Karume, Maalim Seif wakutana faragha Z’bar
>Rais Mstaafu wa Zanzibar awamu ya sita, Dk Amani Abeid Karume amekutana na viongozi wa Kamati ya Maridhiano Zanzibar na kujadiliana hali ya kisiasa iliyojitokeza katika mjadala wa Katiba Mpya, pamoja na kujitoa kwa wabunge wa Ukawa kwenye vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Maalim Seif na Lowassa wakutana Dar
Na Elias Msuya
MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana na aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia Chadema, Edward Lowassa, jijini Dar es Salaam jana na kusisitiza kuwa CUF haitarudia uchaguzi uliofutwa visiwani humo.Edward Lowassa
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam baada ya mkutano huo wa ndani, Maalim Seif alisema uchaguzi huo ulifutwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salum Jecha binafsi.
“Msimamo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ScdUpwrbYOk/VcTfs92lRSI/AAAAAAAAtr8/KP0CIQHBwTM/s72-c/IMG-20150807-WA0010.jpg)
MAALIM SEIF NA MH. LOWASSA WAKUTANA KWA MAZUNGUMZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ScdUpwrbYOk/VcTfs92lRSI/AAAAAAAAtr8/KP0CIQHBwTM/s640/IMG-20150807-WA0010.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ip1iEWzdvzA/VcTflizfByI/AAAAAAAAtr0/_yDLdvcUehE/s640/IMG-20150807-WA0009.jpg)
10 years ago
VijimamboMaalim Seif: Z`bar hatuikubali Katiba
Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa CUF ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, wakati akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya Demokrasia vya Kibanda Maiti, mjini Zanzibar.
“Wananchi,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nd9qXUnNFXI/VZECjXljoPI/AAAAAAAHlhQ/cARb72zJijo/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
MAALIM SEIF NA AMANI KARUME WASHIRIKI KWENYE FUTARI YA PAMOJA MASJID IMANI UNGUJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nd9qXUnNFXI/VZECjXljoPI/AAAAAAAHlhQ/cARb72zJijo/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OoXH3nqebO0/VZECmYd-ZdI/AAAAAAAHlhg/AoXxNqwCYVg/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9wfrfe1LIuM/VZECkaUJ3AI/AAAAAAAHlhY/5M_PSi-zNcE/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cB-g7mAaV5c/UzQisHfLk_I/AAAAAAAFWyQ/qhHYGXelGEc/s72-c/unnamed+(38).jpg)
maalim seif akagua maendeleo ya ujenzi uwanja wa ndege wa kimataifa wa amani karume, zanzibar
Miradi hiyo inahusisha ukarabati na ujenzi wa njia za kupitia ndege wakati wa kuruka pamoja na sehemu ya maegesho ya ndege, ujenzi wa uzio wa eneo la uwanja wa ndege, pamoja na ujenzi wa jingo jipya la abiria (Terminal 2).
Akizungumza katika ziara ya kutembelea miradi hiyo...
10 years ago
TheCitizen22 Feb
Maalim Seif: This is my plan for Z’bar after 2015 polls
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Sep
Dk. Shein, Maalim Seif kimeeleweka urais Z’bar.
NA RAHMA SULEIMAN 7th September 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia United Democratic Party (UPDP) Mwajuma Ali Khamis, ameshindwa kurejesha fomu na kukosa sifa ya kugombea. Mwajuma alikuwa miongoni mwa wagombea 15 waliochukua fomu Tume ya […]
The post Dk. Shein, Maalim Seif kimeeleweka urais Z’bar. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Maalim Seif kuleta mapinduzi ya kilimo Z’bar
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Maalim Seif: CCM ijiandae kisaikolojia kukabidhi Z’bar