PSPF YAANDAA SEMINA YA SIKU MOJA KWA WATUMISHI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-6RZjZhMK4pg/VABz0TBR-RI/AAAAAAACpME/6JpRMEcV62c/s72-c/Mayingu%2Bspeech2.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja kwa watumishi wa serikali na taasisi zake iliyofanyika jana Agosti 29, 2014 mjini Bagamoyo, mkoa wa Pwani.
Constatina Martin Meneja Masoko, na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Constatina Martin, akizungumza kwenye semina ya siku moja ya watumishi wa serikali na taasisi zake iliyoandaliwa na Mduko huo mjini Bagamoyo mkoa wa Pwani, Ijumaa Agosti 29, 2014.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Em7E6qBDNio/VY0csDkUXCI/AAAAAAAHkLY/USHfJ0pGEJk/s72-c/IMG_3103.jpg)
SOLUTION BLOCKS YAANDAA MIKUTANO ILI KUKUTANISHA NGO’S,TAASISI ZA KIRAIA NA TAASISI ZA SERIKALI KWA KILA MWENZI.
KAMPUNI ya Solution BLOCKS ikishirikiana na kampuni ya Anglo Gold Ashanti waandaa mkutano wa Alhamisi ya kila mwezi ili kushirikisha taasisi mbalimbali za serikali na zisizo za kiserikali kuzungumzia kuchangia katika maendeleo katika jamii.
Hayo yamesemwa na Makamo wa Rais wa Sustainability Aglo Gold Ashanti, Simon Shayo katika ufunguzi wa mkutano ambao umejulikana kwa jina la THURSDAY TALK uliofanyika katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Michuzi26 Jul
MFUKO WA PESHENI KWA WATUMISHI WA UMMA 'PSPF' WATOA SEMINA KWA WASANII WA BONGO MOVIE
10 years ago
VijimamboPSPF WATOA SEMINA KWA ASKARI NA WATUMISHI RAIA MAKAO MAKUU YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI JIJINI DAR
Afisa Matekelezo Mwandamizi(SCO) wa mfuko wa Pensheni wa PSPF Bi. Matilda A. Nyallu akitoa elimu ya Mpango wa Uchangiaji wa Hiari kwa Askari na watumishi raia makao makuu ya Wizara ya mambo ya ndani jijini Dar es Salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-kZzCDp1roUI/VN3H4GATEuI/AAAAAAABF0U/IHZvayi65p8/s1600/RZ8A9040w.jpg)
Mfuko wa penseni wa PSPF ulipata fursa ya kukutana na kutoa elimu kuhusu huduma mbalimbali...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/IM4XK5pK8WI/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HDqi6jKuNFc/VXqsw21DzhI/AAAAAAAC6Z4/JFK1sTUgsb4/s72-c/898.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAONYA WATENDAJI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE
Onyo hilo limetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali wakati akizungumza na Wafanyakazi wa Idara ya upigaji chapa na Mpiga chapa Mkuu wa Serikali baada ya kuangalia utendaji kazi wa fanyakazi hao katika sehemu mbali mbali za Kiwandi hicho hapo...
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
Taasisi ya UONGOZI yaandaa warsha ya wadau wa Serikali katika usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Johansen Bukwali akisoma hotuba ya ufunguzi wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia kwa niaba ya mgeni rasmi Waziri wa Nchi -TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia katika ukumbi wa hoteli ya NAF Beach mkoani Mtwara.
Mkuu wa Idara ya Utafiti na Sera kutoka Taasisi ya UONGOZI Bw. Dennis Rweyemamu akizungumza kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja wakati wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Lhq_g_HVva0/VEh-Cm7KChI/AAAAAAAGs2g/msyM-sUjd9Y/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
PSPF YAANDAA CHAKULA CHA JIONI KWA WALIMU MJINI MOROGORO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Lhq_g_HVva0/VEh-Cm7KChI/AAAAAAAGs2g/msyM-sUjd9Y/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PuOQSCappmQ/VEh-C2OESuI/AAAAAAAGs2k/DB9agC2qH_o/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNWDqe8zgiNV7crVj5ehmCKSf7ZuDT6ZY2ftmCOD1Eh7gqWoQTzc8eBC2AR3l1lKOMuewRK9R41ReXegRe6UyDyZ/22.jpg?width=650)
PSPF YAANDAA CHAKULA CHA JIONI KWA WALIMU MJINI MOROGORO