AIRTEL FURSA YAANDAA SEMINA YA DARAJA LA MAFANIKIO KWA VIJANA MJINI MTWARA
![](http://api.ning.com:80/files/NQs0dYxvfMVkQ2yIfjgTl3MkAcmHiLnrh3tYDUb1VsdlHru9yc81rkGYXnxDER9lvIV*Iyom8rf907bHX0sCWyPWLMkN2nzp/1.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Fatma Salum Ally akifungua mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’, yaliyofanyika kwenye Ukumbi VETA mjini Mtwara jana. Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi akizungumza wakati wa mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’, yaliyofanyika kwenye Ukumbi VETA mjini Mtwara jana.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FkOfy3ay_r0/VYhKU_p2kgI/AAAAAAAHilM/OG7VNU31Bbw/s72-c/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
Vodacom yawezesha semina ya Daraja la Mafanikio kwa Vijana
![](http://2.bp.blogspot.com/-FkOfy3ay_r0/VYhKU_p2kgI/AAAAAAAHilM/OG7VNU31Bbw/s640/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaIy9lJ*vLdgluo4aJbnXZ37t9fxhkuVYcMlPP-lAr-0jm14vstyr8zkdB*4PlD1HCSJHHU2fLH7qchTN4kI-3kV/mafanikio1.jpg?width=650)
VODACOM YAWEZESHA SEMINA YA DARAJA LA MAFANIKIO KWA VIJANA
Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (wa pili kutoka kulia) akifuatilia semina ya Daraja la Mafanikio iliyoandaliwa na American Chamber of Commerce (AMCHAM) kwa udhamini wa Vodacom Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kupitia semina hiyo, mamia ya vijana kutoka sehemu mbalimbali (pichani) walipatiwa ujuzi wa jinsi ya kuandika CV, barua za maombi ya kazi pamoja na ujuzi utakaowasaidia...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Coi-q*8bH0*OXysX4BhjXyhdbTo8QAPNjcQ6EK4OlRmjsiGLn-sbAM*rnSfR7ATPQZuLC80KrYoIFGYxdNyu6B*l/1A.jpg)
AIRTEL FURSA YAFIKIA VIJANA WA MTWARA
Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (kulia), akimkabidhi kijana Godfrey Frank Manjavila, msaada wa pikipiki ya magurudumu matatu aina ya Toyo, malighafi na vifaa mbali mbali vya kutengenezea sabuni, kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’, katika hafla fupi iliyofanyika nyumbani kwao, katika eneo la Shangani, Manispaa ya Mtwara jana. Wanaoshuhudia ni Mama yake mzazi, Aziza Nachenda (kushoto),...
9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
Wafanyabishara wadogo na wa kati zaidi ya 300 waliopo katika wilaya mbali mbali mkoani Tanga wameongezewa ujuzi wa elimu ya biashara ili waweze kufanya shughuli zao kwa ufanisi na kuweza kuongezaza kipato chao na kuchangia pato la taifa. Kampuni ya Airtel Tanzania, kupitia mpango wake wa “Airtel Fursa Tunakuwezesha” imewapatia mafunzo ya ujasiriamali vijana wa manispaa ya Tanga kwa lengo la kuwawezesha kuboresha uendeshaji biashara na kukuza mitaji yao katika warsha iliyofanyika katika...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iQXpu99Oc_o/Vd2mBtItNGI/AAAAAAAH0J8/nJdyX86TE04/s72-c/1.jpg)
VIJANA MTWARA WAENDELEA KUWEZESHWA KUPITIA AIRTEL FURSA
![](http://2.bp.blogspot.com/-iQXpu99Oc_o/Vd2mBtItNGI/AAAAAAAH0J8/nJdyX86TE04/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-va3AyPxWlqI/Vd2mBh4xyYI/AAAAAAAH0J4/DWGF2W6pFMs/s640/2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S642KsM6XOkvG3sqL5TOklbPd6H-le4QsVcxQoumw7Sdij3e7F6cmm*4D1l6YaL8j6M1RPTB7V9pMPFBYX2MELYoO9tkjUmv/1.jpg)
VIJANA MTWARA WAENDELEA KUWEZESHWA KUPITIA AIRTEL FURSA
Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (kushoto), akimkabidhi kijana Prisca George Chilumba, msaada wa vifaa mbali mbali vya saluni ya wanawake kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye sehemu yake ya biashara iliyokarabatiwa na Airtel katika Mtaa wa Ligula, Manispaa ya Mtwara jana. Wanaoshuhudia ni Meneja wa Airtel Mtwara, Bartholomew Masatu (wa pili kushoto) na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--I0FqnOl0i8/VZOU1dM2D8I/AAAAAAAHmHQ/4EMmq8jci-0/s72-c/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
Airtel Fursa Yatumia zaidi ya milioni 3 kumpiga tafu mjasiliamali mwingine - Airtel Fursa wiki hii kuwafaidisha mamia ya vijana Mwanza
![](http://4.bp.blogspot.com/--I0FqnOl0i8/VZOU1dM2D8I/AAAAAAAHmHQ/4EMmq8jci-0/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NLAxHtDkgT4/VZOU4trpdDI/AAAAAAAHmHg/UKCqdnXBI8o/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
9 years ago
MichuziAIRTEL YAENDELEA KUFUNGUA FURSA KWA VIJANA HAPA NCHINI
Mafunzo hayo ya biashara ambayo yamekuwa yakiendeshwa hapa nchini katika mikoa mbali mbali , wiki ijayo yatafanyika Dar Live Mbagala Kuu karibu na Big Bon siku ya Jumanne tarehe 15 ili kuwawezesha vijana kuweza...
9 years ago
MichuziAirtel yabadilisha maisha ya vijana na Airtel Fursa Tunakuwezesha
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania