Maalim Seif aahidi ajira kwa vijana
Mgombea urais wa Zanzibar (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad ameahidi kuwa wananchi wakimchagua kushika wadhifa huo, atahakikisha vijana visiwani hapa wanapata ajira na kuwa na maisha bora.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo11 Sep
Samia aahidi ajira kwa 40% ya vijana
MGOMBEA mwenza wa urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan, amesema katika ilani ya CCM ya awamu ya serikali ya tano, wameahidi kutoa ajira kwa asilimia 40 ya vijana ambazo zitatokana na viwanda, vikubwa na vidogo.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Sep
Maalim Seif: aahidi kuviboresha vikose vya smz
Mgombea Urais wa Zanzibar wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni wa chama hicho kwenye uwanja wa Mkele, Unguja siku ya Jumatano, wiki iliyopita. Na: Hassan Hamad, OMKR […]
The post Maalim Seif: aahidi kuviboresha vikose vya smz appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Cuf wazindua kampeni, Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Maalim Seif aahidi mafuta, gesi ndani ya siku 100 Zanzibar
9 years ago
Vijimambo12 Sep
MAALIM SEIF AAHIDI MAFUTA, GESI NDANI YA SIKU 100 ZANZIBAR
![Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF,](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2867330/highRes/1117034/-/maxw/600/-/3xnm11z/-/Sef.jpg)
Maalim Seif alisema hayo juzi kwenye viwanja vya Tibirinzi mkoani Kusini Pemba alipokuwa akizungumza na wananchi na wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa.
Aliwaomba wananchi wa Unguja na Pemba wampe ridhaa ya kuongoza visiwa vya Zanzibar ili aweze kuwaletea maendeleo...
9 years ago
VijimamboMaalim Seif asikitishwa na ajira za watoto Wilaya ya Micheweni
9 years ago
Mzalendo Zanzibar09 Sep
Cuf wazindua kampeni, leo 09/09/2015 Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar
BY- EMMANUEL MTENGWA, MWANANCHI DIGITAL Wafuasi na wapenzi wa CUF waliojitokeza kwenye uzinduzi wa kampeni za chama hicho Kibandamaiti Zainzibar. Picha na Said Khamis Zanzibar. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), […]
The post Cuf wazindua kampeni, leo 09/09/2015 Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s72-c/pix%2Btum.jpg)
Maalim Seif aahidi kupandisha bei ya zao la mwani pindipo akichaguliwa kuwa Rais
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s640/pix%2Btum.jpg)
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi wa Tumbe alipotembelea eneo hilo.
Na Khamis Haji , OMKR
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaahidi wakulima wa zao la mwani Zanzibar kuwa atapandisha bei ya zao hilo mara moja, iwap atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwezi ujao.
Maalim Seif alisema bei wanayolipwa wakulima ya shilingi 700 na 800 hivi sasa ni ndogo na hailingani na...
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Maalim Seif afarijika vijana kuitetea Zanzibar
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema amepata moyo na kufarajika sana kuona vijana wa Zanzibar wana ari kubwa ya kutetea nchi yao kuliko ilivyo...