Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WENGI WAJITOKEZA KWENYE SEMINA MAALUM YA UONGOZI BORA ILIYOANDALIWA NA MIKONO SPEAKERS

Nguli wa Maswala ya Uongozi na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Kimataifa ya Brian Tracy kutoka nchini Marekani,Brian Tracy akikiongoza semina maalum ya uongozi bora iliyoandaliwa na Mikono Speakers,iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere,Jijini Dar es Salaam.Nguli mwingine alietoa mada kwenye Semina hiyo ni Azim Jamal ambaye ni Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Corporate Sufi Worldwide Inc. kampuni inayojihusisha na kusaidia wadau na makampuni kupata...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MIKONO SPEAKERS YAANDAA SEMINA MAALUM YA UONGOZI BORA

Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Kimataifa ya Brian Tracy,Brian Tracy kutoka nchini Marekani,akizungumza jambo mapema leo asubuhi katika moja ya ukumbi wa Serena Hotel,jijini Dar kuhusiana na semina maalum ya uongozi bora ilioandaliwa na Mikono Speakers iliyomuhusisha nguli huyo wa masuala ya uongozi na kutoka nchini Marekani na Azim Jamal pichani kulia ambaye ni  mwanzilishi na Mkurugenzi wa Corporate Sufi Worldwide Inc. kampuni inayojihusisha na kusaidia wadau na makampuni...

 

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA KITIVO CHA BIASHARA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM WANUFAIKA NA SEMINA MAALUM YA MASUALA YA BIASHARA ILIYOANDALIWA NA VODACOM TANZANIA

Mwanafunzi wa mwaka wa pili wa masomo ya biashara katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Zahra Ramadhani(kulia) akielezewa jambo na mfanyakazi wa Vodacom Tanzania, Habibu Ngosha ,kuhusiana na simu aina ya Smart Phone wakati Semina maalum ya mafunzo ya Kibiashara iliyoandaliwa na kampuni hiyo kwa kushirikiana na wadau wa masuala ya biashara hapo jana chuoni hapo. Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Bidhaa wa Vodacom Tanzania,Samson Mwongela akimkabidhi zawadi mmoja wa wanafunzi wanaosoma masomo ya...

 

10 years ago

GPL

WENGI WAJITOKEZA KWENYE USAILI WA SHINDANO LA TMT JIJINI MWANZA

Baadhi ya washiriki kutoka Kanda ya Ziwa wakipewa maelekezo kutoka kwa mfanyakazi wa TMT kwa ajili ya kuanza usaili. Washiriki wa shindano la TMT 2015 jijini Mwanza wakipewa semina elekezi. Washiriki wakiwa tayari kuingia chumba cha majaji kwa ajili ya kuanza usaili. Na Andrew…

 

11 years ago

Michuzi

Visit Mikono Speakers at BuildExpo Africa 2014

Tickets for the High Performance 
Leadership seminar are quickly selling out...
Visit Mikono Speakers booth at the BuildExpo Africa 2014 at Mlimani City Conference Centre from 8th to 10th May 2014 and get your ticket at 15% discount. Do not miss out on this once-in-a-lifetime opportunity to witness the legendary Brian Tracy and Azim Jamal live in Dar Es Salaam For details: Call 0717 109 362 or 0784 636...

 

11 years ago

Michuzi

wengi wajitokeza kwenye hafla ya kuapishwa kwa Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini leo

Umati wa watu wa Afrika Kusini na wengine kutoka nchi mbali mbali,ukiwa nje ya Majengo ya Umoja yaliopo kwenye Mji wa Pritoria nchini humo,tayari kwa hafla ya kuapishwa kwa Rais wa nchi ya Afrika Kusini,Mh. Jacob Zuma inayoendelea kufanyika hivi sasa.

 

11 years ago

Michuzi

The Love & Dine Valentine Dinner by Mikono Speakers at Peacock Hotel

The Love & Dine Valentine Dinner by Mikono Speakers at Peacock Hotel is nothing like your average Valentine dinner. This event goes beyond just providing you with a sumptuous dinner and live entertainment.  You will get food for the soul from renowned relationship counsellors who will unveil a wonderful surprise for empowering your relationships. Plus, a grand raffle draw where you can win a special Valentine present for you and your  other half.
Get your ticket today. Call 0717 109...

 

11 years ago

Michuzi

SEMINA YA SHERIA YA MANUNUZI iliyoandaliwa na ACCT imekamilika leo

Association of Citizen Contractors (ACCT) organized a two-day seminar on the new Procurement Act of 2011, at Kunduchi Beach Hotel from 11th to 12th June 2014 has been conducted by Dr. Ramadhani Mlinga who is the former CEO of PPRA and a seasoned specialist in the Procurement area. 
This program is very important to the construction industry as it will highlight key changes introduced in the Public Procurement Act of 2011 and its 2013 regulations and explained the impact of these changes...

 

11 years ago

Michuzi

dhifa maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya Ujumbe wa Bodi ya Utendaji ya IFAD ZANZIBAR

Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo { IFAD }umeombwa kuendelea kuunga mkono Sekta ya Kilimo Zanzibar katika njia ya kuwajengea uwezo wazalishaji wa Sekta hiyo mama ya uchumi kupitia mfumo wa Teknolojia ya kisasa.  Ombi hilo limetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hapo Serena Hoteli Shangani Mjini Zanzibar wakati wa dhifa maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya Ujumbe wa Bodi ya Utendaji ya Mfuko huo uliofanya ziara maalum kukagua miradi mbali mbali...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WAJITOKEZA KUBORESHA BARABARA KWAKUTUMIA ZANA ZA MIKONO WILAYANI LUDEWA


Na Amiri kilagalila,NjombeWANANCHI wa kijiji na kata ya Ibumi wilayani Ludewa mkoa wa Njombe  wamejitokeza kwa wingi wakiwa na zana za mikono kwenda kurekebisha barabara ya kutoka Ibumi kuelekea Ludewa mjini.
Barabara hiyo inayounganisha kata za Ibumi na Ludewa imeharibika zaidi katika eneo la mlima Nyamikuyu na eneo la mto ketewaka na madenge hasa katika kipindi hiki cha masika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Zoezi la harambee ya kurekebisha barabara hiyo kwa kutumia majembe,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani