TBS yahadharisha vifaa umemejua
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetangaza uwepo wa vipande vya umemejua visivyo na ubora katika soko la ndani. Shirika hilo limewataka watumiaji wa umemejua kuwa makini wanapoenda kununua vifaa vya kutengeneza mfumo huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Apr
Vifaa vyakwamisha ufanisi wa TBS
MAABARA za Shirika la Viwango Tanzania (TBS) zimeendelea kutumia vifaa vilivyopitwa na wakati kupima sampuli mbalimbali, hivyo kuchukua muda mrefu kutoa majibu.
10 years ago
Habarileo02 Jun
TBS yaonya watanzania kwa vifaa vya upimaji
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetaka watanzania wanaotumia vifaa mbalimbali vya upimaji, kutoridhishwa na upya wake, bali wawasiliane nalo livihakiki usahihi wake.
9 years ago
Mwananchi07 Sep
TBS yabaini vifaa feki vya umeme jua
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--1H5nRVQnFA/XsZxd-IEzHI/AAAAAAALrHE/XJxze2bZ7TAtS3lyPp19loWXC9jVDQBtgCLcBGAsYHQ/s72-c/eb049305-fce8-41a8-992d-8a41768d87da.jpg)
WAFANYABIASHARA VIFAA VYA UMEME DAR WALALAMIKIA NYAYA ZISIZO NA UBORA,WAIOMBA TBS KUFANYA MSAKO
![](https://1.bp.blogspot.com/--1H5nRVQnFA/XsZxd-IEzHI/AAAAAAALrHE/XJxze2bZ7TAtS3lyPp19loWXC9jVDQBtgCLcBGAsYHQ/s320/eb049305-fce8-41a8-992d-8a41768d87da.jpg)
BAADHI ya wafanyabiashara ya kuuza vifaa vya umeme vya aina mbalimbali katika Jiji la Dar es Salaam wamelalamikia uwepo wa vifaa hivyo na hasa nyaya ambazo ziko chini ya kiwango na ubora ambazo zinatengenezwa na baadhi ya viwanda vilivyopo nchini, hivyo wametoa ombi kwa Serikali kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na tume ya ushindani (FCC) kufanya msako viwandani na madukani ili kubaini.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam,...
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Uhamiaji Kigoma yahadharisha
IDARA ya Uhamiaji mkoa wa Kigoma imeelezwa wasiwasi wake wa nchi kuingia kwenye mtego wa kuchagua viongozi wasio raia kutokana na kuwepo madai ya viongozi wanaowahifadhi wahamiaji haramu na kuwaajiri....
11 years ago
Habarileo24 Jul
Canada kusaidia miradi ya umemejua
SERIKALI ya Canada imeeleza kuwa itaisaidia Tanzania katika kutekeleza miradi ya umeme wa jua.
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Mamlaka TMA yahadharisha mvua kubwa
10 years ago
Habarileo01 Sep
TMA yahadharisha ujio wa upepo mkali
MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imesema kutakuwa na upepo mkali unaoambatana na mawimbi makubwa katika maeneo yote ya ukanda wa Pwani kwa siku mbili kuanzia kesho.
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Teknolojia ya umemejua inavyoleta nuru kwa maskini