Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kama mnalitafuta joka basi huyu escrow ni yai tena moja tu!

Hatupaswi kufurahia kushughulika na matokeo bali uhodari wetu wa kuzuia mabalaa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND NA PARTY YA UHURU WASHINGTON DC...KAMA HUJANUNUA TICKET TAFADHALI WAHI NAFASI ZIKIJAA TU BASI TENA.

    
TANZANIA ALL STARS -WIMBO MAALUMU WA MIAKA 53 YA UHURU 
$100 (INCLUSIVE)3 COURSE  DINNERBOTTLE OF CHAMPAGNE PER TABLELIVE ENTERTAINMENTCELEB AFRICA TV RED CARPET COVERAGERE KNOWN PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER FREE PARKINGCASH BARSPONSORSHIP  LEVELS STILL AVAILABLE TICKET ZINAPATIKANASAFARI RESTAURANT4306 GEORGIA AVENUE,NWWASHINGTON,DC,20011ORONLINEWWW.DIAMONDUSATOUR.COMORCALL   301-661-6207 *DMK GLOBAL   240-603-7353*LATIFA MZESE     240-764-9970*JULIA NYERERE        202-830-8970*ATHUMANI...

 

9 years ago

MillardAyo

Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote

Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]

The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...

 

10 years ago

Dewji Blog

Askari wa Wanyamapori sasa kuajiriwa moja kwa moja kama Majeshi mengine

JO6A7765

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akikwagua gwaride la heshima jana alipowasili Chuo cha Usimamizi Wanyamapori Pasiansi mjini Mwanza alipokwenda kukagua vifaa mbalimbali vilivyonunuliwa na Taasisi ya Buffet Foundation kwa jili ya mafunzo ikiwemo vitabu, kompyuta, magari na darubini.

 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiangalia moja ya kompyuta maalum zinazotumiwa wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi Wanyamapori Pasiansi mjini Mwanza alipokwenda kukagua vifaa...

 

11 years ago

GPL

Have you seen the Michepuko TV Advert?! I swear ni kama vile Kibonde anaongea na wewe moja kwa moja! Check it out....

By the way...Michepuko are now on Twitter,Instagram and they have a Facebook Page all with the name Michepuko.... Visit them for a laugh...kweli Michepuko Sio Dili

 

10 years ago

GPL

HUYU NDIYE SINGASINGA TAPELI WA ESCROW

Stori: Mwandishi Wetu
Unamjua? Anaitwa Harbinder Singh Sethi! Ni mfanyabiashara bilionea mwenye asili ya Bara la Asia na mmiliki wa mtambo wa kufua umeme wa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ambayo hivi karibuni imezua tafrani Bongo kufuatia kampuni yake kuhusishwa na uchotwaji wa fedha kiasi cha Sh. Bilioni 306 kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Singa singa ambaye ni...

 

10 years ago

Mtanzania

Maiti ajali ya basi wazikwa kaburi moja

NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO

MIILI ya abiria 15 walioteketea kwa moto katika ajali ya basi iliyotokea juzi katika eneo la Ruaha, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, imezikwa katika kaburi moja.
Ilizikwa jana asubuhi katika makaburi ya Msavu Ruaha wilayani humo.
Abiria hao walifariki dunia baada ya basi la Kampuni ya Nganga walilokuwa wakisafiria lenye namba za usajili T 373 DAH kugongana na lori aina ya Fuso lenye namba za usajili T 164 BKG.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, John Henjewele, alisema...

 

10 years ago

Mtanzania

Maximo basi tena Yanga

Kocha-wa-Timu-ya-Club-ya-Yanga-Maxio-MaximoNA MWANDISHI WETU, DAR ES SAALAM,

UONGOZI wa klabu ya Yanga umeamua kukatisha mkataba wake na kocha wa timu hiyo, Mbrazil Marcio Maximo kuanzia sasa ukiwa ni uamuzi ulioafikiwa katika kikao kilichofanyika juzi Hoteli ya Protea, jijini Dar es Salaam.
Kikao hicho kimekaa siku moja baada ya timu hiyo kuchapwa bao 2-0 na watani wao wa jadi, Simba katika mchezo wa Nani Mtani Jembe uliofanyika mwishoni mwa wiki Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Maximo anaondolewa katika kikosi hicho akiwa...

 

11 years ago

GPL

Wambura basi tena Simba

Mgombea wa urais wa Simba, Michael Wambura. Sweetbert Lukonge na Khadija Mngwai
KAMATI ya Uchaguzi ya Simba, jana Jumapili ilikutana kupitia pingamizi mbalimbali walizowekewa baadhi ya wagombea walioomba kuwania nafasi za uongozi wa klabu hiyo. Uamuzi kuhusiana na pingamizi mbalimbali utatolewa leo na kamati hiyo lakini kusalimika kwa mgombea wa urais wa Simba, Michael Wambura ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano....

 

10 years ago

GPL

NIKIACHIKA, NDOA TENA BASI- DAVINA

Na Hamida Hassan
Staa wa filamu za Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameibuka na kusema kuwa kama itatokea ndoa yake ikawa ndiyo imevunjika kabisa hatarajii kuolewa tena, itakuwa ndiyo imetosha. Staa wa filamu za Bongo, Halima Yahya ‘Davina’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Davina alisema anamshukuru Mungu kwa kubahatika kuonja tamu na chungu ya ndoa na sasa kama itatokea mumewe akaona waachane...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani