Vodacom yawezesha semina ya Daraja la Mafanikio kwa Vijana
![](http://2.bp.blogspot.com/-FkOfy3ay_r0/VYhKU_p2kgI/AAAAAAAHilM/OG7VNU31Bbw/s72-c/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (katikati) akifafanua jambo wakati wa semina ya Daraja la Mafanikio iliyoandaliwa na American Chamber of Commerce (AMCHAM) kwa udhamini wa Vodacom Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kupitia semina hiyo, mamia ya vijana kutoka sehemu mbalimbali (pichani) walipatiwa ujuzi wa jinsi ya kuandika CV, barua za maombi ya kazi pamoja na ujuzi utakaowasaidia kutafuta kazi katika makampuni makubwa na yale ya kimataifa....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaIy9lJ*vLdgluo4aJbnXZ37t9fxhkuVYcMlPP-lAr-0jm14vstyr8zkdB*4PlD1HCSJHHU2fLH7qchTN4kI-3kV/mafanikio1.jpg?width=650)
VODACOM YAWEZESHA SEMINA YA DARAJA LA MAFANIKIO KWA VIJANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQs0dYxvfMVkQ2yIfjgTl3MkAcmHiLnrh3tYDUb1VsdlHru9yc81rkGYXnxDER9lvIV*Iyom8rf907bHX0sCWyPWLMkN2nzp/1.jpg)
AIRTEL FURSA YAANDAA SEMINA YA DARAJA LA MAFANIKIO KWA VIJANA MJINI MTWARA
9 years ago
MichuziBenki ya NBC yawezesha mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-OS6uqrL3NM4/VX4oZ5Mz_TI/AAAAAAAASyo/3P3KWXd7W58/s72-c/IMG-20150614-WA0018.jpg)
SEMINA YA WATIA NIA UBUNGE CHADEMA KANDA YA KATI YAFANYIKA DODOMA KWA MAFANIKIO
![](http://1.bp.blogspot.com/-OS6uqrL3NM4/VX4oZ5Mz_TI/AAAAAAAASyo/3P3KWXd7W58/s1600/IMG-20150614-WA0018.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VtSHIpsXw-M/VX4oZs5CYyI/AAAAAAAASyk/cYDqG_AyI-c/s1600/IMG-20150614-WA0021.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ws8WN6thS6o/VX4oZ-krO2I/AAAAAAAASyw/YrtJgtyONfQ/s1600/IMG-20150614-WA0024.jpg)
11 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA VODACOM WAAZIMISHA SIKU YA MALARIA DUNIANI KWA SEMINA MAALUMU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T81nVdbzFJ0/Xsy9jC3CsBI/AAAAAAAEHUQ/OnY9Qtf5T4cFo1geYziTMu_DFp8wtUnJQCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Vodacom Tanzania yawezesha wanafunzi kuendelea na masomo kupitia jukwaa la kidijitali bure.
![](https://1.bp.blogspot.com/-T81nVdbzFJ0/Xsy9jC3CsBI/AAAAAAAEHUQ/OnY9Qtf5T4cFo1geYziTMu_DFp8wtUnJQCLcBGAsYHQ/s1600/download.png)
Wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini kunufaika na utoaji wa elimu bure kupitia jukwaa la kidijitali.Shule za msingi na sekondari kunufaika na upatikanaji bure wa maudhui ya elimu kupitia jukwaa la ‘Vodacom Instant Schools portal’.Kampuni inayoongoza kidijitali nchini ya Vodacom Tanzania PLC inafanya kazi na shule pamoja na taasisi mbalimbali za elimu nchini kutoa huduma ya mafunzo ya dijitali bila gharama yoyote. Taasisi zilizonufaika na huduma hii ni pamoja na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LZfMsRt8tpleAJWueOKfL1zDcy7Xl0JUIleWui3thOX*P3mXdmzLG1halzQ99PDa*SkfHdLTju3skZY7eaZskgb8HWUO4qn0/AFISAMASOKOAIRTELMOROAMINATAKEITAAIRTELFURSAPIXNO001.jpg?width=650)
FURSA YAWEZESHA VIJANA WAJASIRIAMALI MKOANI MOROGORO
9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Serikali yakiri changamoto licha ya mafanikio ajira kwa vijana
Meza kuu katika warsha ya vijana na ajira iliyofadhiliwa na Mpango wa Shirika la Utafiti wa Maendeleo ya Kimataifa kutoka Canada (IDRC) na kuratibiwa na ESRF. Kutoka kushoto ni Afisa kutoka Wizara ya Kazi na Ajira kitengo cha Ajira, Joseph Nganga, Mkurugenzi wa Kazi katika Wizara ya Kazi na Ajira, Ally M. Ahmed,
Mkurugenzi wa Salama Foundation, Shadrack John Msuya akiwasilisha mapendekezo ya vijana juu ya namna ambavyo vipaji, elimu na ubunifu vinavyoweza kutengeneza ajira...
10 years ago
Bongo511 Mar
Dokta Mwaka kuja na semina ya afya kwaajili ya wasanii na vijana kwa ujumla