Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBS yahadharisha vifaa umemejua

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetangaza uwepo wa vipande vya umemejua visivyo na ubora katika soko la ndani. Shirika hilo limewataka watumiaji wa umemejua kuwa makini wanapoenda kununua vifaa vya kutengeneza mfumo huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Vifaa vyakwamisha ufanisi wa TBS

MAABARA za Shirika la Viwango Tanzania (TBS) zimeendelea kutumia vifaa vilivyopitwa na wakati kupima sampuli mbalimbali, hivyo kuchukua muda mrefu kutoa majibu.

 

10 years ago

Habarileo

TBS yaonya watanzania kwa vifaa vya upimaji

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetaka watanzania wanaotumia vifaa mbalimbali vya upimaji, kutoridhishwa na upya wake, bali wawasiliane nalo livihakiki usahihi wake.

 

9 years ago

Mwananchi

TBS yabaini vifaa feki vya umeme jua

Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limewataka wafanyabiashara wanaouza bidhaa hafifu za moduli feki za umeme nuru ‘Solar Power Panels’ kuziondoa madukani haraka, kabla hatua kali za kisheria hazijachukuliwa.

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA VIFAA VYA UMEME DAR WALALAMIKIA NYAYA ZISIZO NA UBORA,WAIOMBA TBS KUFANYA MSAKO


Na Mwandishi Wetu
BAADHI ya wafanyabiashara ya kuuza vifaa vya umeme vya aina mbalimbali katika Jiji la Dar es Salaam wamelalamikia uwepo wa vifaa hivyo na hasa nyaya ambazo ziko chini ya kiwango na ubora ambazo zinatengenezwa na baadhi ya viwanda vilivyopo nchini, hivyo wametoa ombi kwa Serikali kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na tume ya ushindani (FCC) kufanya msako viwandani na madukani ili kubaini.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uhamiaji Kigoma yahadharisha

IDARA ya Uhamiaji mkoa wa Kigoma imeelezwa wasiwasi wake wa nchi kuingia kwenye mtego wa kuchagua viongozi wasio raia kutokana na kuwepo madai ya viongozi wanaowahifadhi wahamiaji haramu na kuwaajiri....

 

11 years ago

Habarileo

Canada kusaidia miradi ya umemejua

SERIKALI ya Canada imeeleza kuwa itaisaidia Tanzania katika kutekeleza miradi ya umeme wa jua.

 

11 years ago

Mwananchi

Mamlaka TMA yahadharisha mvua kubwa

>Wakazi wa maeneo ya Mikoa ya Pwani, Morogoro na Ruvuma wameonywa na kutakiwa kuchukua tahadhari juu ya mvua kubwa yenye ujazo wa 50 mm inayotarajiwa kunyesha ndani ya saa 24 kuanzia jana.

 

10 years ago

Habarileo

TMA yahadharisha ujio wa upepo mkali

MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imesema kutakuwa na upepo mkali unaoambatana na mawimbi makubwa katika maeneo yote ya ukanda wa Pwani kwa siku mbili kuanzia kesho.

 

10 years ago

Mwananchi

Teknolojia ya umemejua inavyoleta nuru kwa maskini

Ilikuwa vigumu mwananchi wa kipato cha chini nchini kumiliki nyumba au kifaa chenye mfumo wa umemejua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani