Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumejipangaje kuyalinda daima Mapinduzi Z’bar?

>Wiki iliyopita, Wazanzibari waliadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar. Mapinduzi haya ni moja kati ya matukio makubwa yaliyotokea miaka hamsini iliyopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wasomi: Mapinduzi Z’bar yawe mapinduzi ya fikra

Wakati Wazanzibari leo wakiadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi, wanasiasa na wasomi wametaka wananchi hao kufanya mikakati muhimu ya maendeleo na kuacha fikra mgando zinazoathiri maendeleo yao na nchi yao.

 

9 years ago

Habarileo

Meli mpya Mv Mapinduzi II yatua Z’bar

MELI mpya ya Mv Mapinduzi (II) imewasili katika Bandari ya Zanzibar jana kwa ajili ya kuanza safari zake baada ya kukamilika kwa ujenzi wake nchini Korea Kusini.

 

11 years ago

Mwananchi

Kisumo: Baraza la Mapinduzi Z’bar limeuawa kimyakimya

Moshi. Mwanasiasa wa siku nyingi, Peter Kisumo amesema Baraza la Mapinduzi Zanzibar aliloliacha Rais wa Kwanza wa visiwa hivyo, Abeid Aman Karume limeuawa kimyakimya.

 

9 years ago

Mwananchi

Maalim Seif kuleta mapinduzi ya kilimo Z’bar

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chini ya uongozi wake atahakikisha anamjengea uwezo mkulima, kwa lengo la kumwezesha kuinuka kiuchumi.

 

10 years ago

Mwananchi

Z’bar sasa ijielekeze katika Mapinduzi ya kiuchumi

Wazanzibari jana waliadhimisha kumbukumbu ya miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa nderemo, vifijo na shamrashamra za kila aina. Siku hiyo hakika ni ya kukumbukwa, kwani miaka 51 iliyopita wananchi wa Zanzibar waliuangusha utawala dhalimu wa Kisultani uliokuwa ukiwakandamiza na kuwadhalilisha kwa miongo mingi katika nchi yao wenyewe.

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka 50 ya Mapinduzi Z’bar yaadhimishwa kwa fikra tofauti

Wananchi wa Zanzibar leo wanaadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya visiwa hivyo yaliyouangusha utawala wa kisultan wakiwa na fikra tofauti.

 

10 years ago

Mwananchi

Google kwa watoto wadogo, tumejipangaje?

Kampuni ya Google, inaandaa matoleo ya huduma zake mbalimbali kama youtube, Gmail na nyingine zitakazokuwa maalumu kwa ajili ya watoto wadogo wa chini ya miaka 13.

 

11 years ago

Mwananchi

Tumejipangaje kama taifa kukabiliana na vitendo vya udukuzi?

Kwa watu wengi neno ‘udukuzi’ huenda likawa geni masikioni ama machoni mwao. Nianze kwa kuifafanua dhana hii.

 

10 years ago

Michuzi

EFM WAANDAA TAMASHA LA PILI LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR

Meneja Mkuu wa Mawasiliano wa kituo cha Redio cha EFM,  Denis Ssebo (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu  kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza. Kulia ni Mtangazaji, Dina Marios. Mtangazaji, Dina Marios akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu  kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani