Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Canada kusaidia miradi ya umemejua

SERIKALI ya Canada imeeleza kuwa itaisaidia Tanzania katika kutekeleza miradi ya umeme wa jua.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Canada yaombwa kusaidia umeme vijijini

SERIKALI imeiomba Canada kusaidia upatikanaji wa dola za Marekani milioni 300 (sawa na Sh bilioni 480) kwa ajili ya miradi ya kupeleka umeme vijijini.

 

10 years ago

Habarileo

Hispania watoa bil 3.1/- kusaidia miradi

SERIKALI ya Hispania imetoa Sh bilioni 3.1 kusaidia miradi ya maendeleo ya jamii nchini ambayo mingine inatekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii,TASAF.

 

11 years ago

Tanzania Daima

IPTL kusaidia miradi ya kuwawezesha vijana

KAMPUNI ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imeanza utekelezaji wa mpango wake wa kuiwezesha miradi mbalimbali inayowawezesha vijana wa Kitanzania kuimarika kiuchumi, ikiwa na lengo la kukuza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sweden yatoa bil. 42/- kusaidia miradi UN

DSC_0216

Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mh. Lennarth Hjelmaker akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya kutiliana saini makubaliano kati ya nchi ya yake na Umoja wa Mataifa ambapo wametoa  fedha  kusaidia miradi ya Umoja wa Mataifa kwenye ofisi za ubalozi wa Sweden jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.(Picha na Zainul Mzige MOblog).

Na  Mwandishi...

 

9 years ago

Dewji Blog

UNCDF yatoa bilioni 2.4/- kusaidia miradi 6 ya miundombinu

Mkurugenzi wa Mfuko wa Mtaji wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa, (UNCDF) nchini Tanzania, Peter Malika akizungumza na wageni waalikwa wakati wa makabidhiano ya misaada kwa miradi ya maendeleo iliyodhaminiwa na UNCDF Tanzania.

Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Kagyabukama E.Kiliba akisoma hotuba yake wakati wa kukabidhi hundi kwa mashirika binafsi na ya umma kwa ajili ya kuendeleza miradi ya maendeleo.

Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Kagyabukama E.Kiliba (katikati) akimkabidhi hundi bilioni moja...

 

11 years ago

Michuzi

IPTL kusaidia miradi ya kuwawezesha vijana kiuchumi

Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Bw. Harbinder Signh Sethi (kushoto) na Katibu na Mwanasheria Mkuu wa kampuni hiyo Bw. Joseph Makandege (wapili kushoto) wakikabidhi hundi ya shilingi milioni 11 kwa mwakilishi wa Kanisa la Mt. Rita Wakashia lililopo Kimara jijini Dar es Salaam, George Kashushura. Fedha hizo zitatumika kuanzisha SACCOS ya kanisa hilo, lenye lengo la kuwainua vijana kiuchumi. Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar...

 

11 years ago

Mwananchi

Lukuvi- Bajeti imelenga kusaidia miradi, wananchi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu na Shughuli za Bunge, William Lukuvi amepigia debe Bajeti ya Serikali akisema imejikita katika kusaidia miradi ya maendeleo ya wananchi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UDA kuendelea kusaidia miradi ya kijamii, kiuchumi

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limethibitisha kuwa litaendelea kusaidia miradi ya uwezeshaji ya kiuchumi nchini, ili kusaidia kuinua ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi nchini. Akizungumza wakati wa uzinduzi...

 

9 years ago

Habarileo

TBS yahadharisha vifaa umemejua

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetangaza uwepo wa vipande vya umemejua visivyo na ubora katika soko la ndani. Shirika hilo limewataka watumiaji wa umemejua kuwa makini wanapoenda kununua vifaa vya kutengeneza mfumo huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani