WANANCHI WAJITOKEZA KUBORESHA BARABARA KWAKUTUMIA ZANA ZA MIKONO WILAYANI LUDEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gw_GfU9R_Kk/XkayoFm171I/AAAAAAALdaU/36eD_PFC6nMdhougDHhbIm42igX1cC8DwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200213-WA0121.jpg)
Na Amiri kilagalila,NjombeWANANCHI wa kijiji na kata ya Ibumi wilayani Ludewa mkoa wa Njombe wamejitokeza kwa wingi wakiwa na zana za mikono kwenda kurekebisha barabara ya kutoka Ibumi kuelekea Ludewa mjini.
Barabara hiyo inayounganisha kata za Ibumi na Ludewa imeharibika zaidi katika eneo la mlima Nyamikuyu na eneo la mto ketewaka na madenge hasa katika kipindi hiki cha masika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Zoezi la harambee ya kurekebisha barabara hiyo kwa kutumia majembe,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LOCpssTMyE0/Xut7m2rC8vI/AAAAAAALue8/pyZjmKmU154tziMn--gUugiCc7DKnVQBQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
WANANCHI LUDEWA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wd1sH5zswY0/XmUmnkQjpnI/AAAAAAALh-E/ERLU3m_xaWMDZNWlLlOp50jPGoLXqrNtwCLcBGAsYHQ/s72-c/16ff29ca-1f93-4fcc-b78d-d810e6d531f7.jpg)
KIFUSI CHA UDONGO CHAFUNIKA BARABARA WILAYANI LUDEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wd1sH5zswY0/XmUmnkQjpnI/AAAAAAALh-E/ERLU3m_xaWMDZNWlLlOp50jPGoLXqrNtwCLcBGAsYHQ/s1600/16ff29ca-1f93-4fcc-b78d-d810e6d531f7.jpg)
Baadhi ya wasafiri wakitokea wilayani Ludewa kuelekea njombe mjini, wakivuka upande wa pili kwaajili ya kupanda gari jingine lililotokea njombe baada ya mlima kuporomoka na kuziba barabara eneo la Jongojongo lililopo wilayani humo na kupelekea mabasi kubadilishana abiria.
![](https://1.bp.blogspot.com/-g18mnp5ru4E/XmUmpVlf4EI/AAAAAAALh-I/enBOZC-K5RUCnC4871sZap8Tr79S8Z8tQCLcBGAsYHQ/s1600/77d3af06-2ebe-4ed1-a4c0-7882de1fbdb6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gRXK-04HCkg/XmUmnPDM9kI/AAAAAAALh-A/KU6KsF6jDZgjsx2VHc9FxM2Wc5tUVr6rQCLcBGAsYHQ/s1600/407b2382-9551-4b22-a3e9-fdc942b17082.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BYMlbJ7IY2c/XrwUMXPTaMI/AAAAAAALqHQ/nsj3fV6HcBYRMAGz3SBNBwBjSkZoq_dhQCLcBGAsYHQ/s72-c/ac93758e-7408-4465-b6e1-957b5e3663ca.jpg)
WANANCHI KATA YA MBWILA NA LIFUMA WILAYANI YA LUDEWA WAUNGANA KUFANYA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-BYMlbJ7IY2c/XrwUMXPTaMI/AAAAAAALqHQ/nsj3fV6HcBYRMAGz3SBNBwBjSkZoq_dhQCLcBGAsYHQ/s640/ac93758e-7408-4465-b6e1-957b5e3663ca.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7TOBNkJ7Iag/XrwUMgfGP3I/AAAAAAALqHU/kYZp9A0NkcQ_BAC2wJFOh4ag26okD6mawCLcBGAsYHQ/s640/c165ad58-0537-40cf-a3e4-06bc1957a5bc.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bO7nq8bOXWo/XrwULQOBUbI/AAAAAAALqHI/0OTx-RdWQlYJNZSuFOHwAphbEIGkCbgVgCLcBGAsYHQ/s640/1e830f54-c6d5-4684-b093-c56c5b43ec55.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eRn39kPOTHw/XrwULbxJ6vI/AAAAAAALqHE/CYJVFcpVgTkmXcevvn4yjpx93NfKAgHXQCLcBGAsYHQ/s640/8c7040be-249d-4f98-a635-349eb9cb4b67.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Op6bawHq3Mo/XrwULadfFII/AAAAAAALqHM/Yt5RhdzpSK0u0kkZ0G-RidmVv1jfAT_zQCLcBGAsYHQ/s640/16eda9aa-ae11-44a5-9ef2-7cef813526f0.jpg)
Mwenyekiti wa halmashauri ya Ludewa...
10 years ago
GPLMH. NASSARY ASHIRIKI KAZI ZA MIKONO NA WANANCHI KWA UJENZI WA BARABARA YA SAWMILL- USHILI MPAKA SURA, ARUMERU MASHARIKI
10 years ago
MichuziMh. Nassary ashiriki kazi za mikono na wananchi kwa Ujenzi wa barabara ya Sawmill- Ushili mpaka Sura,Arumeru Mashariki
Mapumziko kwa chakula cha mchana mara baada ya kuchapa kazi ya kutengeneza barabara.
5 years ago
MichuziWANANCHI KIJIJI CHA IGAWA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Na Mwandishi Wetu,MAELEZO-DAR ES SALAAM
WANANCHI wa Kijiji cha Igawa, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kuboresha miundombinu ya barabara hatua inayolenga kufungua fursa za kiuchumi na ukuaji wa miji katika maeneo mbalimbali nchini. Wakizungumza katika mahojiano maalum na Idara ya Habari (MAELEZO) hivi karibuni Kijijini hapo, wananchi hao walisema udhubutu uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kutekeleza miradi mikubwa ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NIBrCB53poY/U5tE_ToYFkI/AAAAAAAFqbw/bTDg0ibw5o4/s72-c/_1.jpg)
WENGI WAJITOKEZA KWENYE SEMINA MAALUM YA UONGOZI BORA ILIYOANDALIWA NA MIKONO SPEAKERS
![](http://1.bp.blogspot.com/-NIBrCB53poY/U5tE_ToYFkI/AAAAAAAFqbw/bTDg0ibw5o4/s1600/_1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s72-c/_MG_9335.jpg)
MAGUFULI APOKEWA KWA KISHINDO WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s640/_MG_9335.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zAT65H3Am_E/VeNpGtatB2I/AAAAAAAH1D4/FBH4SCVozZM/s640/_MG_9451.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K6dpwzuXxpo/VeNojq8T0kI/AAAAAAAH1DQ/VgfvkNY33tI/s640/_MG_9275.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Serikali yasaka fedha ujenzi barabara ya Njombe-Ludewa
SERIKALI imesema inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Njombe hadi Ludewa Mjini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge, wakati akijibu...