Lowassa, Maalim Seif wateta kwa dakika 90
Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana alifanya mazungumzo ya takriban saa moja na nusu na mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kuhusu hali ya sintofahamu ya Zanzibar iliyosababishwa na kufutwa kwa Uchaguzi Mkuu wa visiwa hivyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Dk Magufuli, Maalim Seif wateta
9 years ago
Habarileo10 Nov
Shein, Maalim Seif wateta Ikulu
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), amekutana katika Ikulu ya Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad aliyekuwa mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Uchaguzi Mkuu uliofutwa.
9 years ago
Mwananchi10 Nov
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ScdUpwrbYOk/VcTfs92lRSI/AAAAAAAAtr8/KP0CIQHBwTM/s72-c/IMG-20150807-WA0010.jpg)
MH. LOWASSA AKUTANA NA MAALIM SEIF KWA MAZUNGUMZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ScdUpwrbYOk/VcTfs92lRSI/AAAAAAAAtr8/KP0CIQHBwTM/s640/IMG-20150807-WA0010.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ip1iEWzdvzA/VcTflizfByI/AAAAAAAAtr0/_yDLdvcUehE/s640/IMG-20150807-WA0009.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ScdUpwrbYOk/VcTfs92lRSI/AAAAAAAAtr8/KP0CIQHBwTM/s72-c/IMG-20150807-WA0010.jpg)
MAALIM SEIF NA MH. LOWASSA WAKUTANA KWA MAZUNGUMZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ScdUpwrbYOk/VcTfs92lRSI/AAAAAAAAtr8/KP0CIQHBwTM/s640/IMG-20150807-WA0010.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ip1iEWzdvzA/VcTflizfByI/AAAAAAAAtr0/_yDLdvcUehE/s640/IMG-20150807-WA0009.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Maalim Seif na Lowassa wakutana Dar
Na Elias Msuya
MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana na aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia Chadema, Edward Lowassa, jijini Dar es Salaam jana na kusisitiza kuwa CUF haitarudia uchaguzi uliofutwa visiwani humo.Edward Lowassa
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam baada ya mkutano huo wa ndani, Maalim Seif alisema uchaguzi huo ulifutwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salum Jecha binafsi.
“Msimamo...
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Maalim Seif aahidi ajira kwa vijana
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Maalim Seif: CUF jipange kwa uchaguzi
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wanachama na wafuasi wa chama hicho kuanzisha mitandao ya kupeana taarifa kuhamasishana na kusaidiana kutafuta vitambulisho vya kupigia...
9 years ago
Vijimambo19 Oct