Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIKONO SPEAKERS YAANDAA SEMINA MAALUM YA UONGOZI BORA

Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Kimataifa ya Brian Tracy,Brian Tracy kutoka nchini Marekani,akizungumza jambo mapema leo asubuhi katika moja ya ukumbi wa Serena Hotel,jijini Dar kuhusiana na semina maalum ya uongozi bora ilioandaliwa na Mikono Speakers iliyomuhusisha nguli huyo wa masuala ya uongozi na kutoka nchini Marekani na Azim Jamal pichani kulia ambaye ni  mwanzilishi na Mkurugenzi wa Corporate Sufi Worldwide Inc. kampuni inayojihusisha na kusaidia wadau na makampuni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WENGI WAJITOKEZA KWENYE SEMINA MAALUM YA UONGOZI BORA ILIYOANDALIWA NA MIKONO SPEAKERS

Nguli wa Maswala ya Uongozi na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Kimataifa ya Brian Tracy kutoka nchini Marekani,Brian Tracy akikiongoza semina maalum ya uongozi bora iliyoandaliwa na Mikono Speakers,iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere,Jijini Dar es Salaam.Nguli mwingine alietoa mada kwenye Semina hiyo ni Azim Jamal ambaye ni Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Corporate Sufi Worldwide Inc. kampuni inayojihusisha na kusaidia wadau na makampuni kupata...

 

11 years ago

Michuzi

Visit Mikono Speakers at BuildExpo Africa 2014

Tickets for the High Performance 
Leadership seminar are quickly selling out...
Visit Mikono Speakers booth at the BuildExpo Africa 2014 at Mlimani City Conference Centre from 8th to 10th May 2014 and get your ticket at 15% discount. Do not miss out on this once-in-a-lifetime opportunity to witness the legendary Brian Tracy and Azim Jamal live in Dar Es Salaam For details: Call 0717 109 362 or 0784 636...

 

11 years ago

Michuzi

The Love & Dine Valentine Dinner by Mikono Speakers at Peacock Hotel

The Love & Dine Valentine Dinner by Mikono Speakers at Peacock Hotel is nothing like your average Valentine dinner. This event goes beyond just providing you with a sumptuous dinner and live entertainment.  You will get food for the soul from renowned relationship counsellors who will unveil a wonderful surprise for empowering your relationships. Plus, a grand raffle draw where you can win a special Valentine present for you and your  other half.
Get your ticket today. Call 0717 109...

 

10 years ago

Vijimambo

OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAANDAA SEMINA YA MABADILIKO WA TABIA NCHI KWA WADAU

Sehemu ya Washiriki wa semina ya mabadiliko ya Tabia Nchi inayofanyika mjini Morogoro. Semina hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Makamu wa RaisMgeni Rasmi ambaye ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais,Bwana Sazi Salula akifungua semina hiyo ya mabadiliko ya tabia Nchi.

Mtoa mada katika semina hiyo ya mabadiliko ya tabia nchi Dkt. Yohanna Shaghude akiwasilisha mada kwa Washiriki waliohudhuria semina hiyoMgeni Rasmi ambaye ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Sazi Salula akiwa katika picha...

 

10 years ago

Michuzi

PSPF YAANDAA SEMINA YA SIKU MOJA KWA WATUMISHI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja kwa watumishi wa serikali na taasisi zake iliyofanyika jana Agosti 29, 2014 mjini Bagamoyo, mkoa wa Pwani. Constatina Martin Meneja Masoko, na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Constatina Martin, akizungumza kwenye semina ya siku moja ya watumishi wa serikali na taasisi zake iliyoandaliwa na Mduko huo mjini Bagamoyo mkoa wa Pwani, Ijumaa Agosti 29, 2014.

 

10 years ago

GPL

AIRTEL FURSA YAANDAA SEMINA YA DARAJA LA MAFANIKIO KWA VIJANA MJINI MTWARA

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Fatma Salum Ally akifungua mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’, yaliyofanyika kwenye Ukumbi VETA mjini Mtwara jana. Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi akizungumza wakati wa mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’, yaliyofanyika kwenye Ukumbi VETA mjini Mtwara jana.… ...

 

10 years ago

Michuzi

TANAPA YAANDAA SEMINA YA WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUKUZA UTALII JIJINI MWANZA

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa,Ndugu Allan Kijazi akizungumza jambo,wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Wahariri wa Habari Tanzania,mapema leo asubuhi jijini Mwanza.Ndugu Kijazi alisema kuwa Utalii ni sekta mtambuka na inachochea ukuaji wa sekta nyingine ikiwa ni pamoja na kilimo, usafirishaji wa anga na barabara, huduma za fedha, huduma za chakula na malazi kudorora kwa sekta nyinginezo.   
Katika ufunguzi wa Warsha hiyo,Ndugu Kijazi alisema kuwa, Kauli mbiu ya Mkutano wa mwaka...

 

9 years ago

Dewji Blog

Taasisi ya UONGOZI yaandaa warsha ya wadau wa Serikali katika usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia

image001 (2)

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Johansen Bukwali akisoma hotuba ya ufunguzi wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia kwa niaba ya mgeni rasmi Waziri wa Nchi -TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia katika ukumbi wa hoteli ya NAF Beach mkoani Mtwara.

image002Mkuu wa Idara ya Utafiti na Sera kutoka Taasisi ya UONGOZI Bw. Dennis Rweyemamu akizungumza kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja wakati wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani