WAFANYAKA WA VODACOM TANZANIA WANUFAIKA NA SEMINA YA MASWALA YA UDHIBITI WA KIPATO
![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7umonwpf6qK-vBpUhn1PymGfvRYAjp9A*CkSmC5RghBqlHDlANnBYzu8XJY4-RGo04aYa5EGUv9KTxSl*kYIxXS/001.jpg?width=650)
Mshauri wa maswala ya uchumi na fedha Consultant Service Excellence,Joy Nyabongo akitoa mafunzo kwa wafanyakazi wa Vodacom Tanzania jinsi ya kuweza kudhibiti matumizi ya kipato binafsi.Semina hiyo ilifanyika katika ukumbi wa sinema mlimani City jijini Dar es Salaam leo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi12 Nov
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wanufaika na semina ya maswala ya udhibiti wa kipato
![](https://3.bp.blogspot.com/-m60KLIrp3w4/VGNZ3ij8pPI/AAAAAAAGwwE/sW8qXx7uIwU/s640/unnamed%2B(78).jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-php_iLaKRrQ/VGNZ3hGjDMI/AAAAAAAGwv8/dJFoAhiT_CY/s640/unnamed%2B(79).jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-D73aECnDbIg/VGNZ3luEWWI/AAAAAAAGwwA/kHlrbn1JnbE/s640/unnamed%2B(80).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-DpT3cMBet8w/VGNZ44aFsuI/AAAAAAAGwwQ/2BMKe_0K3fU/s640/unnamed%2B(81).jpg)
10 years ago
GPLWAKAZI WA KASKAZINI WANUFAIKA NA GULIO LA VODACOM TANZANIA
Ofisa Mauzo wa Duka la Simu la Bei nzuri la jijini Arusha, Martha Meena akitoa maelezo kwa wateja waliofika katika banda la duka hilo wakati wa gulio la punguzo kubwa la bei za bidhaa za Mawasiliano lijulikanalo kama Vodacom Expo linalofanyika siku mbili katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.…
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mXPeSs-9fkE/VlW77CrG8tI/AAAAAAAIIYc/a_JBEI1n8_A/s72-c/001MV.jpg)
WATEJA WA VODACOM WANUFAIKA NA SEMINA YA KIBIASHARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mXPeSs-9fkE/VlW77CrG8tI/AAAAAAAIIYc/a_JBEI1n8_A/s640/001MV.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Dy3PDmAj6A/VlW77MTG_NI/AAAAAAAIIYY/70nqpIJ4g20/s640/002MV.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m8jqrV300f0/VoOnPQvxSfI/AAAAAAAIPTw/PWCBqZ8_1ak/s72-c/001.jpg)
WANAFUNZI WA KITIVO CHA BIASHARA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM WANUFAIKA NA SEMINA MAALUM YA MASUALA YA BIASHARA ILIYOANDALIWA NA VODACOM TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-m8jqrV300f0/VoOnPQvxSfI/AAAAAAAIPTw/PWCBqZ8_1ak/s640/001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9qGutUG9JVw/VoOnSMuWAfI/AAAAAAAIPT8/qMI2-9wi-ZU/s640/002.jpg)
10 years ago
GPLWAKAZI WA KIGOMA WANUFAIKA NA KAPU LA PAMOJA NA VODACOM RAMADHAN
Mkuu wa Taasisi ya Vodacom Foundation Tanzania Renatus Rwehikiza (mwenye Shati jeusi aliyeinama) na Mkuu wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation Doris Mollel (aliyechuchuma) wakikabidhi msaada wa vyakula kwa Ashura Sanno mkazi wa kata ya Kasimbi Kigoma Ujiji ambaye alinufaika na msaada huo kupitia kampeni ya Pamoja na Vodacom kwa watu wenye kipato cha chini kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhan. Mkuu wa Taasisi ya Vodacom...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHmXNI-tCTo6OWvWFdIHN573PhVoF5E7pTzRLQdDUj4ykeZ-RNnQlwjEGXcEWz-y8jg8OhB9o3z-veEZEr7jthGMZEY-OgSH/001.jpg?width=650)
WAKAZI WA KWAMTOGOLE-TANDALE JIJINI DAR WANUFAIKA NA KAPU LA PAMOJA NA VODACOM RAMADHANI
Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kushoto) akiongozana na baadhi ya washirika wenza kutoa msaada wa vyakula mbalimbali kwa baadhi ya wakazi wa Kwamtogole –Tandale jijini Dar es Salaam kwa ajilli ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Msaada huo ulitolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation kupitia kampeni yake ya Pamoja na Vodacom kwa ushirikiano na Doris Mollel Foundation. Mkazi wa Kwamtogole...
10 years ago
MichuziWakazi wakaskazini wanufaika na Gulio la Vodacom Tanzania
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaIy9lJ*vLdgluo4aJbnXZ37t9fxhkuVYcMlPP-lAr-0jm14vstyr8zkdB*4PlD1HCSJHHU2fLH7qchTN4kI-3kV/mafanikio1.jpg?width=650)
VODACOM YAWEZESHA SEMINA YA DARAJA LA MAFANIKIO KWA VIJANA
Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (wa pili kutoka kulia) akifuatilia semina ya Daraja la Mafanikio iliyoandaliwa na American Chamber of Commerce (AMCHAM) kwa udhamini wa Vodacom Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kupitia semina hiyo, mamia ya vijana kutoka sehemu mbalimbali (pichani) walipatiwa ujuzi wa jinsi ya kuandika CV, barua za maombi ya kazi pamoja na ujuzi utakaowasaidia...
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-gsxy15ydQJc/VJsoGgMkCmI/AAAAAAAABGc/aZ37j5ZcEpY/s72-c/1.jpg)
DIT YAFANYA SEMINA ELEKEZI YA UFAHAMU WA MASWALA YA USALAMA MTANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gsxy15ydQJc/VJsoGgMkCmI/AAAAAAAABGc/aZ37j5ZcEpY/s1600/1.jpg)
Swala hili limekua liki imizwa sana na mataifa mbali mbali ili kuhakiki matumizi salama ya mitandao yanakuwepo na hatimae kupunguza wimbi kubwa la uhalifu mtandao unao endelea kukua hivi sasa. Katika kuonyesha umuhimu wa swala hili...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10