Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAFUFU AWABWA-TUKIA MASTAA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu amewabwatukia mastaa wenye tabia za  chuki za kuwaroga wenzao na kuwarudisha nyuma kimaendeleo. Jimmy Mafufu. Akichonga na paparazi wetu, Mafufu alisema anashangazwa jinsi wasanii wasivyopenda mafanikio ya wengine wakati usanii hauna uhusiano wowote na chuki, fitna na majungu. “Hii ni roho mbaya na ya kishetani, yaani wasanii wengi wamejiingiza kwenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME

Na Mayasa Mariwata
MKONGWE kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewalaumu vikali mastaa wa kiume Bongo kuwa ndiyo chanzo kikubwa cha tasnia kutawaliwa na mastaa wa kike wanaojiuza. Mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ Akizungumzia kuhusiana na kuwepo kwa madai ya wasanii wa kike Bongo Movie kujiuza, Cathy alisema hawezi kuweka wazi kama anawajua wahusika au...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mafufu ‘Kufia’ UKAWA

Muandaaji na muigizaji wa filamu , Jimmy Mafufu amesema hawezi kuhama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa sababu  kila upande wa siasa una changamaoto zake.

Mafufu amesema alihama Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenda UKAWA kwasababu matatizo mengi yanayohusiana na sanaa ya filamu  yalikuwa hayajapatiwa ufumbuzi na serikali yake.

Ameseme yupo  UKAWA iliyomsimamisha Edward Lowassa kuwa mgombea Urais  wake katika uchaguzi wa mkuu mwezi ujao kwasababu anaamini atafikia malengo aliyojiwekea...

 

9 years ago

GPL

MAFUFU AKUBALI KUITWA ZOBA

Imelda mtema Muigizaji wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu amefunguka kuwa kwa mke wake yuko tayari watu wamuite majina yoyote yale wanayoyapenda hata wakimuita zoba kwa kumpenda mkewe haoni tatizo. Akizungumza na gazeti hili, Mafufu alisema mke wake ambaye wamejaaliwa mtoto mmoja aitwaye Ronaldo, ndiye ‘kiboko yake’ hata kama kuna upungufu unaotokea kati yao, wanamalizana ndani na maisha yanaendelea.  ....Soma...

 

9 years ago

GPL

MAFUFU ASHUSHIWA KIPIGO NA MKEWE!

KIPIGO! Licha ya kujulikana na kuogopeka kwa ukorofi na ubabe uliopitiliza, muigizaji wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu, amechezea kichapo kutoka kwa mkewe wa ndoa, Salma Mafufu kwa kile kilichoelezwa kuchelewa kurudi nyumbani....Soma zaidi===>http://goo.gl/bFk7Nj

 

10 years ago

GPL

MAFUFU AMSHUSHA RADO GARINI

Stori: Hamida Hassan/Risasi MWIGIZAJI Jimmy Mafufu amenaswa akimshusha kwa nguvu mwigizaji mwenzake Rado alipomuomba lifti ya kwenda Kariakoo wakitokea Mwanyamala, Demag Hotel. Mwigizaji wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu. Paparazi wetu alimshuhudia Mafufu akimshusha kwa nguvu Rado kwenye gari lake aina ya Toyota Passo kwa kile alichodai hayupo tayari kumpakiza kwani hajui kwenye gari hilo jipya ameweka nini.
“Shukashuka,...

 

9 years ago

GPL

MAFUFU: SIWEZI KUHAMA UKAWA

Nyota wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu. SHANI RAMADHANI NYOTA wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu amefunguka kuwa hawezi kuhama Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa sababu kila upande wa siasa una changamoto zake. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Mafufu alisema kutokana na namna siasa zinavyokwenda, mtu hatakiwi kuwa wa kuhamahama kila siku kwa ajili ya kitu fulani wakati kila sehemu kuna changamoto zake. “Nilihama CCM na...

 

10 years ago

GPL

MKE WA MAFUFU ABEBA VIRAGO!

Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani
KIMENUKA! MKEwa staa wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu, Salma Sadiki amenaswa akifungasha virago nyumbani kwake Mwananyamala-Hospitali na kuelekea kwa wazazi wake maeneo ya Mbagala jijini Dar akidai kuchoshwa na tabia za mumewe huyo, Ijumaa lina ‘full’ stori. Mkewa staa wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu, Salma Sadiki akiwa na mizigo yake. Akizungumza na mapaparazi wetu, Salma...

 

10 years ago

GPL

MAFUFU: MASHABIKI WANANITAKA KIMAPENZI

Gladness Mallya MSANII wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu ametoa kali ya mwaka kuwa mashabiki wake wengi wa kike, wanamtaka kimapenzi licha ya ukweli kwamba katika kazi zake nyingi, anacheza sehemu za kutisha. Msanii wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu akiwa katika pozi na warembo. Msanii huyo alitoa kauli hiyo hivi karibuni baada ya kunaswa na paparazi wetu akiwa amezungukwa na warembo huku akiwa amempakata mmoja wao katika...

 

11 years ago

GPL

MAFUFU AUGUA, ASHINDWA KUMZIKA KUAMBIANA

Stori:Hamida Hassan STAA wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu licha ya kutoa suti ya shilingi 400,000 aliyozikiwa nayo marehemu Kuambiana, alishindwa kumzika rafiki yake huyo kipenzi baada ya kuugua ghafla siku ya mazishi na kulazwa hospitali. Muigizaji wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu. Akizungumza na Ijumaa, Mafufu alisema kuwa alijikuta akipatwa na maumivu makali pamoja na homa hali iliyosababisha alazwe katika Hospitali ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani