Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dakika 17 zamuondoa Wambura Simba

Mgombea wa urais wa Simba, Michael Wambura. Sweetbert Lukonge na Hans Mloli
KAMATI ya Uchaguzi ya Simba chini ya Mwenyekiti Damas Ndumbaro, imemuondoa rasmi mgombea wa nafasi ya urais Simba, Michael Wambura, kama ilivyokuwa imeandikwa kwenye gazeti hili, juzi Jumatatu.
Wagombea wengine waliokuwa wamewekewa pingamizi, wote wamefanikiwa kuendelea katika hatua inayofuata. Ndumbaro ambaye alitumia dakika 17 kusoma hukumu ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0

 Timu ya Yanga imeendeleza uteja tena leo katika mchezo wa wahasimu hao uliochezwa uwanja wa taifa leo baada ya timu ya Simba kuibamiza Yanga goli 1 bila majibu goli lililofungwa na Emmanuel Okwi mchezaji aliyeikimbia timu hiyo yenye masikani yake Jangwani katika dakika ya 52. Wachezaji wa Simba na Yanga wakiwa katika mpambano.Mchezaji Simon Msuva akijaribu kufanya mashambulizi goli mwa Simba shuti lake halikuweza kuleta madhara yeyote mpaka dakika 90 Simba 1 na Yanga 0. Picha kwa hisani ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura kimeeleweka Simba

MGOMBEA aliyeenguliwa kuwania urais wa Klabu ya Simba katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Juni 29, Michael Wambura, amerejeshwa rasmi katika kinyang’anyiro hicho baada ya kushinda rufaa yake. Wambura, alienguliwa na Kamati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura yametimia Simba

MICHAEL Richard Wambura aliyekuwa anawania nafasi ya uenyekiti katika klabu ya Simba kupitia uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Juni 29, jijini Dar es Salaam, amechujwa katika mbio hizo kwa kutokuwa mwanachama....

 

11 years ago

GPL

Wambura afukuzwa uanachama Simba

Mwanachama mkongwe wa Simba, Michael Wambura. Nicodemus Jonas na Sweetbert Lukonge
JUMLA ya wanachama 800 wa Simba, jana walimvua rasmi uanachama, mwanachama mkongwe, Michael Wambura pamoja na wenzake 70 kwa kosa la kufungua kesi katika mahakama za kiraia. Wanachama hao waliridhia kufutwa uanachama huo katika mkutano mkuu wa klabu hiyo uliofanyika kwenye Bwalo la Polisi, Oysterbay Dar. Wambura ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu...

 

11 years ago

Daily News

Wambura seeks Simba presidency


Wambura seeks Simba presidency
Daily News
THE race for Simba Sports Club presidency is already gaining momentum after another influential member, Michael Wambura, picked nomination forms ready to jostle for the top position. A day after Evans Aveva, from 'Friends of Simba' wing, collected forms ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura alia udikteta Simba

ALIYEKUWA mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba kabla ya kuchujwa, Michael Richard Wambura, amewakingia kifua wanachama 69 waliosimamishwa na uongozi mpya na kusema kitendo hicho kinajenga misingi...

 

11 years ago

Daily News

Wambura to test Simba waters


Daily News
Wambura to test Simba waters
Daily News
NEXT month's Simba general election promises nothing but a tight battle as former administrator and a well-known club fanatic, Michael Wambura confirmed that he will contest for the presidential post. Wambura, the former Secretary General of the then ...

 

11 years ago

GPL

Wambura basi tena Simba

Mgombea wa urais wa Simba, Michael Wambura. Sweetbert Lukonge na Khadija Mngwai
KAMATI ya Uchaguzi ya Simba, jana Jumapili ilikutana kupitia pingamizi mbalimbali walizowekewa baadhi ya wagombea walioomba kuwania nafasi za uongozi wa klabu hiyo. Uamuzi kuhusiana na pingamizi mbalimbali utatolewa leo na kamati hiyo lakini kusalimika kwa mgombea wa urais wa Simba, Michael Wambura ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano....

 

11 years ago

GPL

WAMBURA RUKSA KUGOMBEA URAIS SIMBA

Mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura. RASMI Kamati ya rufani ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemrejeha Mgombea wa Urais wa Simba SC, Michael Richard Wambura kwenye mbio za kuwania uongozi wa Wekundu wa Msimbazi. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Wakili Julius Lugaziya amewaambia Waandishi wa Habari mchana wa leo ofisi za TFF katikati ya Jiji la Dar es Salaam, kwamba Wambura amerejeshwa baada ya kikao chao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani