Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maalim Seif kuleta mapinduzi ya kilimo Z’bar

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chini ya uongozi wake atahakikisha anamjengea uwezo mkulima, kwa lengo la kumwezesha kuinuka kiuchumi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MKOA WA KATAVI KULETA MAPINDUZI MAKUBWA YA KILIMO KWA MAZAO YA KIBIASHARA NCHINI

 Miche ya zao la korosho ambayo imeonekana kustawi vizuri ambapo kwa kuanza mkoa wamezalisha miche laki sita  na kusambaza kataika maenza mkoa wa Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Komredi Juma Homera 
Zao la pamba ambalo linaonekana kukubali katika ardhi ya katavi na linalotarajia mwaka huu  kuchakatwa Mkoani Katavi
zao la ufuta ambalo ni moja wapo ya zao lililoingia katika mfumo wa stakabadhi ghalani

Na. Josephine mallango 
Mkoa wa Katavi kuleta mapinduzi ya kilimo kwa mazao ya kibiashara nchini ...

 

10 years ago

Vijimambo

Maalim Seif: Z`bar hatuikubali Katiba

Awataka wananchi waikataeChama cha Wananchi (CUF) kimesema hakiikubali Katiba inayopendekezwa kwa kuwa haina maslahi ya wananchi wa Zanzibar.Badala yake chama hicho kimewataka Wazanzibari waikatae Katiba iliyopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba (BMK).

Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa CUF ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, wakati akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya Demokrasia vya Kibanda Maiti, mjini Zanzibar.

“Wananchi,...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Dk. Shein, Maalim Seif kimeeleweka urais Z’bar.

NA RAHMA SULEIMAN 7th September 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia United Democratic Party (UPDP) Mwajuma Ali Khamis, ameshindwa kurejesha fomu na kukosa sifa ya kugombea. Mwajuma alikuwa miongoni mwa wagombea 15 waliochukua fomu Tume ya […]

The post Dk. Shein, Maalim Seif kimeeleweka urais Z’bar. appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Karume, Maalim Seif wakutana faragha Z’bar

>Rais Mstaafu wa Zanzibar awamu ya sita, Dk Amani Abeid Karume amekutana na viongozi wa Kamati ya Maridhiano Zanzibar na kujadiliana hali ya kisiasa iliyojitokeza katika mjadala wa Katiba Mpya, pamoja na kujitoa kwa wabunge wa Ukawa kwenye vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

TheCitizen

Maalim Seif: This is my plan for Z’bar after 2015 polls

>The Civic United Front (CUF) yesterday talked up its election hopes, with Secretary General Maalim Seif Sharif Hamad painting a picture of an economically prosperous Zanzibar after the October 2015 General Election.

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: CCM ijiandae kisaikolojia kukabidhi Z’bar

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad ameitaka CCM kujiandaa kisaikolojia kukabidhi madaraka kwa chama chake baada ya Oktoba, akisema katika chama chake hakutakuwa na neno “kushindwa”.

 

9 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: Mimi ndiye wa kuzungumzia mafuta Z’bar

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema hakuna mwenye uhalali wa kuzungumzia uchimbaji wa mafuta ya Zanzibar zaidi yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Malumbano haya ya Maalim Seif na ZEC yanaitia doa Z’bar

Juzi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad aliitisha mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam na kutoa tuhuma nzito dhidi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) akidai kuwa iliandikisha na kuruhusu watu wasiostahili zaidi ya 10,000 kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2010, kati ya hao, 8,507 wakiwa ni marehemu.

 

9 years ago

Mwananchi

Cuf wazindua kampeni, Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema  kama atapewa ridhaa ya kuwa rais atahakikisha Zanzibar inapata mamlaka kamili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani