Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lukuvi- Bajeti imelenga kusaidia miradi, wananchi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu na Shughuli za Bunge, William Lukuvi amepigia debe Bajeti ya Serikali akisema imejikita katika kusaidia miradi ya maendeleo ya wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014

>Baadhi ya wakazi wa mikoa mbalimbali nchini, wamedai kuwa bajeti ya mwaka 2014/2015 iliyosomwa bungeni juzi mjini Dodoma na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, haiwezi kumkomboa mwananchi kutoka katika umaskini.

 

10 years ago

Michuzi

Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi

Kiongozi wa ziara ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi, akieleza jambo wakati alipowasili kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Lindi tayari kukagua miradi ya maji.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Lindi Nassor Himid na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Mathei Makwinya.Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji waliotembelea mkoa huo kukagua baadhi ya miradi ya Maji iliyopo mkoani humo.

 

9 years ago

Mwananchi

Lukuvi aomba kuchaguliwa amalizie miradi ya maendeleo

Aliyekuwa mbunge wa Isimani (CCM), mkoani Iringa, William Lukuvi anayetetea tena kiti hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, amewaomba wakazi wa jimbo hilo kumchagua kwa mara nyingine ili akamilishe miradi ya maendeleo aliyoianzisha.

 

11 years ago

Habarileo

Canada kusaidia miradi ya umemejua

SERIKALI ya Canada imeeleza kuwa itaisaidia Tanzania katika kutekeleza miradi ya umeme wa jua.

 

10 years ago

Habarileo

Ni bajeti ya kumaliza miradi

Mradi kama huu wa kusambaza umeme vijijini ni moja ya miradi iliyolengwa na bajeti kuimaliza.BAJETI ya Serikali ya mwaka 2015/16 ambayo imewasilishwa serikalini, inalenga katika kukamilisha miradi iliyoanza kutekelezwa na Serikali na kulinda mafanikio yaliyokwishapatikana katika sekta za elimu, afya, maji na maendeleo ya jamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

IPTL kusaidia miradi ya kuwawezesha vijana

KAMPUNI ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imeanza utekelezaji wa mpango wake wa kuiwezesha miradi mbalimbali inayowawezesha vijana wa Kitanzania kuimarika kiuchumi, ikiwa na lengo la kukuza...

 

10 years ago

Habarileo

Hispania watoa bil 3.1/- kusaidia miradi

SERIKALI ya Hispania imetoa Sh bilioni 3.1 kusaidia miradi ya maendeleo ya jamii nchini ambayo mingine inatekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii,TASAF.

 

10 years ago

Dewji Blog

Sweden yatoa bil. 42/- kusaidia miradi UN

DSC_0216

Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mh. Lennarth Hjelmaker akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya kutiliana saini makubaliano kati ya nchi ya yake na Umoja wa Mataifa ambapo wametoa  fedha  kusaidia miradi ya Umoja wa Mataifa kwenye ofisi za ubalozi wa Sweden jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.(Picha na Zainul Mzige MOblog).

Na  Mwandishi...

 

10 years ago

Mwananchi

Bajeti ya Sayansi ‘yapigwa panga’ kusaidia Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu umetajwa kuwa miongoni mwa sababu ya kupunguzwa fedha za baadhi ya wizara kwenye bajeti ya 2015/16.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani