Dk Magufuli, Maalim Seif wateta
Rais John Magufuli amekutana na aliyekuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad na kujadili mgogoro wa kisiasa unaoendelea visiwani humo huku Rais akimhakikishia kuendelea kudumisha amani na utulivu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo10 Nov
Shein, Maalim Seif wateta Ikulu
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), amekutana katika Ikulu ya Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad aliyekuwa mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Uchaguzi Mkuu uliofutwa.
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Lowassa, Maalim Seif wateta kwa dakika 90
9 years ago
Mwananchi10 Nov
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2RyjG8QpsI/Vnf4Iwcr8vI/AAAAAAAAsFg/TCTSW5o8NV4/s1600/tmp_22871-magu-237045258.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WlHURgwxfTU/Vnf8Iyaif2I/AAAAAAAAsF4/qDY4cCMOytw/s1600/tmp_25140-441627715366.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Fz8tYeyt-c/Vnf8KIdhB-I/AAAAAAAAsGA/Qqfph0yUlcg/s1600/tmp_25140-1927664_10204112923663693_1225570115674240119_n942052400.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Er73vFzuxhU/Vnf8L4a_u9I/AAAAAAAAsGI/dg7340mlAuM/s1600/tmp_25140-1927664_10204112924063703_143893749029110821_n1595330905.jpg)
9 years ago
StarTV22 Dec
Rais Magufuli akutana na Maalim Seif kujadili hali ya siasa Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli amekutana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharrif Hamad Ikulu Jijini Dar es Salaam kujadili hali ya siasa inavyoendelea visiwani Zanzibar
Mazungumzo ya Viongozi hao yamehudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Viongozi hawa kwa pamoja wamejadili hali ya kisiasa Zanzibar na wamefurahishwa na hali ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VhgBMl8LEPw/Xl5a_R5qMwI/AAAAAAALgvs/zjusSny0x4I0TAJ1_F9IqCPl5corXwY2ACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
MAALIM SEIF ASEMA AMEFURAHI KUKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VhgBMl8LEPw/Xl5a_R5qMwI/AAAAAAALgvs/zjusSny0x4I0TAJ1_F9IqCPl5corXwY2ACLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Blogu ya Jamii
MWANASIASA mkongwe nchini ambaye kwa sasa ni Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad amesema anamshukuru Rais Dk.John Magufuli kwa kukutana na kufanya mazungumzo naye.
Maalim Seif amekutana na Rais Magufuli ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu ajiunge na ACT –Wazalendo akitokea Chama cha Wananci(CUF).Hata hivyo kabla ya kuondoka CUF alishawahi kukutana na kufanya mazungumzo na Rais.
Akizungumza baada ya mazungumzo yake na Rais Magufuli,...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
KUTOKA MEZA YA MHARIRI: Dk Magufuli anapomtaka Maalim Seif ‘apige kazi’ Z’bar
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Rais MAGUFULI alivyokutana na Maalim Seif leo Dec.21,2015 ikulu…Picha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli leo Desemba 21,2015 amekutana na Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Maalim Seif Ikulu Dar es salaam na kufanya naye Mazungumzo kuhusu hali ya kisiasa visiwani humo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]
The post Rais MAGUFULI alivyokutana na Maalim Seif leo Dec.21,2015 ikulu…Picha appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-rkgnRPtHhkE/Xl4qs5jetOI/AAAAAAACz8w/lbPpWtXdfnoJQYFg3JfeYCz21mPBseK5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD IKULU DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-rkgnRPtHhkE/Xl4qs5jetOI/AAAAAAACz8w/lbPpWtXdfnoJQYFg3JfeYCz21mPBseK5QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Salamu hiyo ya kutokugusana mikono ni kutekeleza ushauri ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wenye lengo kujihadhari dhidi ya virusi vya ugonjwa wa Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-nyYXdfFv-FY/Xl4q_XswrAI/AAAAAAACz84/pRWS4MnV_tUWVS-_oS1x5Tf6DcaxgsMrgCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)