ni moja ya njia ya swahiba hiyo wa ex wa Zari, Ivan ya kujipatia […]

 

10 years ago

Vijimambo

Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16




Harusi uhispania
Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.Hadi sasa wasichana nchini humo wangeruhusiwa kuolewa wakiwa na miaka kumi na nne bora tu wapate ruhusa ya jaji.
Sheria hiyo mpya sasa inanuiwa kupunguza visa vya udhalilishaji wa watoto nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16

Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Anna: Wazazi walinilazimisha kuolewa

KUNA usemi usemao ‘Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni’ na hivyo ndivyo yalivyomtokea Anna Juma, mkazi wa Kata ya Ikowa, Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma. Anna anaelezea kusikitishwa kwake  kukatishwa...

 

10 years ago

Habarileo

Wasichana sekondari walazimishwa kuolewa

SHULE ya Sekondari Ikola mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Mpanda, Katavi inakabiliwa na changamoto kubwa ya idadi kubwa ya wanafunzi kukatiza masomo kwa ajili ya kuolewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani