Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI ITAKAYOWEZESHA KUWAINUA VIJANA KIUCHUMI.

1Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Maafisa Vijana na kuwataka kutumia elimu na ujuzi walioupata katika mafunzo ya ujasiriamali na ubunifu katika kuisaidia serikali kutimiza dhamira yake ya kuwainua vijana kiuchumi, wakati wa hafla ya ufungaji wa mafunzo ya ujasiriamali na ubunifu kwa Maafisa Vijana jijini Arusha. 2Mkurugenzi Mkuu wa Chuo cha Uongozi cha Mashariki na Kusini mwa Afrika (ESAMI) Prof Bonard Mwape akiwaeleza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

UDA kuendelea kusaidia miradi ya kijamii, kiuchumi

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limethibitisha kuwa litaendelea kusaidia miradi ya uwezeshaji ya kiuchumi nchini, ili kusaidia kuinua ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi nchini. Akizungumza wakati wa uzinduzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

UDA kuendelea kupiga jeki miradi yakijamii na kiuchumi nchini

ST. RITA PIX 1

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Bw John Samangu (kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi Saccos ya kwaya ya Kanisa la Kigango cha Mtakatifu Rita wa Kashia jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. (Picha na mpiga picha wetu).

Na Mwandishi Wetu,

Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limethibitisha kuwa litaendelea kupiga jeki zaidi miradi ya uwezeshaji ya kiuchumi nchini Tanzania katika hatua ya kusaidia kuinua ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi nchini.

Akizungumza...

 

11 years ago

Michuzi

IPTL kusaidia miradi ya kuwawezesha vijana kiuchumi

Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Bw. Harbinder Signh Sethi (kushoto) na Katibu na Mwanasheria Mkuu wa kampuni hiyo Bw. Joseph Makandege (wapili kushoto) wakikabidhi hundi ya shilingi milioni 11 kwa mwakilishi wa Kanisa la Mt. Rita Wakashia lililopo Kimara jijini Dar es Salaam, George Kashushura. Fedha hizo zitatumika kuanzisha SACCOS ya kanisa hilo, lenye lengo la kuwainua vijana kiuchumi. Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara kuwainua kiuchumi wavuvi

WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, imeweka mikakati ya kuwaondoa wavuvi katika umaskini kwa kutoa elimu na mbinu  za kujiunga na huduma mbalimbali za jamii. Hayo yalielezwa jijini Dar...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUENDELEA KUTOA VIPAUMBELE KWA WANAWAKE KIUCHUMI, KIELIMU NA KIUONGOZI





Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya wanawake kitafa akibonyeza kitufe katika kompyuta mpakato kwa ajili ya kupinga king'ora ili kuashiria uzinduzi rasmi wa maadhimisho hayo jana ( Machi 6) ambayo kilele chake ni machi 8, mwaka huu ,katika uwanja wa Jamhuri wa Morogoro ( anayepiga makofi) ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mendeleo ya Jamii , Jinsia na Watoto, Dk Pindi Chana ( kulia) ni Katibu Tawala Msaidizi wa mkoa ,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Munde kuwainua kiuchumi wanawake wajasiriamali

MAFANIKIO ya kiuchumi katika suala la kijinsia hutokana na kuwepo kwa elimu ya kujikomboa kwa wanawake na wanaume. Mbunge wa Viti Maalumu Tabora, Munde Tambwe, ni miongoni mwa viongozi wenye...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jitihada za TBS kuwainua wajasiriamali kiuchumi

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) ni taasisi isiyowachoka wajasiriamali wakubwa, wa kati na wadogo kwa lengo la kuwainua kiuchumi katika uzalishaji wao. Shirika hili limekuwa likitoa mafunzo kwa wajasiriamali namna...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCBRT kuwainua kiuchumi wanawake waliopona fistula

ASILIMIA 58 ya wanawake wanaojifungua wanajifungulia nyumbani bila ya kuwa na msaada wowote wa kitabibu, jambo ambalo husababisha  kuwa katika hatari ya kuuugua ugonjwa wa fistula kwa kiasi kikubwa.  Fistula...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani