Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gari za kijeshi zatumika kubeba maharusi

Gari za kijeshi (Deraya ) zinatumika kubeba maharusi mjini Moscow ili kusherehesha na kuachana na Magari ya kifahari aina ya Limo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.

Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao

NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Powertiller’ sasa zabeba maharusi

Kwa mara nyingine, jitihada za Serikali kuboresha sekta ya kilimo nchini zinaelekea kugonga mwamba baada ya sera na mpango wake kupitia ununuzi wa treka kubwa na ndogo(powertiller), kutumika kwa matumizi mengine ikiwamo kubebea maharusi.

 

10 years ago

Habarileo

Boti yazama, yaua 3, maharusi waokolewa

WATU watatu wamekufa na wengine zaidi ya 70 wameokolewa wakiwemo bwana na bibi harusi ambao walitoka kufunga ndoa muda mfupi kabla ya tukio hilo kufuatia boti waliyokuwa wakisafiria kugonga mwamba na kuzama ndani ya Ziwa Tanganyika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maharusi waoana ndani ya bwawa la maji

Maharusi wawili nchini Polland walifanya harusi yao katika bwawa lenye lita milioni 1.5 za maji ya bahari ambalo hutumiwa kwa mafunzo ya upigaji mbizi .

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maharusi wanusurika kifo Ziwa Tanganyika

WATU zaidi ya 64 wakazi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, wamesadikiwa kufa maji Ziwa Tanganyika baada ya mitumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama majini kutokana na uzito uliosababishwa na kuzidisha abiria. Akifafanua...

 

10 years ago

Mwananchi

MAZNAT: Mpambaji maharusi wenye shahada ya uzamili

>Tangu utoto wangu niliamini kuwa mikono yangu inaweza kufanya kazi na kuniwezesha kuendesha maisha hivyo nina kila sababu ya kuitumia kadiri Mungu anavyoniwezesha.

 

5 years ago

BBCSwahili

Maharusi wakamatwa kwa kukiuka sheria ya kutotoka nje

Polisi nchini Afrika Kusini wamemkamata bwana harusi bi harusi, kuhani, na wageni 40 ambao walivunja sheria za kutotoka nje za nchi hiyo na kufanya harusi.

 

10 years ago

Vijimambo

Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa


Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Maharusi wafunga ndoa mtandaoni kuepuka maambukizi

Maharusi Zoe Davies na Tom Jackson ni baadhi ya wanandoa ambao harusi zao hazikufanyika kufuatia janga la corona

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani