Wambura basi tena Simba
![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*rwcQDa6LWN*bxHJ1W9pKSfEVEDJrQsUUdJfoixJ8YRJDe78CRj3Rav8hz9uF2CUSJa567D22SVzw9h57oKmSQv/wambura.jpg?width=600)
Mgombea wa urais wa Simba, Michael Wambura. Sweetbert Lukonge na Khadija Mngwai KAMATI ya Uchaguzi ya Simba, jana Jumapili ilikutana kupitia pingamizi mbalimbali walizowekewa baadhi ya wagombea walioomba kuwania nafasi za uongozi wa klabu hiyo. Uamuzi kuhusiana na pingamizi mbalimbali utatolewa leo na kamati hiyo lakini kusalimika kwa mgombea wa urais wa Simba, Michael Wambura ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jun
UCHAGUZI SIMBA: Wambura: Sasa imetosha basi
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7SaTPFyosgw/U57DZy72fDI/AAAAAAAFq9g/qIuuv5oLj7g/s72-c/3.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ.....: MICHAEL WAMBURA AONDOLEWA TENA UCHAGUZI MKUU SIMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-7SaTPFyosgw/U57DZy72fDI/AAAAAAAFq9g/qIuuv5oLj7g/s1600/3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGHFJsSXwgVfR0vLdKfk73uhOy455a7FEwNVpV9ZEX0sK4HO-mpspLDwxPEuE-e1wqNPThbSva6BVRd*ecfLmPda/simba.jpg?width=650)
Simba ndiyo basi tena.. yazimwa Taifa
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Wambura kurejeshwa tena leo?
KAMATI ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inatarajiwa kukutana leo mchana kupitia rufaa ya mgombea wa nafasi ya urais wa klabu ya Simba, Michael Wambura, anayepinga...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCkEe73mDaQl85MAQ0CcAee38-aGaNz8scvPwvWKuEu2hbZxXg4jJxG7rK9cBZcQDLb1ZHehG*JYqTRP8kp7pJ8X/wa.gif?width=650)
Wambura kama kawa, akata rufaa tena TFF
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Wambura kimeeleweka Simba
MGOMBEA aliyeenguliwa kuwania urais wa Klabu ya Simba katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Juni 29, Michael Wambura, amerejeshwa rasmi katika kinyang’anyiro hicho baada ya kushinda rufaa yake. Wambura, alienguliwa na Kamati...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Wambura yametimia Simba
MICHAEL Richard Wambura aliyekuwa anawania nafasi ya uenyekiti katika klabu ya Simba kupitia uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Juni 29, jijini Dar es Salaam, amechujwa katika mbio hizo kwa kutokuwa mwanachama....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GNPHxMPWE-0GzsBe7FKcByFtMAQzs9nA*8ZOciSD4in70ooWORP61Go0-XL6-hGRE24qP*yjnoVmHL3vDBtPZgsSggobkJX6/144.jpg?width=650)
Dakika 17 zamuondoa Wambura Simba
11 years ago
Daily News10 May
Wambura to test Simba waters
Daily News
Daily News
NEXT month's Simba general election promises nothing but a tight battle as former administrator and a well-known club fanatic, Michael Wambura confirmed that he will contest for the presidential post. Wambura, the former Secretary General of the then ...