Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti ya Sayansi ‘yapigwa panga’ kusaidia Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu umetajwa kuwa miongoni mwa sababu ya kupunguzwa fedha za baadhi ya wizara kwenye bajeti ya 2015/16.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

RC Arusha aviomba vyombo vya habari kusaidia uchaguzi mkuu kuwa wa amani

MMGL0653

Pichani ni  Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda.

Na Woinde Shizza, Arusha

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda, amevitaka vyombo vya habari nchini kusaidia uchaguzi mkuu mwaka huu umalizike kwa amani na utulivu ili Tanzania iendelee kuwa na sifa ya amani Barani Afrika.

Akizungumza katika tamasha la 10 la vyombo vya habari mkoani hapa, lililowashirikisha wanahabari kutoka mkoa wa Arusha, Manyara na jijini Dar es Salaam, Ntibenda, alisema vyombo vya habari ni wadau wakubwa wa amani na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kanuni za sayansi za kusaidia mtu kuishi maisha marefu

>Kwa miaka mingi sana binadamu wa karne zote wamekuwa wakitafuta siri za maisha marefu, kuzuia uzee na hata kuzuia kifo.

 

11 years ago

Habarileo

‘Bajeti ijikite zaidi maendeleo ya sayansi, teknolojia’

SERIKALI imeombwa kuangalia uwezekano wa kuwekeza zaidi na kuongeza bajeti katika eneo la maendeleo ya sayansi, teknolojia, ubunifu na utafiti ili kuharakisha maendeleo nchini na jitihada za kupunguza umasikini.

 

11 years ago

Mwananchi

Lukuvi- Bajeti imelenga kusaidia miradi, wananchi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu na Shughuli za Bunge, William Lukuvi amepigia debe Bajeti ya Serikali akisema imejikita katika kusaidia miradi ya maendeleo ya wananchi.

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAPATA BILIONI 24.1 TOKA JAPAN KUSAIDIA BAJETI YA SERIKALI

Wakati wizara ya fedha ikiendelea na majadiliano ya Bajeti ya Serikali mjini Dodoma, Serikali ya Japan imetoa kiasi cha Yen za Kijapani bilioni 1.5 ambazo ni sawa na shilingi bilioni 24.1 za kitanzania kutoka Serikali ya Japani kwa ajili ya shughuli za maendeleo hapa nchini.   Akizungumza katika hafla hiyo ya kutiliana saini, Waziri Mkuya aliishukuru Serikali ya Japani kwa kuwa na ushirikiano mzuri na Tanzania.  “Mkopo huu utachangia bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha wa 2014/2015, na...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yapigwa butwaa uzushi siku ya uchaguzi

SERIKALI imeeleza kushangazwa na uzushi kwamba siku ya uchaguzi mkuu, data za mawasiliano pamoja na umeme vitazimwa, jambo ambalo imetaka wananchi kupuuza taarifa hizo potofu.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yapigwa mweleka mahakamani kesi ya uchaguzi

Kiteto.Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, kimepata pigo baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kiteto, kutengua matokeo ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Lobosireti kwa kukiuka sheria na utaratibu wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Desemba, mwaka jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kura dhidi ya waziri mkuu yapigwa Somali

Wabunge nchini Somalia wanapiga kura ya kutokuwa na imani dhidi ya waziri mkuu Abdiweli Sheikh Ahmed.

 

10 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015

11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o

Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.

11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o

Vifaa mbalimbali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani