Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCBRT kuwainua kiuchumi wanawake waliopona fistula

ASILIMIA 58 ya wanawake wanaojifungua wanajifungulia nyumbani bila ya kuwa na msaada wowote wa kitabibu, jambo ambalo husababisha  kuwa katika hatari ya kuuugua ugonjwa wa fistula kwa kiasi kikubwa.  Fistula...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

WANAWAKE WALIOPONA FISTULA CCBRT WAAMUA KUJIAJIR

 Mratibu wa Kituo cha Mabinti centre cha mikocheni jijini Dar es Salaam Bi. Katia Geurts(kulia) akimwelezea jambo Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa  Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia(katikati) na waandishi wa habari jinsi kazi za ushonaji zinazofanywa na baadhi ya wakina mama waliotibiwa na kupona  fistula wakati walipotembelea kituo hicho na kujionea miradi mbalimbalia inayofadhiliwa na Vodacom Foundation,Mabinti hao wanapata elimu ya kazi za mikono mara baada ya matibabu katika...

 

10 years ago

Michuzi

Wanawake waliopona Fistula CCBRT waamua kujiajiri

Bi. Kwenge Charles anayeshona( kushoto ) mmoja wa mabinti wanaopatiwa mafunzo ya kujitegemeaa katika kituo cha “Mabinti”akijadiliana jambo na maofisa toka Vodocom Tanzania Gloria Mtui na Veronica Rovegno (kulia) wakati Maafisa hao walipowatembelea kituo hicho kilichopo Mikocheni jijini Dar es Salaam , kituo kinafadhiliwa na Vodacom Foundation na kinalenga mabinti waliotibiwa ugonjwa wa Fistula na kupona katika hospitali ya CCRBT. Baadhi ya wanawake wa kituo cha”Mabinti” waliotibiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Munde kuwainua kiuchumi wanawake wajasiriamali

MAFANIKIO ya kiuchumi katika suala la kijinsia hutokana na kuwepo kwa elimu ya kujikomboa kwa wanawake na wanaume. Mbunge wa Viti Maalumu Tabora, Munde Tambwe, ni miongoni mwa viongozi wenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara kuwainua kiuchumi wavuvi

WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, imeweka mikakati ya kuwaondoa wavuvi katika umaskini kwa kutoa elimu na mbinu  za kujiunga na huduma mbalimbali za jamii. Hayo yalielezwa jijini Dar...

 

10 years ago

Mwananchi

Wama, CCBRT, Taboa kuikabili fistula

Hospitali ya CCBRT ikishirikiana na Chama cha Wamiliki wa Mabasi yaendayo Mikoani (Taboa) na Taasisi ya Wanawake (Wama), wamezindua kampeni ya kitaifa dhidi ya fistula ya uzazi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jitihada za TBS kuwainua wajasiriamali kiuchumi

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) ni taasisi isiyowachoka wajasiriamali wakubwa, wa kati na wadogo kwa lengo la kuwainua kiuchumi katika uzalishaji wao. Shirika hili limekuwa likitoa mafunzo kwa wajasiriamali namna...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI ITAKAYOWEZESHA KUWAINUA VIJANA KIUCHUMI.

1Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Maafisa Vijana na kuwataka kutumia elimu na ujuzi walioupata katika mafunzo ya ujasiriamali na ubunifu katika kuisaidia serikali kutimiza dhamira yake ya kuwainua vijana kiuchumi, wakati wa hafla ya ufungaji wa mafunzo ya ujasiriamali na ubunifu kwa Maafisa Vijana jijini Arusha. 2Mkurugenzi Mkuu wa Chuo cha Uongozi cha Mashariki na Kusini mwa Afrika (ESAMI) Prof Bonard Mwape akiwaeleza...

 

9 years ago

Michuzi

MAPAMBANO YA FISTULA YANAENDELEA KWA USHIRIKIANO WA HOSPITALI YA CCBRT NA VODACOM FOUNDATION

Mkurugenzi wa walemavu katika Hospitali ya CCBRT,Brenda Msangi(kulia)akielezea ubora wa simu aina ya ZTE kwa waandishi wa habari wakati wa hafla fupi ya kukabidhiwa simu 150 zenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 6/=zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation kwa ajili ya kurahisisha huduma za mawasiliano kwa mabalozi wa kampeni ya kutokomeza Fistula nchini.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza,Grace Lyon na Chandra Almony. Mkuu wa Vodacom...

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE MAGIGE AHIDI KUWAINUA AKINAMAMA KIUCHUMI KUPITIA CATHERINE FOUNDATION

 MA7Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha aliyevalia ushungi mweupe katikati Catherine Magige,akiwa na kikundi cha  akinamamalishe baada ya kuwawezesha vifaa vya upishi kwaajili ya kuendeleza biashara yao ya chakula katika eneo la kilombero jijini Arusha leo ambapo aliwawezesha wanawake wajasiliamili 150 wa jijini Arusha wanaojishughulisha na uuzaji wa mbogamboga,mama ntilie,machinga. 1.Wakina mama wakiwa wanamsikiliza Mbunge wa viti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani