Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kupinga ukatili dhidi ya wafanyakazi wa ndani.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rmdX2POokqg/VP5_vtCIFkI/AAAAAAAC1Vs/6ixCa6FoHZ0/s72-c/wwd%2Bpix1.jpg)
Katibu mtendaji wa taasisi isiyo ya kiserikali inayojishughulisha na masuala ya maendeleo ya jamii (CODERT), Hellen Kayanza akifafanua jambo wakati wa shughuli iliyoandaliwa na Benki ya Exim jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, kuadhimisha siku ya wanawake duniani ambayo husherehekewa Machi 8 kila mwaka.
Wakati wa shughuli hiyo wafanyakazi wa kike wa benki hiyo walitoa wito kwa wanawake nchini kutumia maadhimisho ya mwaka huu kutokomeza ukatili dhidi ya wafanyakazi wa ndani. ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WoWFIzie2aQ/XmJiSfdfAiI/AAAAAAALhnI/cHJ9qLANNhYad0AuROOudvy-gvsqrBsgACLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI6887.jpg)
BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2020 KWA KUHAMASISHA USAWA WA KIJINSIA KATIKA JAMII
![](https://1.bp.blogspot.com/-WoWFIzie2aQ/XmJiSfdfAiI/AAAAAAALhnI/cHJ9qLANNhYad0AuROOudvy-gvsqrBsgACLcBGAsYHQ/s640/OTMI6887.jpg)
Benki ya CRDB imefanya hafla ya kusherehekea ‘Siku ya Wanawake Dunia’ ikilenga kuhamasisha usawa wa kijinsia katika jamii. Akizungumza katika hafla hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela alisema Benki ya CRDB inachukulia kwa umuhimu suala la kumuwezesha mwanamke na ndiomana
Benki hiyo imetoa kipaumbele cha ajira kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-s2QI6P2KgLQ/Xk_2zliBPnI/AAAAAAALevE/MRomBgkZHcky9yMJuK0Hbj4bfRiA-tkfQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX.-NO.-1.jpg)
JAMII YATAKIWA KUPINGA UKATILI WA AINA ZOTE KUELEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-s2QI6P2KgLQ/Xk_2zliBPnI/AAAAAAALevE/MRomBgkZHcky9yMJuK0Hbj4bfRiA-tkfQCLcBGAsYHQ/s640/PIX.-NO.-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX.-NO.-2.jpg)
Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Afya- Idara Kuu ya maendeleoya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. Prudence Consntatine na...
10 years ago
Michuzi06 Feb
Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani na Watoto wenye Saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili
![exim1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/exim1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Wengi wajitokeza katika Uzinduzi wa Maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili dhidi ya Wanawake Jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-LKLEX55uzQw/VlXDAndTniI/AAAAAAAAePA/N4S4RZlDZ0I/s640/IMG_3856.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_SDa7WPUjk8/VlXCwai6VHI/AAAAAAAAeOY/mt42k9QG_mg/s640/IMG_3801.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8gMr40bdEo8/VlXCubgVmlI/AAAAAAAAeOQ/b0MjUl7xlv8/s640/IMG_3808.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/--8-Mp7f7qxg/VlXCyJQ8X5I/AAAAAAAAeOg/lSZil91DbUE/s640/IMG_3813.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-C8jyQeRaYHc/VlXDJknotxI/AAAAAAAAePU/YGbku6k4_T0/s640/IMG_3889.png)
Maelfu wajitokeza katika maandamano ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, hapa wakiendelea na matembezi ya kupinga ukatili wa Kijinsia.
![](http://3.bp.blogspot.com/-QtFPlgeZfMo/VlXDTBiTPdI/AAAAAAAAeP4/VRxNW2WDcNE/s640/IMG_3933.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bL1Gfh9UbsI/VlXDXTuE1qI/AAAAAAAAeQI/7kmRJkIDNhc/s640/IMG_3940.png)
Maandamano yakipokelewa na Mkurugenzi wa shirika la misaada la Marekani USAID Daniel Moore, Mwakilishi wa Balozi wa Ireland nchini Maire Matthews, Mwakilishi kutoka shirika la Umoja wa Mataifa Wanawake Lucy Melele, Mkurugenzi wa shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo barani Afrika – WiLDAF, Dr. Judith Odunga, pamoja na wawakilishi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fbuBSk1Qfm4/VmbC_SUCsnI/AAAAAAAIK6s/GdvVvYl7YRI/s72-c/001.GENDAR.jpg)
VODACOM FOUNDATION YANOGESHA UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-fbuBSk1Qfm4/VmbC_SUCsnI/AAAAAAAIK6s/GdvVvYl7YRI/s640/001.GENDAR.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SFzYBMkmum4/VmbDBosNEiI/AAAAAAAIK60/-bXdynWM798/s640/002.GENDAR.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zGzSvJ4trwI/VHxzyCMRsFI/AAAAAAACvoI/PqlYRqTZiAU/s72-c/3e.jpg)
UZINDUZI WA MATEMBEZI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO WAFANYIKA LEO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-zGzSvJ4trwI/VHxzyCMRsFI/AAAAAAACvoI/PqlYRqTZiAU/s1600/3e.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1mtLEbLOITY/VHxzx_7tVAI/AAAAAAACvoE/xaAQmmR50wE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bSRvfyHJIE8/VHxzx1n-8QI/AAAAAAACvoA/JSsoOzjH2Hk/s1600/2.jpg)
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA BENKI YA NBC WAJITOLEA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
10 years ago
VijimamboKONGAMANO LA SIKU MBILI VITA DHIDI YA UKATILI KWA WANAWAKE NA WALEMAVU
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Benki ya Exim yaaadhimisha siku ya damu duniani
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
WAFANYAKAZI wa Benki ya Exim Tanzania, wameadhimisha siku ya kuchangia damu duniani.
Kutokana na uzito wa siku hiyo, mwishoni mwa wiki walijitokeza makao makuu ya benki ya damu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku hiyo, kama njia ya kutambua umuhimu wa hitaji hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati zoezi hilo likiendelea, Mkuu wa Kitengo cha rasilimali watu wa benki hiyo, Frederick Kanga, alisema hatua hiyo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10