MAALIM SEIF NA MH. LOWASSA WAKUTANA KWA MAZUNGUMZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ScdUpwrbYOk/VcTfs92lRSI/AAAAAAAAtr8/KP0CIQHBwTM/s72-c/IMG-20150807-WA0010.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, wakati walipokutana Jana, jijini Dar es salaam.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwa katika Mazungumzo na Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ScdUpwrbYOk/VcTfs92lRSI/AAAAAAAAtr8/KP0CIQHBwTM/s72-c/IMG-20150807-WA0010.jpg)
MH. LOWASSA AKUTANA NA MAALIM SEIF KWA MAZUNGUMZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ScdUpwrbYOk/VcTfs92lRSI/AAAAAAAAtr8/KP0CIQHBwTM/s640/IMG-20150807-WA0010.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ip1iEWzdvzA/VcTflizfByI/AAAAAAAAtr0/_yDLdvcUehE/s640/IMG-20150807-WA0009.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Maalim Seif na Lowassa wakutana Dar
Na Elias Msuya
MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana na aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia Chadema, Edward Lowassa, jijini Dar es Salaam jana na kusisitiza kuwa CUF haitarudia uchaguzi uliofutwa visiwani humo.Edward Lowassa
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam baada ya mkutano huo wa ndani, Maalim Seif alisema uchaguzi huo ulifutwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salum Jecha binafsi.
“Msimamo...
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Lowassa, Maalim Seif wateta kwa dakika 90
11 years ago
Mwananchi03 May
Karume, Maalim Seif wakutana faragha Z’bar
11 years ago
Habarileo01 Jul
Maalim Seif ataka mazungumzo Katiba mpya
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema Serikali imeshatumia fedha nyingi za wananchi kwenye mchakato wa kuandaa Katiba mpya, hivyo kitendo cha kushindwa kukamilisha mchakato huo kwa wakati, itakuwa ni hasara kubwa kwa taifa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VhgBMl8LEPw/Xl5a_R5qMwI/AAAAAAALgvs/zjusSny0x4I0TAJ1_F9IqCPl5corXwY2ACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
MAALIM SEIF ASEMA AMEFURAHI KUKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VhgBMl8LEPw/Xl5a_R5qMwI/AAAAAAALgvs/zjusSny0x4I0TAJ1_F9IqCPl5corXwY2ACLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Blogu ya Jamii
MWANASIASA mkongwe nchini ambaye kwa sasa ni Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad amesema anamshukuru Rais Dk.John Magufuli kwa kukutana na kufanya mazungumzo naye.
Maalim Seif amekutana na Rais Magufuli ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu ajiunge na ACT –Wazalendo akitokea Chama cha Wananci(CUF).Hata hivyo kabla ya kuondoka CUF alishawahi kukutana na kufanya mazungumzo na Rais.
Akizungumza baada ya mazungumzo yake na Rais Magufuli,...
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS, MAALIM SEIF AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UFARANSA NCHINI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-rkgnRPtHhkE/Xl4qs5jetOI/AAAAAAACz8w/lbPpWtXdfnoJQYFg3JfeYCz21mPBseK5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD IKULU DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-rkgnRPtHhkE/Xl4qs5jetOI/AAAAAAACz8w/lbPpWtXdfnoJQYFg3JfeYCz21mPBseK5QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Salamu hiyo ya kutokugusana mikono ni kutekeleza ushauri ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wenye lengo kujihadhari dhidi ya virusi vya ugonjwa wa Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-nyYXdfFv-FY/Xl4q_XswrAI/AAAAAAACz84/pRWS4MnV_tUWVS-_oS1x5Tf6DcaxgsMrgCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CZZXoEhz9G8/Xl4o9qYUoWI/AAAAAAALgo4/PLtcfpNSISQnSulGp-ua9RcKSe1THvaZgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWANASIASA MKONGWE MAALIM SEIF SHARIF HAMAD IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-CZZXoEhz9G8/Xl4o9qYUoWI/AAAAAAALgo4/PLtcfpNSISQnSulGp-ua9RcKSe1THvaZgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ISonxCXB0P0/Xl4o_nXPn2I/AAAAAAALgpA/7EmgQnYa8mAjQs2byb_54H4zPTraWwCWwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t9PF3XPue-E/Xl4o-qM69GI/AAAAAAALgo8/kkxWCa4YJBExnkVSGsvnu0jAUV8_aCrCgCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)