Wanawake wanaochelewa kubeba ujauzito waonywa
WANAWAKE wanaochelewa kubeba ujauzito, wameonywa kuwa kuchelewa huko kunawaweka hatarini kuja kupata watoto wenye mtindio wa ubongo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9Yis6-MiGx1S5PLeTZuR9Yuwc71w2xgWaIyHKX*pljHQKPUIlJupV9Cmd7mHFZ5FhoTcl6aZ4wjZZNiytTl2g1r*/HAPPINESSMAGESE2.jpg?width=720)
MILLEN HAPPINESS MAGESE: ASIMULIA AMBAVYO HAWEZI KUBEBA UJAUZITO, ASEMA YUPO TAYARI KUASILI
11 years ago
Habarileo21 Jun
Wanawake 8,000 hufa kwa ujauzito kila mwaka
LICHA ya mafanikio yaliyopatikana Tanzania, bado inakabiliwa na tatizo kubwa la vifo vya akinamama 8,000 kila mwaka kutokana na sababu zinazohusiana na ujauzito, vingi vikiwa vya vijijini.
Hayo yalibainishwa na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Kebwe Stephen Kebwe katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi , Iddy Kimanta.
Alisema hayo katika sherehe za makabidhiano ya vyumba vitano vya kisasa na vifaa vya upasuaji, zilizofanyika juzi kijijini Mwimbi...
11 years ago
Dewji Blog17 Apr
Wanawake 8,500 kufariki dunia kila mwaka kwa sababu ya ujauzito
Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Evidence for Action (E4A) Tanzania,Craig John Felar, akitoa mada yake juu ya kampeni ya ‘Muokoe Mama muokoe mtoto mchanga’ (Mama ye) kwenye semina iliyohudhuriwa na baadhi ya viongozi kutoka vilabu vya waandishi habari mikoa mbalimbali nchini .Semina hiyo ya siku mbili iliyoandaliwa na UTPC,ilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Lion hotel jijini Dar.
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vilabu vya waandishi wa habari Tanzania ,wakifuatlia...
9 years ago
Habarileo07 Oct
Samatta akubali kubeba lawama
MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amesema wapo tayari kulaumiwa na mashabiki endapo watashindwa kuifunga Malawi leo. Samatta aliyasema hayo jana baada ya mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa kujiandaa na mchezo wa leo dhidi ya Malawi wa kutafuta kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 zitakazofanyika Urusi.
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Adaiwa kubeba kilo 22 za mirungi JNIA
9 years ago
Habarileo23 Oct
Samia aahidi kubeba changamoto za walemavu
MGOMBEA Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kushirikiana na watu wenye ulemavu katika kutatua changamoto zinazowakabili.
9 years ago
GPLMISS TZ: NAJUTA KUBEBA TAJI 2015
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
JK amekubali tena kubeba aibu ya Escrow
KILA kukicha serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekuwa ikifanya madudu makubwa yanayochangia kuzorota kwa maendeleo ya wananchi. Madudu hayo yananifanya niamini kwamba Rais Jakaya Kikwete hakwaziki nayo, inavyoonekana anaufurahia...
10 years ago
BBCSwahili26 May
Gari za kijeshi zatumika kubeba maharusi