Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wanufaika na semina ya maswala ya udhibiti wa kipato
Mshauri wa maswala ya uchumi na fedha Consultant Service Excellence,Joy Nyabongo akitoa mafunzo kwa wafanyakazi wa Vodacom Tanzania jinsi ya kuweza kudhibiti matumizi ya kipato binafsi.Semina hiyo ilifanyika katika ukumbi wa sinema mlimani City jijini Dar es Salaam leo.
Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania wa kitengo cha IT Josephat Kyando akichangia hoja wakati wa semina ya jinsi ya udhibiti wa matumizi ya kipato binafsi iliyofanyika katika ukumbi wa sinema mlimani City jijini Dar es Salaam.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
WAFANYAKA WA VODACOM TANZANIA WANUFAIKA NA SEMINA YA MASWALA YA UDHIBITI WA KIPATO
9 years ago
Michuzi
WATEJA WA VODACOM WANUFAIKA NA SEMINA YA KIBIASHARA


9 years ago
Michuzi
WANAFUNZI WA KITIVO CHA BIASHARA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM WANUFAIKA NA SEMINA MAALUM YA MASUALA YA BIASHARA ILIYOANDALIWA NA VODACOM TANZANIA


11 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA VODACOM WAAZIMISHA SIKU YA MALARIA DUNIANI KWA SEMINA MAALUMU
10 years ago
MichuziWakazi wakaskazini wanufaika na Gulio la Vodacom Tanzania
10 years ago
GPLWAKAZI WA KASKAZINI WANUFAIKA NA GULIO LA VODACOM TANZANIA
10 years ago
Ykileo
DIT YAFANYA SEMINA ELEKEZI YA UFAHAMU WA MASWALA YA USALAMA MTANDAO

Swala hili limekua liki imizwa sana na mataifa mbali mbali ili kuhakiki matumizi salama ya mitandao yanakuwepo na hatimae kupunguza wimbi kubwa la uhalifu mtandao unao endelea kukua hivi sasa. Katika kuonyesha umuhimu wa swala hili...
11 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAPATIWA MAFUNZO YA UREMBO