Gari za kijeshi zatumika kubeba maharusi
Gari za kijeshi (Deraya ) zinatumika kubeba maharusi mjini Moscow ili kusherehesha na kuachana na Magari ya kifahari aina ya Limo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
11 years ago
Mwananchi04 May
‘Powertiller’ sasa zabeba maharusi
10 years ago
Habarileo13 Oct
Boti yazama, yaua 3, maharusi waokolewa
WATU watatu wamekufa na wengine zaidi ya 70 wameokolewa wakiwemo bwana na bibi harusi ambao walitoka kufunga ndoa muda mfupi kabla ya tukio hilo kufuatia boti waliyokuwa wakisafiria kugonga mwamba na kuzama ndani ya Ziwa Tanganyika.
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Maharusi waoana ndani ya bwawa la maji
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Maharusi wanusurika kifo Ziwa Tanganyika
WATU zaidi ya 64 wakazi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, wamesadikiwa kufa maji Ziwa Tanganyika baada ya mitumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama majini kutokana na uzito uliosababishwa na kuzidisha abiria. Akifafanua...
10 years ago
Mwananchi12 Apr
MAZNAT: Mpambaji maharusi wenye shahada ya uzamili
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Maharusi wakamatwa kwa kukiuka sheria ya kutotoka nje
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa
Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Maharusi wafunga ndoa mtandaoni kuepuka maambukizi