Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkuu wa Wilaya ya Micheweni afariki, azikwa

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, jana aliungana na wananchi kisiwani Pemba, katika mazishi ya Mkuu wa Wilaya ya Micheweni, Jabu Khamis Mbwana aliyefariki dunia jana kijijini kwake Kiuyu Micheweni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MAREHEMU MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI MHE. JABU KHAMIS MBWANA AZIKWA PEMBA

  WAUMINI mbali mbali wa Dini ya Kiislamu wakiongozwa na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, wakimswalia Marehemu Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Mhe:Jabu Khamis Mbwana, swala iliyofanyika huko kijijini kwao Kiuyu Mbuyuni Wilaya ya Micheweni Ksiwani Pemba.

 WANANCHI mbali mbali Kisiwani Pemba wakiwa wameubeba mwili wa Marehemu Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Mhe. Jabu Khamis Mbwana, kuupeleka kwenye makaazi yake ya Mwisho huko kiuyu Mbuyuni Wilaya ya Micheweni.

 MAKAMO wa Pili...

 

9 years ago

Michuzi

MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI PEMBA ND.JABU KHAMIS MTWANA YALIYOFANYIKA JANA KIJINI KWAO WILAYA YA MICHEWENI

 Jeneza lililobeba mwili wa marehemu.
 Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akishiriki katika mazishi ya aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Micheweni Pemba.

 

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI PEMBA NDG JABU KHAMIS MBWANA AFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO

Mhe Jabu Khamis Mbwana alipoapishwa kuwa Mkuu wa Wilaya na rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi, Dr A|li Mohamed Shein. 
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi Raaji'un
Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Nd. Jabu Khamis Mbwana amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Kijiji kwake Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Marehemu Jabu alikuwa akisumbuliwa na homa kwa takriban wiki moja sasa na maziko yatafanyika huko Kiuyu saa nne za asubuhi leo hii.

Mkuu huyo wa Wilaya ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Moshi Chang'a afariki

>Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, mkoani Rukwa, Moshi Chang’a amefariki dunia. Kiongozi huyo alifariki dunia jana saa 10: 15 jioni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikokuwa amelazwa kwa zaidi ya siku 20.

 

11 years ago

Michuzi

TANZIA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA

Mkuu wa Wilaya ya Kalambo enzi za uhai wake Mhe. Moshi Mussa Chang'a ambae amefariki dunia jioni ya leo katika Hospitali ya Muhimbili Jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugojwa wa shinikizo la damu na Kisukari. Taratibu za mazishi zitatangazwa mapema mara baada ya kikao cha wanandugu. Tunatoa pole kwa wale wote walioguswa na msiba huu. Sisi tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.(Na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa)

 

11 years ago

GPL

MSIBA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA

Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mhe. Moshi Mussa Chang'a enzi za uhai wake . Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mhe. Moshi Mussa Chang'a amefariki dunia jana jioni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugojwa wa shinikizo la damu na kisukari. Taratibu za mazishi zitatangazwa mapema mara baada ya kikao cha wanandugu. Tunatoa pole kwa wale wote walioguswa na msiba huu. Sisi tulimpenda...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA: MKUU wa Wilaya mstaafu, Margaret Kipaya afariki dunia

MKUU wa Wilaya (DC) mstaafu, Margaret Kipaya (75) (pichani) amefariki dunia kutokana na matatizo ya kisukari baada ya kuugua kwa miezi kadhaa.

Taarifa ya familia ya DC huyo ilisema Margaret alifariki dunia alfajiri ya kuamkia jana katika Hospitali ya Emilio Mzena jijini Dar es Salaam na anatarajiwa kuzikwa kesho nyumbani kwake Makongo Juu.

“Marehemu atazikwa keshokutwa (kesho) kwenye makaburi ya Makongo baada ya makubaliano ya familia kufikiwa,”ilisema sehemu ya taarifa hiyo.

Miaka ya mwisho...

 

9 years ago

Vijimambo

Maalim Seif asikitishwa na ajira za watoto Wilaya ya Micheweni

 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia watoto wanaovyojihusisha na kazi ya uvunjaji wa kokoto katika Wilaya ya Micheweni, alipotembelea kikundi kinachojihusisha na kazi hiyo. Baadhi ya watoto wakijihusisha na kazi ya uvunjaji wa kokoto katika Wilaya ya Micheweni. Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia kazi ya useremala inayofanywa na wananchi wa kijiji cha Wingwi na maeneo mengine ya Wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani