Teknolojia ya umemejua inavyoleta nuru kwa maskini
Ilikuwa vigumu mwananchi wa kipato cha chini nchini kumiliki nyumba au kifaa chenye mfumo wa umemejua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QBD-37g0OEk/XuJxcXw5GRI/AAAAAAALtfc/IlZOU9m8wxkezdV6Ih0P0m8g0O9UdqJnQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-11%2Bat%2B7.06.18%2BPM.jpeg)
Teknolojia ya kidijitali inavyoleta mapinduzi ya kiuchumi Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-QBD-37g0OEk/XuJxcXw5GRI/AAAAAAALtfc/IlZOU9m8wxkezdV6Ih0P0m8g0O9UdqJnQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-11%2Bat%2B7.06.18%2BPM.jpeg)
Moja ya teknolojia hizo bunifu ni huduma za afya kidijitali (m-health). Katika nchi nyingi huduma hii imekuwa muhimu ikisaidia watu kupata taarifa za afya na hospitali kutunza kumbukumbu kwa ufanisi zaidi.
Tanzania, huduma hizi za afya kwa njia ya simu zimesaidia watu wengi wazima na wagonjwa kupata taarifa za afya, njia za...
10 years ago
Dewji Blog19 Jan
Nuru Group chatoa msaada kwa watoto yatima Sengerema
Mwenyekiti wa kikundi cha Nuru cha wilayani Sengerema mkoani Mwanza Bw. George Tumbo akitoa utangulizi wa katika katika hafla ya kutoa msaada kwa watoto yatima iliyofanyika kwenye kituo cha Sengerema Telecentre.
Na Daniel Makaka, Sengerema
Kikundi cha Nuru group kilichopo kata ya Ibisabageni wilayani Sengerema mkoa Mwanza kimetoa msaada wa Sare za shule, viatu, Kalamu na Madaftari kwa watoto yatima 30 pamoja na wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kuendelea masomo mwaka huu.
Hayo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Qhf4yxOHhA/VCI_XtC3i6I/AAAAAAACrh0/ax0Mkz1a2cc/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAANZA MAFUNZO KWA WATAALAMU WA KISEKTA KWA AJILI YA UIBUAJI MIRADI KWA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI
Akifungua warsha ya kuwajengea uwezo wataalamu hao mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bwana...
11 years ago
Habarileo24 Jul
Canada kusaidia miradi ya umemejua
SERIKALI ya Canada imeeleza kuwa itaisaidia Tanzania katika kutekeleza miradi ya umeme wa jua.
9 years ago
Habarileo05 Sep
TBS yahadharisha vifaa umemejua
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetangaza uwepo wa vipande vya umemejua visivyo na ubora katika soko la ndani. Shirika hilo limewataka watumiaji wa umemejua kuwa makini wanapoenda kununua vifaa vya kutengeneza mfumo huo.
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/DhqZQQXz7XM/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pRVxDxDVazs/XtjLiF5mUOI/AAAAAAALsls/WYMK7V0rwts085kaEwAwRCmIalriQlCmQCLcBGAsYHQ/s72-c/20200331_152936.jpg)
UMEMEJUA WAPIGA JEKI ELIMU SHULE YA SEKONDARI MORETO
Shule nyingi za Sekondari hususani za vijijini zimekuwa zikikabiliwa na ukosefu wa nishati ya kuendesha maabara na mwanga wa kujisomea kwa wanafunzi waishio katika mazingira ya shule (bweni).
Uhaba huo umesababisha maeneo hayo kutofanya vyema kimasomo kuliko wale wenye nishati hiyo.
Shule zinazojiweza zimeweka umemejua wakati baadhi ya zile zisizokuwa na uwezo huo hasa za umma zimekuwa zikifadhiliwa na wahisani mbalimbali kama ilivyo shule ya sekondari Moreto. Shule hii ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yfrR6KD4V_I/VYhKKm7B1bI/AAAAAAAAVNk/o6xM1bVxPCI/s72-c/ACACIA_KILIMANJARO.jpg)
ACACIA KUKUSANYA DOLA 200,000 KWA AJILI YA UFADHILI WA ELIMU KWA WATOTO MASKINI, NI KUPITIA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-yfrR6KD4V_I/VYhKKm7B1bI/AAAAAAAAVNk/o6xM1bVxPCI/s640/ACACIA_KILIMANJARO.jpg)
Akizungumza muda mfupi kabla ya kuanza kwa safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kwenye lango la Machame,iliyo shirikisha watu 21, Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YEuyojATuDA/XlZC-OS-_MI/AAAAAAALfgY/NnfekIbzuVA2zZRDDvF3jXAFe7AFAADyACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200220_131757_609.jpg)
BL 12.4 ZATOLEWA KWA KAYA MASKINI TUNDURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-YEuyojATuDA/XlZC-OS-_MI/AAAAAAALfgY/NnfekIbzuVA2zZRDDvF3jXAFe7AFAADyACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200220_131757_609.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-s1OR2tqUsHA/XlZC_DmiYKI/AAAAAAALfgc/AkfbwB-eAQUzsx3PCIysS3JCvdA8wGMQACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200220_131830_044.jpg)