Lukuvi- Bajeti imelenga kusaidia miradi, wananchi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu na Shughuli za Bunge, William Lukuvi amepigia debe Bajeti ya Serikali akisema imejikita katika kusaidia miradi ya maendeleo ya wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jun
MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s72-c/3.jpg)
Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi
![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jzdmupVD07I/VMCswcuD1RI/AAAAAAAG-0w/iflIDowcVMc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DiQhVYP9zj0/VMCs2uskuQI/AAAAAAAG-2U/EiFI6RtU3Is/s1600/7.jpg)
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Lukuvi aomba kuchaguliwa amalizie miradi ya maendeleo
11 years ago
Habarileo24 Jul
Canada kusaidia miradi ya umemejua
SERIKALI ya Canada imeeleza kuwa itaisaidia Tanzania katika kutekeleza miradi ya umeme wa jua.
10 years ago
Habarileo12 Jun
Ni bajeti ya kumaliza miradi
BAJETI ya Serikali ya mwaka 2015/16 ambayo imewasilishwa serikalini, inalenga katika kukamilisha miradi iliyoanza kutekelezwa na Serikali na kulinda mafanikio yaliyokwishapatikana katika sekta za elimu, afya, maji na maendeleo ya jamii.
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
IPTL kusaidia miradi ya kuwawezesha vijana
KAMPUNI ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imeanza utekelezaji wa mpango wake wa kuiwezesha miradi mbalimbali inayowawezesha vijana wa Kitanzania kuimarika kiuchumi, ikiwa na lengo la kukuza...
10 years ago
Habarileo10 Jun
Hispania watoa bil 3.1/- kusaidia miradi
SERIKALI ya Hispania imetoa Sh bilioni 3.1 kusaidia miradi ya maendeleo ya jamii nchini ambayo mingine inatekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii,TASAF.
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Sweden yatoa bil. 42/- kusaidia miradi UN
Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mh. Lennarth Hjelmaker akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya kutiliana saini makubaliano kati ya nchi ya yake na Umoja wa Mataifa ambapo wametoa fedha kusaidia miradi ya Umoja wa Mataifa kwenye ofisi za ubalozi wa Sweden jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.(Picha na Zainul Mzige MOblog).
Na Mwandishi...
10 years ago
Mwananchi07 May
Bajeti ya Sayansi ‘yapigwa panga’ kusaidia Uchaguzi Mkuu
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10