JK amekubali tena kubeba aibu ya Escrow
KILA kukicha serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekuwa ikifanya madudu makubwa yanayochangia kuzorota kwa maendeleo ya wananchi. Madudu hayo yananifanya niamini kwamba Rais Jakaya Kikwete hakwaziki nayo, inavyoonekana anaufurahia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania03 Jan
Escrow yamtega tena JK
NA EVANS MAGEGE
SASA kuna kila dalili kuwa mwangwi wa kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow iliyotikisa mkutano wa 16 na 17 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, utaendelea kusikika kwa namna ya kuihanikiza Serikali kuwajibika zaidi.
Dalili hizi zimeonyeshwa waziwazi na baadhi ya wabunge hususani waliokuwa vinara wa kupambana na kashfa hiyo ambao hawajaridhishwa na hatua zilizochukuliwa na Rais Jakaya Kikwete dhidi ya watendaji wa Serikali na viongozi wa kisiasa walioguswa na ripoti ya...
10 years ago
KwanzaJamii17 Sep
KAFULILA AMVAA TENA CAG UTOUH KUHUSU RIPOTI AKAUNTI YA ESCROW
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Kama mnalitafuta joka basi huyu escrow ni yai tena moja tu!
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Kwanini Makinda amekubali Bunge liwe kichaka cha tuhuma za rushwa?Â
WAJUMBE wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Kamati ya Nishati na Madini pamoja na baadhi ya wabunge, wanadaiwa kuhongwa na mbunge mwenzao wa Musoma Mjini, Nimrod Mkono (CCM) pamoja...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xPvYq6HfUTA/VHjvC85Pa9I/AAAAAAAG0EM/PrCoOPstzok/s72-c/1.jpg)
news alert: SPIKA ASITISHA BUNGE HADI WATAPOJADILIANA TENA BAADA YA SINTOFAHAMU WAKATI WA MJADALA MKALI WA SAKATA LA ESCROW
![](http://1.bp.blogspot.com/-xPvYq6HfUTA/VHjvC85Pa9I/AAAAAAAG0EM/PrCoOPstzok/s1600/1.jpg)
Sintofahamu iliyotokea kwenye kikao cha Bunge mjini Dodoma Ijumaa Novemba 28, 2014 imepelekea Spika Anne Makinda (pichani) kulazimika kusitisha shughuli za Bunge mpaka hapo watapojadiliana tena.
Hii ni baada ya majadiliano makali kuhusu kuwajibishwa ama la kwa viongozi wanaohusika na sakata la akaunti ya Escrow. Hali hii iliibuka baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA na kambi ya upinzani Bungeni Mhe Freeman Mbowe kuinuka na kusema kuwa Bunge kufikisha saa tano kasoro ni historia, na kwamba kuna...
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Aibu yetu, aibu yao...
9 years ago
Habarileo07 Oct
Samatta akubali kubeba lawama
MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amesema wapo tayari kulaumiwa na mashabiki endapo watashindwa kuifunga Malawi leo. Samatta aliyasema hayo jana baada ya mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa kujiandaa na mchezo wa leo dhidi ya Malawi wa kutafuta kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 zitakazofanyika Urusi.
9 years ago
GPLMISS TZ: NAJUTA KUBEBA TAJI 2015