Mkuu wa Wilaya ya Micheweni afariki, azikwa
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, jana aliungana na wananchi kisiwani Pemba, katika mazishi ya Mkuu wa Wilaya ya Micheweni, Jabu Khamis Mbwana aliyefariki dunia jana kijijini kwake Kiuyu Micheweni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMAREHEMU MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI MHE. JABU KHAMIS MBWANA AZIKWA PEMBA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R0sNfTmw3dI/Ve-4BsHZyoI/AAAAAAAH3dw/Y_d5PPQR1GU/s72-c/20150908_132305.jpg)
MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI PEMBA ND.JABU KHAMIS MTWANA YALIYOFANYIKA JANA KIJINI KWAO WILAYA YA MICHEWENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-R0sNfTmw3dI/Ve-4BsHZyoI/AAAAAAAH3dw/Y_d5PPQR1GU/s640/20150908_132305.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5b0YyqV1U-E/Ve-4CCnDPTI/AAAAAAAH3d0/oDTE1ESmB3c/s640/20150908_132856.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NfpAOI_Yquc/Ve532akFIHI/AAAAAAAB8WI/oRjP7MueGU8/s72-c/11949458_1521671391457684_6381338667055860994_n.jpg)
ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI PEMBA NDG JABU KHAMIS MBWANA AFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NfpAOI_Yquc/Ve532akFIHI/AAAAAAAB8WI/oRjP7MueGU8/s640/11949458_1521671391457684_6381338667055860994_n.jpg)
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi Raaji'un
Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Nd. Jabu Khamis Mbwana amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Kijiji kwake Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Marehemu Jabu alikuwa akisumbuliwa na homa kwa takriban wiki moja sasa na maziko yatafanyika huko Kiuyu saa nne za asubuhi leo hii.
Mkuu huyo wa Wilaya ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NufLyIsyT-0/XrQDC8T8gDI/AAAAAAALpZw/lnDIhoccXSkaVuc-G24mW5r3yYxG4TdlgCLcBGAsYHQ/s72-c/e7fdd7b4-35e4-498d-bfad-223c344fae26.jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Moshi Chang'a afariki
>Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, mkoani Rukwa, Moshi Chang’a amefariki dunia. Kiongozi huyo alifariki dunia jana saa 10: 15 jioni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikokuwa amelazwa kwa zaidi ya siku 20.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s72-c/IMG_3959.jpg)
TANZIA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s640/IMG_3959.jpg)
11 years ago
GPLMSIBA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mhe. Moshi Mussa Chang'a enzi za uhai wake . Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mhe. Moshi Mussa Chang'a amefariki dunia jana jioni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugojwa wa shinikizo la damu na kisukari. Taratibu za mazishi zitatangazwa mapema mara baada ya kikao cha wanandugu. Tunatoa pole kwa wale wote walioguswa na msiba huu. Sisi tulimpenda...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VrURXFYDJfQ/VYlSqXENEUI/AAAAAAAHiwA/BZnm1492qww/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
TAARIFA YA MSIBA: MKUU wa Wilaya mstaafu, Margaret Kipaya afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-VrURXFYDJfQ/VYlSqXENEUI/AAAAAAAHiwA/BZnm1492qww/s400/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboMaalim Seif asikitishwa na ajira za watoto Wilaya ya Micheweni
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania