Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCHI WAJITOKEZA KUBORESHA BARABARA KWAKUTUMIA ZANA ZA MIKONO WILAYANI LUDEWA


Na Amiri kilagalila,NjombeWANANCHI wa kijiji na kata ya Ibumi wilayani Ludewa mkoa wa Njombe  wamejitokeza kwa wingi wakiwa na zana za mikono kwenda kurekebisha barabara ya kutoka Ibumi kuelekea Ludewa mjini.
Barabara hiyo inayounganisha kata za Ibumi na Ludewa imeharibika zaidi katika eneo la mlima Nyamikuyu na eneo la mto ketewaka na madenge hasa katika kipindi hiki cha masika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Zoezi la harambee ya kurekebisha barabara hiyo kwa kutumia majembe,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WANANCHI LUDEWA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Na Amiri Kilagalila,Njombe. Wananchi wa kitongoji cha Mking’ino kijiji cha Luvuyo kata ya Madope wilayani Ludewa mkoani Njombe wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya barabara inayounganisha kijiji chao na vijiji  jirani ili kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii. Wakazi hao akiwemo Erasto Mtega, Junitha Mbukwa na Stia Chaula wamesema asilimia kubwa ya wakazi wa eneo hilo ni wakulima wa mazao ya viazi mviringo na mahindi lakini changamoto ya ubovu wa barabara inawalazimu...

 

5 years ago

Michuzi

KIFUSI CHA UDONGO CHAFUNIKA BARABARA WILAYANI LUDEWA


Baadhi ya wasafiri wakitokea wilayani Ludewa kuelekea njombe mjini, wakivuka upande wa pili kwaajili ya kupanda gari jingine lililotokea njombe baada ya mlima kuporomoka na kuziba barabara eneo la Jongojongo lililopo wilayani humo na kupelekea mabasi kubadilishana abiria.

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI KATA YA MBWILA NA LIFUMA WILAYANI YA LUDEWA WAUNGANA KUFANYA MAENDELEO

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ludewa (Kulia) akishirikiana na wananchi kuchimba barabara inayotoka kata ya Mbwila kwenda Lifuma. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ludewa(Kulia) akiwa na baadhi ya wananchi wakipita katika barabara baada ya kumaliza zoezi la uchimbaji.  Wananchi wakikata ikiwa ni harakati ya kut engeneza barabara
 Wananchi wa kata ya Mbwila na Lifuma wakichimba barabara
 Wananchi wa kata ya Mbwila na Lifuma  wakichimba barabara Na Shukrani Kawogo

Mwenyekiti wa halmashauri ya Ludewa...

 

10 years ago

GPL

MH. NASSARY ASHIRIKI KAZI ZA MIKONO NA WANANCHI KWA UJENZI WA BARABARA YA SAWMILL- USHILI MPAKA SURA, ARUMERU MASHARIKI

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassary (anaeonekana kunyanyua kitu) akishirikiana na baadhi ya Wananchi wa vijiji vya Ushili na Sura Arumeru Mashariki kuchimba sehemu inayotakiwa kupita barabara ya Sawmill- Ushili mpaka Sura. Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassary akiendelea na kazi hiyo kwa kushirikiana na Wananchi… ...

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Nassary ashiriki kazi za mikono na wananchi kwa Ujenzi wa barabara ya Sawmill- Ushili mpaka Sura,Arumeru Mashariki

 Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassary (anaeonekana kunyanyua kitu) akishirikiana na baadhi ya Wananchi wa vijiji vya Ushili na Sura Arumeru Mashariki kuchimba sehemu inayotakiwa kupita barabara ya Sawmill- Ushili mpaka Sura.Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassary akiendelea na kazi hiyo kwa kushirikiana na Wananchi wake.Kazi ikiendelea.
Mapumziko kwa chakula cha mchana mara baada ya kuchapa kazi ya kutengeneza barabara.

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI KIJIJI CHA IGAWA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA


Na Mwandishi Wetu,MAELEZO-DAR ES SALAAM
 WANANCHI wa Kijiji cha Igawa, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kuboresha miundombinu ya barabara hatua inayolenga kufungua fursa za kiuchumi na ukuaji wa miji katika maeneo mbalimbali nchini. Wakizungumza katika mahojiano maalum na Idara ya Habari (MAELEZO) hivi karibuni Kijijini hapo, wananchi hao walisema udhubutu uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kutekeleza miradi mikubwa ya...

 

11 years ago

Michuzi

WENGI WAJITOKEZA KWENYE SEMINA MAALUM YA UONGOZI BORA ILIYOANDALIWA NA MIKONO SPEAKERS

Nguli wa Maswala ya Uongozi na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Kimataifa ya Brian Tracy kutoka nchini Marekani,Brian Tracy akikiongoza semina maalum ya uongozi bora iliyoandaliwa na Mikono Speakers,iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere,Jijini Dar es Salaam.Nguli mwingine alietoa mada kwenye Semina hiyo ni Azim Jamal ambaye ni Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Corporate Sufi Worldwide Inc. kampuni inayojihusisha na kusaidia wadau na makampuni kupata...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI APOKEWA KWA KISHINDO WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Ludewa mjini kabla ya kuanza kuwahutubia ,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo na kuhudhriwa na maelfu ya watu.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Ludewa waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo.
Mgombea Ubunge wa jimbo la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yasaka fedha ujenzi barabara ya Njombe-Ludewa

SERIKALI imesema inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Njombe hadi Ludewa Mjini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge, wakati akijibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani