WANANCHI LUDEWA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LOCpssTMyE0/Xut7m2rC8vI/AAAAAAALue8/pyZjmKmU154tziMn--gUugiCc7DKnVQBQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Na Amiri Kilagalila,Njombe. Wananchi wa kitongoji cha Mking’ino kijiji cha Luvuyo kata ya Madope wilayani Ludewa mkoani Njombe wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya barabara inayounganisha kijiji chao na vijiji jirani ili kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii. Wakazi hao akiwemo Erasto Mtega, Junitha Mbukwa na Stia Chaula wamesema asilimia kubwa ya wakazi wa eneo hilo ni wakulima wa mazao ya viazi mviringo na mahindi lakini changamoto ya ubovu wa barabara inawalazimu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gw_GfU9R_Kk/XkayoFm171I/AAAAAAALdaU/36eD_PFC6nMdhougDHhbIm42igX1cC8DwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200213-WA0121.jpg)
WANANCHI WAJITOKEZA KUBORESHA BARABARA KWAKUTUMIA ZANA ZA MIKONO WILAYANI LUDEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gw_GfU9R_Kk/XkayoFm171I/AAAAAAALdaU/36eD_PFC6nMdhougDHhbIm42igX1cC8DwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200213-WA0121.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VBUc6wTNi-A/XkayoH8sI3I/AAAAAAALdaQ/AsCDMKwRcNU-ABsV5T8hw7xL6SrfYYQKwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200213-WA0125.jpg)
Barabara hiyo inayounganisha kata za Ibumi na Ludewa imeharibika zaidi katika eneo la mlima Nyamikuyu na eneo la mto ketewaka na madenge hasa katika kipindi hiki cha masika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Zoezi la harambee ya kurekebisha barabara hiyo kwa kutumia majembe,...
5 years ago
MichuziWANANCHI KIJIJI CHA IGAWA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Na Mwandishi Wetu,MAELEZO-DAR ES SALAAM
WANANCHI wa Kijiji cha Igawa, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kuboresha miundombinu ya barabara hatua inayolenga kufungua fursa za kiuchumi na ukuaji wa miji katika maeneo mbalimbali nchini. Wakizungumza katika mahojiano maalum na Idara ya Habari (MAELEZO) hivi karibuni Kijijini hapo, wananchi hao walisema udhubutu uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kutekeleza miradi mikubwa ya...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Watalii waiomba Serikali kuboresha usafiri wa anga
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Serikali yaahidi kuboresha miundombinu DIT
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amesema serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kutokana na taasisi hiyo kutoa mchnago muhimu kwa taifa. Mbali...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Serikali yasaka fedha ujenzi barabara ya Njombe-Ludewa
SERIKALI imesema inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Njombe hadi Ludewa Mjini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge, wakati akijibu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AH5sHMxo14k/XrGnMz9DhnI/AAAAAAALpPc/DQDSkPCZ6C4MPh5mtHe9j2jYXKwC68hrwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0058.jpg)
WANAVIJIJI WAENDELEA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI, PCI NA CRDB KUBORESHA MIUNDOMBINU YA SHULE ILIYOFUNGULIWA MWAKA 1956
Na Fedson Masawa-Jimbo la Musoma VijijiniMsaidizi wa Mbunge
WANAKIJIJI cha Kijiji cha Kiemba, Kata ya Ifulifu wameendelea kushirikiana na WADAU wa MAENDELEO kuboresha MIUNDOMBINU ya SHULE YA MSINGI MURUNYIGO iliyofunguliwa Mwaka 1956.
Hivi karibuni BENKI ya CRDB imechangia ukamilishaji wa ujenzi wa chumba kimoja cha DARASA kwenye Shule hiyo.
MWALIMU MKUU wa Shule hiyo, Mwl Grace Majinge amesema kwamba jumla ya WANAFUNZI Shuleni hapo ni 846, na mahitaji ya VYUMBA vya MADARASA ni 21, ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s72-c/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GO3kWBAoLmA/U331IVh4O8I/AAAAAAAFkds/QwC9hKd8MjM/s72-c/MAJI+1.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MAJI, YAZINDUA MWONGOZO WA UTENDAJI KWA MAMLAKA ZA MAJI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GO3kWBAoLmA/U331IVh4O8I/AAAAAAAFkds/QwC9hKd8MjM/s1600/MAJI+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WC6XwrZelSA/U331G3bkx9I/AAAAAAAFkdY/MC3Z_ucX-6M/s1600/MAJI+-2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-situcg5PG4c/XvODa1XTiII/AAAAAAALvS0/QKaKdqekTvosbaJjjEBNJZKwC4dwQMc2QCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-no.-1-768x512.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUIUNGA MKONO SERIKALI KWA KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA HAPA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-situcg5PG4c/XvODa1XTiII/AAAAAAALvS0/QKaKdqekTvosbaJjjEBNJZKwC4dwQMc2QCLcBGAsYHQ/s640/Picha-no.-1-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akiwajulia hali wagonjwa wanaotibiwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa ziara yake ya kikazi aliyofanya katika Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuangalia huduma za matibu ya moyo zinazotolewa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-no.-2-1024x806.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akimsikiliza Msimamizi wa wodi ya watoto Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)...