Maalim Seif asikitishwa na ajira za watoto Wilaya ya Micheweni
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia watoto wanaovyojihusisha na kazi ya uvunjaji wa kokoto katika Wilaya ya Micheweni, alipotembelea kikundi kinachojihusisha na kazi hiyo.
Baadhi ya watoto wakijihusisha na kazi ya uvunjaji wa kokoto katika Wilaya ya Micheweni.
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia kazi ya useremala inayofanywa na wananchi wa kijiji cha Wingwi na maeneo mengine ya Wilaya ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sLcNHDpO4a4/U80L1sTxpcI/AAAAAAAF4Wk/QNFJN4c-NSc/s72-c/unnamed+(39).jpg)
MAALIM SEIF ATEMBELEA MICHEWENI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-sLcNHDpO4a4/U80L1sTxpcI/AAAAAAAF4Wk/QNFJN4c-NSc/s1600/unnamed+(39).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9ZdWx8HjI2U/U80LzAxlLTI/AAAAAAAF4Wc/uiwNW9Rob7M/s1600/unnamed+(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wmxFCHkzeno/U80L1yPmYII/AAAAAAAF4Wo/SR2K82YDi3c/s1600/unnamed+(41).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R0sNfTmw3dI/Ve-4BsHZyoI/AAAAAAAH3dw/Y_d5PPQR1GU/s72-c/20150908_132305.jpg)
MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI PEMBA ND.JABU KHAMIS MTWANA YALIYOFANYIKA JANA KIJINI KWAO WILAYA YA MICHEWENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-R0sNfTmw3dI/Ve-4BsHZyoI/AAAAAAAH3dw/Y_d5PPQR1GU/s640/20150908_132305.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5b0YyqV1U-E/Ve-4CCnDPTI/AAAAAAAH3d0/oDTE1ESmB3c/s640/20150908_132856.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ISYGvMYj3qg/Ve5lGbBoVSI/AAAAAAABHF4/Ygx4rD5NlgE/s72-c/305.jpg)
BALOZI SEIF AFANYA MKUTANO NA WANA CCM WA KIJIJI CHA KWALE WILAYA YA MICHEWENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ISYGvMYj3qg/Ve5lGbBoVSI/AAAAAAABHF4/Ygx4rD5NlgE/s640/305.jpg)
Iddi akisalimiana na Wananchi wa Kijiji cha Kwale Wilaya ya Micheweni wakati alipowasili kuzungumza nao.
![](http://3.bp.blogspot.com/-3L1e44JTUeY/Ve5lGnMluwI/AAAAAAABHGA/cnBYzU1aL-I/s640/306.jpg)
CCM wa Kijiji cha Kwale Wilaya ya Micheweni akitekeleza ahadi aliyotoa kwa Wazee Waasisi wa Kijiji hicho ya kufika kusalimiana nao.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CPWXVKkDoWU/Ve5lGcnF4eI/AAAAAAABHF8/cIak0fXS2ec/s640/316.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7W-IS0LZY7E/Ve5lHtfmHOI/AAAAAAABHGI/R2_VmEkawsY/s640/317.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ll8ep0H_iwQ/Ve5lHwrjQ7I/AAAAAAABHGM/agUx21iJhV4/s640/323.jpg)
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Maalim Seif aahidi ajira kwa vijana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
maalim seif ziarani Wilaya ya Kaskazini B unguja
![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
MAALIM SEIF AFANYA ZIARA WILAYA YA KASKAZINI B UNGUJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b_0R1zI-q-c/VSr4596V8VI/AAAAAAAHQy4/CJbWgCg18zY/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
Na Hassan Hamad, OMKR Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameweka mawe ya msingi na kupandisha bendera katika matawi na barza sita za CUF ndani ya Jimbo Kitope Wilaya ya Kaskazini "B"...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ruefZgGO-Us/VZ09SInOhfI/AAAAAAAB00E/kplSpv-_Zjw/s72-c/F1.jpg)
MAALIM SEIF AKAGUA FAMILIA YENYE WATOTO SITA WENYE ULEMAVU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ruefZgGO-Us/VZ09SInOhfI/AAAAAAAB00E/kplSpv-_Zjw/s640/F1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ayw2fJP44qs/VZ097klW7VI/AAAAAAAB00U/BeTPZOwDZ7Y/s640/11112213_1497350040556486_3469616484251929814_o.jpg)
Na:...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iHCoeaZJprM/VZ165IfJgyI/AAAAAAAHn2s/wqmmeZ_eWZo/s72-c/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
MAALIM SEIF AITEMBELEA FAMILIA YA WATOTO SITA WENYE ULEMAVU, PEMBA
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, leo ameitembelea na kuifariji familia ya Bw. Saleh Juma Saleh yenye watoto sita wenye ulemavu.
Akizungumza na familia hiyo nyumbani kwao Kinyasini Mkarafuuni Wilaya ya Wete Pemba, katika mfululizo wa ziara yake ya kutembelea wagonjwa katika Mkoa wa Kaskazini Pemba, Maalim Seif ameitaka kuwa na subra na upendo kwa watoto hao wakielewa kuwa huo ni mtihani kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Amemuagiza Mkuu Mkuu wa...
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Mkuu wa Wilaya ya Micheweni afariki, azikwa