Maalim Seif: aahidi kuviboresha vikose vya smz
Mgombea Urais wa Zanzibar wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni wa chama hicho kwenye uwanja wa Mkele, Unguja siku ya Jumatano, wiki iliyopita. Na: Hassan Hamad, OMKR […]
The post Maalim Seif: aahidi kuviboresha vikose vya smz appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Maalim Seif aahidi ajira kwa vijana
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Maalim Seif aahidi mafuta, gesi ndani ya siku 100 Zanzibar
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Cuf wazindua kampeni, Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar
9 years ago
Vijimambo12 Sep
MAALIM SEIF AAHIDI MAFUTA, GESI NDANI YA SIKU 100 ZANZIBAR
![Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF,](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2867330/highRes/1117034/-/maxw/600/-/3xnm11z/-/Sef.jpg)
Maalim Seif alisema hayo juzi kwenye viwanja vya Tibirinzi mkoani Kusini Pemba alipokuwa akizungumza na wananchi na wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa.
Aliwaomba wananchi wa Unguja na Pemba wampe ridhaa ya kuongoza visiwa vya Zanzibar ili aweze kuwaletea maendeleo...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar09 Sep
Cuf wazindua kampeni, leo 09/09/2015 Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar
BY- EMMANUEL MTENGWA, MWANANCHI DIGITAL Wafuasi na wapenzi wa CUF waliojitokeza kwenye uzinduzi wa kampeni za chama hicho Kibandamaiti Zainzibar. Picha na Said Khamis Zanzibar. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), […]
The post Cuf wazindua kampeni, leo 09/09/2015 Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s72-c/pix%2Btum.jpg)
Maalim Seif aahidi kupandisha bei ya zao la mwani pindipo akichaguliwa kuwa Rais
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s640/pix%2Btum.jpg)
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi wa Tumbe alipotembelea eneo hilo.
Na Khamis Haji , OMKR
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaahidi wakulima wa zao la mwani Zanzibar kuwa atapandisha bei ya zao hilo mara moja, iwap atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwezi ujao.
Maalim Seif alisema bei wanayolipwa wakulima ya shilingi 700 na 800 hivi sasa ni ndogo na hailingani na...
9 years ago
VijimamboMAALIM SEIF AUNGURUMA KATIKA VIWANJA VYA MAISARA
Chama Cha Wananchi CUF kimefunga rasmi kampeni zake za uchaguzi kwa upande wa Zanzibar na kuwataka wadau wa uchaguzi kuheshimu maamuzi ya wananchi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Jumapili ijayo.Akizungumza kwenye mkutano huo wa ufungaji wa kampeni uliofanyika viwanja vya Maisara Mjini Zanzibar, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama hicho Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amesema wananchi ndio wenye mamlaka ya kuiweka Serikali madarakani, hivyo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gnO709D3gHQ/U5mo-YULGaI/AAAAAAAFqDM/5XLL7BILlHk/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Maalim Seif afungua mafunzo kwa vyombo vya utekelezaji wa sheria,Zanzibar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-gnO709D3gHQ/U5mo-YULGaI/AAAAAAAFqDM/5XLL7BILlHk/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PKYVy5qL_5A/U5mo-1AXkLI/AAAAAAAFqDQ/hDlMhiB5kbM/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kwzAniWzLWE/U5mo-xBAYAI/AAAAAAAFqDU/iwd0HQbPEIU/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-e_EQNdU2sSU/U5mpDJrPB5I/AAAAAAAFqDY/BZByecYNOYg/s1600/unnamed+(5).jpg)
9 years ago
VijimamboMAALIM SEIF AUNGURUMA VIWANJA VYA TIBIRIZI, CHAKE CHAKE PEMBA
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema iwapo atachaguliwa kuwa...