Maalim Seif: Z`bar hatuikubali Katiba
Awataka wananchi waikataeChama cha Wananchi (CUF) kimesema hakiikubali Katiba inayopendekezwa kwa kuwa haina maslahi ya wananchi wa Zanzibar.Badala yake chama hicho kimewataka Wazanzibari waikatae Katiba iliyopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba (BMK).
Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa CUF ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, wakati akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya Demokrasia vya Kibanda Maiti, mjini Zanzibar.
“Wananchi,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 May
Karume, Maalim Seif wakutana faragha Z’bar
10 years ago
TheCitizen22 Feb
Maalim Seif: This is my plan for Z’bar after 2015 polls
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Sep
Dk. Shein, Maalim Seif kimeeleweka urais Z’bar.
NA RAHMA SULEIMAN 7th September 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia United Democratic Party (UPDP) Mwajuma Ali Khamis, ameshindwa kurejesha fomu na kukosa sifa ya kugombea. Mwajuma alikuwa miongoni mwa wagombea 15 waliochukua fomu Tume ya […]
The post Dk. Shein, Maalim Seif kimeeleweka urais Z’bar. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Maalim Seif kuleta mapinduzi ya kilimo Z’bar
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Maalim Seif: Mimi ndiye wa kuzungumzia mafuta Z’bar
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Maalim Seif: CCM ijiandae kisaikolojia kukabidhi Z’bar
10 years ago
Mwananchi12 May
Malumbano haya ya Maalim Seif na ZEC yanaitia doa Z’bar
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Maalim Seif: Najisikia raha kuwa mgombea pekee wa urais Z’bar
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Cuf wazindua kampeni, Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar