WAFANYAKAZI WA VODACOM WAAZIMISHA SIKU YA MALARIA DUNIANI KWA SEMINA MAALUMU
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania, Bw. Erick Mfinanga (kulia) na Bi. Farida Rashid (kushoto) wakionyesha vyandarua walivyokabidhiwa katika semina maalumu ya ugonjwa wa malaria na matumizi bora ya vyandarua kwa wafanyakazi wa Vodacom Tanzania kama sehemu ya kuadhimisha siku ya malaria duniani. Semina hiyo ilitolewa kwa ushirikiano wa Chuo hicho katika makao makuu ya kampuni hiyo yaliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mtaalam toka Chuo Kikuu cha John Hopkins cha nchini Marekani Pamela...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog01 May
Wafanyakazi wa wizara ya uchukuzi washerehekea vema siku ya wafanyakazi Duniani jijini Dar
Sehemu ya wafanyakazi wa wizara ya Uchukuzi, wakiwa wamejipanga tayari kwa ajili ya kushiriki katika maandamano ya siku ya wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dar es Salaam, katika Uwanja Wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo Asubuhi.
Sehemu ya Wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi, wakikimbia katika maandamano ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dar es Salaam, katika Uwanja Wa Taifa,jijini Dar es Salaam leo Asubuhi.
Wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi wakitoa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uDKMcY_l-U4/U2JX5dtcCrI/AAAAAAAFebA/_47kOHOk3ns/s72-c/unnamed+(7).jpg)
WAFANYAKAZI WA WIZARA YA UCHUKUZI WASHEREHEA VEMA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI ILIYOADHIMISHWA KITAIFA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDKMcY_l-U4/U2JX5dtcCrI/AAAAAAAFebA/_47kOHOk3ns/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RXTWf-7_Mn0/U2JX5u5pVOI/AAAAAAAFebE/sLCS7ryVCC0/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Michuzi12 Nov
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wanufaika na semina ya maswala ya udhibiti wa kipato
![](https://3.bp.blogspot.com/-m60KLIrp3w4/VGNZ3ij8pPI/AAAAAAAGwwE/sW8qXx7uIwU/s640/unnamed%2B(78).jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-php_iLaKRrQ/VGNZ3hGjDMI/AAAAAAAGwv8/dJFoAhiT_CY/s640/unnamed%2B(79).jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-D73aECnDbIg/VGNZ3luEWWI/AAAAAAAGwwA/kHlrbn1JnbE/s640/unnamed%2B(80).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-DpT3cMBet8w/VGNZ44aFsuI/AAAAAAAGwwQ/2BMKe_0K3fU/s640/unnamed%2B(81).jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Wafanyakazi TBL Group waadhimisha Siku ya UKIMWI duniani kwa kupima afya zao
Mfanyakazi wa Kampuni ya TBL; kiwanda cha kuzalisha pombe kinywaji aina ya Chibuku kilichopo Ubungo Dar es Salaam,Reocatus Hanania akipewa ushauri nasaha na akimsikiliza mtoa ushauri nasaha kutoka Kampuni ya bima ya Afya ya Metropolitan; Aurelia Kanambi kabla ya kupima Virusi vya Ukimwi ikiwa ni sehemu ya maadhimishao ya siku ya Ukimwi Duniani. TBL kila mwaka ambapo Kampuni ya kutengezea bia (TBL) hiyo kila mwaka huadhimisha siku hiyo kwa kualika wataalamu wa afya kwa ajili ya kutoa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rmdX2POokqg/VP5_vtCIFkI/AAAAAAAC1Vs/6ixCa6FoHZ0/s72-c/wwd%2Bpix1.jpg)
Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kupinga ukatili dhidi ya wafanyakazi wa ndani.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rmdX2POokqg/VP5_vtCIFkI/AAAAAAAC1Vs/6ixCa6FoHZ0/s1600/wwd%2Bpix1.jpg)
Wakati wa shughuli hiyo wafanyakazi wa kike wa benki hiyo walitoa wito kwa wanawake nchini kutumia maadhimisho ya mwaka huu kutokomeza ukatili dhidi ya wafanyakazi wa ndani. ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-smDI7_mtkD8/VTjWTQ1_l4I/AAAAAAAHSwY/ae4dwm_KJkI/s72-c/K.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuullD5aA2m0gU3d9JEfMV5gqkDEcEt6oC5Mb9ex-2*8BWRFGBAWegHZS051uSD7bj8fX5FdDCnKwS0vG6Ed*ny0-R/K.jpg?width=650)
5 years ago
MichuziTAARIFA KUHUSU MAADHIMISHO SIKU YA MALARIA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9AR5FJIcljs/XqQWQ3DdMdI/AAAAAAALoLA/rN3hCd7BOOYynJgcjfl4sZOT1op6EVAHwCLcBGAsYHQ/s640/6cd902f4-cead-4d7e-b260-f749c6bcd127.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-AeqhcEBC8Rk/XqQWPE9bJKI/AAAAAAALoK8/K-0U8m5xziU5i7l1PoOrDhy02T_PlbUcgCLcBGAsYHQ/s640/c2c664df-49cd-4e30-bdc0-3a028f532674.jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
PSPF washiriki katika maadhimisho ya siku ya usalama na afya duniani kwa wafanyakazi viwanja vya Mnazi Mmoja Dar
Ofisa muendeshaji wa Mfuko wa Pesheni wa Mashirika ya Umma (PSPF), Bw. Hadji Jamadary (kushoto) akimwelekeza kujaza fomu Shabani Maganga wakati wa maaadhimisho ya siku ya usalama na afya kazini yaliyofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es salaam.
Ofisa muendeshaji wa PSPF, Hadji Jamadary (kushoto) akiwapatia maelezo ya jinsi ya kujiunga na PSPF wakati wa mahadhimisho ya siku ya usalama na afya kazini yaliyofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es salaam.
Afisa Muendeshaji wa Mfuko wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10