IPTL kusaidia miradi ya kuwawezesha vijana kiuchumi
![](http://3.bp.blogspot.com/-aKFhMgYz5D0/UyvlRXtAbjI/AAAAAAACdII/Lzf70dWOkI4/s72-c/IPTL+1.jpg)
Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Bw. Harbinder Signh Sethi (kushoto) na Katibu na Mwanasheria Mkuu wa kampuni hiyo Bw. Joseph Makandege (wapili kushoto) wakikabidhi hundi ya shilingi milioni 11 kwa mwakilishi wa Kanisa la Mt. Rita Wakashia lililopo Kimara jijini Dar es Salaam, George Kashushura. Fedha hizo zitatumika kuanzisha SACCOS ya kanisa hilo, lenye lengo la kuwainua vijana kiuchumi. Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
IPTL kusaidia miradi ya kuwawezesha vijana
KAMPUNI ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imeanza utekelezaji wa mpango wake wa kuiwezesha miradi mbalimbali inayowawezesha vijana wa Kitanzania kuimarika kiuchumi, ikiwa na lengo la kukuza...
11 years ago
Mwananchi22 Mar
IPTL yajitosa kusaidia vijana kiuchumi
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-f13zDhFYr0E/VnP7NglhvnI/AAAAAAAINPI/jqBEvrMvs3Y/s72-c/01.jpg)
Benki ya NBC yazidi kuwawezesha vijana kiuchumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-f13zDhFYr0E/VnP7NglhvnI/AAAAAAAINPI/jqBEvrMvs3Y/s640/01.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
UDA kuendelea kusaidia miradi ya kijamii, kiuchumi
SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limethibitisha kuwa litaendelea kusaidia miradi ya uwezeshaji ya kiuchumi nchini, ili kusaidia kuinua ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi nchini. Akizungumza wakati wa uzinduzi...
10 years ago
Michuzi08 Aug
SERIKALI KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI ITAKAYOWEZESHA KUWAINUA VIJANA KIUCHUMI.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/157.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/234.jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Kikwete ajivunia kuwawezesha wanawake kiuongozi, kiuchumi
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gVv9jv7va4A/VdxJOuKaTMI/AAAAAAAHz10/6fWVNtZfyIA/s72-c/1.jpg)
NYUMBU KUENDELEA KUWAWEZESHA WANANCHI KUJIINUA KIUCHUMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gVv9jv7va4A/VdxJOuKaTMI/AAAAAAAHz10/6fWVNtZfyIA/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VLZKrQDTZwo/VdxJOiiii2I/AAAAAAAHz1s/Z_nQSMJI-NA/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z7_HK1vWa2Q/Xru4NbkP49I/AAAAAAAEG_E/99LZNtfppHgnjsdOOdsueLdKi38M_b30wCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Serikali ya Mtaa yawashukuru wasaidizi wa kisheria kwa kuwawezesha wanawake kiuchumi
Hayo yamesemwa na Afisa Maendeleo ya Jamii Zena Kapama wakati akizungumzia umuhimu wa na kazi za wasaidizi wa kisheria pamoja na kazi zao za kuzaidia jamii na hasa kwenye kupata haki zao za kisheria.
‘Wasaidizi wa kisheria ni watu muhimu sana kwenye jamii yetu. Wanawezesha wananchi wetu kujua haki zao za kisheria na sana sana kwa wanawake ambao mara...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
TPB yatoa zaidi ya Milioni 200 kuwawezesha wajasiriamali kiuchumi, ni mkopo nafuu
![](http://2.bp.blogspot.com/-xRzEwzQqVsA/Vnp5h6BKUkI/AAAAAAAAd-s/Z7jDn06e0Q0/s640/b5.jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Sabasaba Moshingi, (kushoto), akikabidhi mfano wa hundi kwa Mkurugenzi wa Shirika la Vijana Wajasiriamali na Uwezeshaji Tanzania, (TYEEO), Ayub Gerald Luhuga, wakati wa hafla fupi iliyofanyika Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dar es Salaam Desemba 23, 2015. Benki hiyo imevipatia vikundi vinane vya wajasiriamali jumla ya shilingi milioni 244,500,000/- kama mpoko nafuu ikiwa ni awamu ya kwanza ya utoaji mikopo hiyo, kufuatia makubaliano...